Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo

  • Bemba kurejea nyumbani Kongo DR wiki ijayo kuwania urais

    Bemba kurejea nyumbani Kongo DR wiki ijayo kuwania urais

    Jul 24, 2018 20:50

    Makamu wa Rais wa zamani wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo ambaye mwezi Mei mwaka huu aliondolewa mashitaka na kuachiwa huru na Mahakama ya Kimataifa ya Jinai (ICC), anatazamiwa kurejea DRC wiki ijayo.

  • Watu 16 wapoteza maisha katika ajali ya boti Tshopo, DRC

    Watu 16 wapoteza maisha katika ajali ya boti Tshopo, DRC

    Jul 21, 2018 03:05

    Watu 16 wamethibitishwa kupoteza maisha kufuatia ajali ya boti katika Mto Kongo ulio mkoa wa Tshopo kaskazini mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo.

  • Uganda yaongeza majeshi katika mpaka na DRC Ziwa Edward

    Uganda yaongeza majeshi katika mpaka na DRC Ziwa Edward

    Jul 16, 2018 22:25

    Jeshi la Uganda limetangaza kuongeza idadi ya askari wake wanaolinda doria katika mpaka wa pamoja na Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo katika Ziwa Edward baada ya kujiri machafuko.

  • Bemba kugombea urais nchini Kongo baada ya kuachiwa huru na ICC

    Bemba kugombea urais nchini Kongo baada ya kuachiwa huru na ICC

    Jul 14, 2018 03:16

    Makamu wa Rais wa zamani wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo ambaye hivi karibuni aliachiwa huru na Mahakama ya Kimataifa ya Jinai ICC ameteuliwa na chama chake kugombea urais katika uchaguzi ujao nchini humo.

  • Rais Kabila wa Kongo akataa kuonana na balozi wa Marekani

    Rais Kabila wa Kongo akataa kuonana na balozi wa Marekani

    Jul 10, 2018 02:46

    Rais Joseph Kabila wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo amesema hatakutana wala kufanya mazungumzo na Balozi wa Marekani katika Umoja wa Mataifa, Nikki Haley, ambaye anatazamiwa kuitembelea nchi hiyo ya Kiafrika wiki hii.

  • Mapigano kati ya jeshi la Uganda na Kongo DR yashtadi Ziwa Edward, wavuvi 12 wauawa

    Mapigano kati ya jeshi la Uganda na Kongo DR yashtadi Ziwa Edward, wavuvi 12 wauawa

    Jul 09, 2018 22:40

    Serikali ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo imesema wavuvi wasiopungua 12 raia wa nchi hiyo wameuawa katika mapigano makali yanaoendelea kushuhudiwa kwa siku kadhaa sasa kati ya vikosi vya majini vya nchi hiyo na Uganda, katika maji ya Ziwa Edward.

  • 10 wauawa kwa kuchomwa moto katika machafuko ya kikabila Kongo DR

    10 wauawa kwa kuchomwa moto katika machafuko ya kikabila Kongo DR

    Jul 08, 2018 09:10

    Watu kumi wameuawa kwa kuteketezwa moto katika ghasia za kikabila zilizojiri mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo.

  • WHO: Tishio la ugonjwa wa Ebola limepungua DRC

    WHO: Tishio la ugonjwa wa Ebola limepungua DRC

    Jul 08, 2018 00:06

    Shirika la Afya Duniani WHO limetangaza kuwa limepunguza kiwango cha tishio la kutokea kwa ugonjwa wa Ebola nchini Jamhuri ya kidemokrasia ya Kongo kutoka kiwango cha juu hadi kiwango cha wastani katika ngazi ya kitaifa na kimataifa.

  • 7 wauawa katika makabiliano kati ya jeshi la Uganda na Kongo DR

    7 wauawa katika makabiliano kati ya jeshi la Uganda na Kongo DR

    Jul 06, 2018 08:53

    Askari wanne na raia watatu wa Uganda wameripotiwa kuuawa katika mapigano makali baina ya vikosi vya majini vya Uganda na Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo katika maji ya Ziwa Albert.

  • Rais Rouhani wa Iran amtumia salamu Rais Kabila wa DRC

    Rais Rouhani wa Iran amtumia salamu Rais Kabila wa DRC

    Jul 01, 2018 09:25

    Rais Hassan Rouhani wa Iran amemtumia salamu za pongezi Rais Joseph Kabila wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo kwa munasaba wa maadhimisho ya siku ya uhuru wa nchi hiyo.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS