-
Bemba kurejea nyumbani Kongo DR wiki ijayo kuwania urais
Jul 24, 2018 20:50Makamu wa Rais wa zamani wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo ambaye mwezi Mei mwaka huu aliondolewa mashitaka na kuachiwa huru na Mahakama ya Kimataifa ya Jinai (ICC), anatazamiwa kurejea DRC wiki ijayo.
-
Watu 16 wapoteza maisha katika ajali ya boti Tshopo, DRC
Jul 21, 2018 03:05Watu 16 wamethibitishwa kupoteza maisha kufuatia ajali ya boti katika Mto Kongo ulio mkoa wa Tshopo kaskazini mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo.
-
Uganda yaongeza majeshi katika mpaka na DRC Ziwa Edward
Jul 16, 2018 22:25Jeshi la Uganda limetangaza kuongeza idadi ya askari wake wanaolinda doria katika mpaka wa pamoja na Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo katika Ziwa Edward baada ya kujiri machafuko.
-
Bemba kugombea urais nchini Kongo baada ya kuachiwa huru na ICC
Jul 14, 2018 03:16Makamu wa Rais wa zamani wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo ambaye hivi karibuni aliachiwa huru na Mahakama ya Kimataifa ya Jinai ICC ameteuliwa na chama chake kugombea urais katika uchaguzi ujao nchini humo.
-
Rais Kabila wa Kongo akataa kuonana na balozi wa Marekani
Jul 10, 2018 02:46Rais Joseph Kabila wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo amesema hatakutana wala kufanya mazungumzo na Balozi wa Marekani katika Umoja wa Mataifa, Nikki Haley, ambaye anatazamiwa kuitembelea nchi hiyo ya Kiafrika wiki hii.
-
Mapigano kati ya jeshi la Uganda na Kongo DR yashtadi Ziwa Edward, wavuvi 12 wauawa
Jul 09, 2018 22:40Serikali ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo imesema wavuvi wasiopungua 12 raia wa nchi hiyo wameuawa katika mapigano makali yanaoendelea kushuhudiwa kwa siku kadhaa sasa kati ya vikosi vya majini vya nchi hiyo na Uganda, katika maji ya Ziwa Edward.
-
10 wauawa kwa kuchomwa moto katika machafuko ya kikabila Kongo DR
Jul 08, 2018 09:10Watu kumi wameuawa kwa kuteketezwa moto katika ghasia za kikabila zilizojiri mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo.
-
WHO: Tishio la ugonjwa wa Ebola limepungua DRC
Jul 08, 2018 00:06Shirika la Afya Duniani WHO limetangaza kuwa limepunguza kiwango cha tishio la kutokea kwa ugonjwa wa Ebola nchini Jamhuri ya kidemokrasia ya Kongo kutoka kiwango cha juu hadi kiwango cha wastani katika ngazi ya kitaifa na kimataifa.
-
7 wauawa katika makabiliano kati ya jeshi la Uganda na Kongo DR
Jul 06, 2018 08:53Askari wanne na raia watatu wa Uganda wameripotiwa kuuawa katika mapigano makali baina ya vikosi vya majini vya Uganda na Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo katika maji ya Ziwa Albert.
-
Rais Rouhani wa Iran amtumia salamu Rais Kabila wa DRC
Jul 01, 2018 09:25Rais Hassan Rouhani wa Iran amemtumia salamu za pongezi Rais Joseph Kabila wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo kwa munasaba wa maadhimisho ya siku ya uhuru wa nchi hiyo.