-
Watu 6 wauawa mbugani Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo
Apr 10, 2018 03:04Askari watano na dereva mmoja wameuawa katika Mbuga ya Wanyamapori ya Virunga huko mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo.
-
SAUTI, Mwanasheria Mkuu wa Serikali Kongo DR atishia kumzuia Moïse Katumbi kugombea urais kwa kumshitaki
Apr 09, 2018 13:24Mwanasheria Mkuu wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo ametishia kumfungulia mashitaka ya uhaini, Moïse Katumbi Chapwe mwezi wa Juni mwaka huu.
-
UN na Kongo DR zaingia katika mvutano, Kinshasa yazishawishi nchi kususia mkutano wa Geneva
Apr 09, 2018 09:39Kwa kuzingatia maamuzi ya hivi karibuni ya Umoja wa Mataifa dhidi ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, inaelezwa kuwa serikali ya Kinshasa inafanya juhudi kwa ajili ya kuzishawishi nchi mbalimbali kususia kongamano la Geneva, Uswisi.
-
Ripoti: Kinara wa upinzani Congo alichukua uraia wa Italia
Apr 04, 2018 10:29Ripoti kutoka Italia zimefichua kuwa, kinara wa kambi ya upinzani katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo Moise Katumbi alichukua uraia wa Italia kuanzia mwaka 2000 hadi 2017.
-
Felix Tshisekedi kuwania urais katika uchaguzi ujao DRC
Mar 31, 2018 11:11Chama kikuu cha upinzani nchini Jamuhuri ya Kidemokrasia ya Kongo UDPS kimemtangaza Felix Tshisekedi kuwa mgombea wake katika uchaguzi mkuu wa rais uliopangwa kufanyika Disemba 23 mwaka huu.
-
Utafiti: Wakongomani 8 kati ya 10 hawamuungi mkono Rais Kabila wa DRC
Mar 30, 2018 10:42Utafiti mpya wa maoni umeonyesha kuwa, kwa kila raia kumi wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, wanane hawamungi mkono Rais Joseph Kabila wa nchi hiyo.
-
Waasi wauwa watu 11 kaskazini mashariki mwa Kongo
Mar 29, 2018 00:04Waasi wenye silaha wamewauwa raia wasiopungua 11 katika shambulio moja kaskazini mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo. Raia wengine wasiopungua elfu moja wameshauliwa na waasi hao hadi hivi sasa tangu mwaka 2014 katika mashambulizi kama hayo.
-
Kikosi cha MONUSCO chaongezewa muda wa kuhudumu DRC
Mar 28, 2018 02:47Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa limekiongezea muda wa kuhudumu kikosi cha kusimamia amani cha Umoja wa Mataifa katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo MONUSCO.
-
EU yabainisha wasiwasi wake kuhusu hali ya kibinadamu nchini Kongo
Mar 25, 2018 23:53Umoja wa Ulaya umeeleza wasiwasi wake kuhusu kuzidi kuwa mbaya hali ya kibinadamu nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo.
-
Jeshi la DRC laua waasi 13 Ituri
Mar 25, 2018 10:09Jeshi la Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo limetangaza kuua waasi 13 katika mapigano yaliyojiri katika mkoa wa Ituri kaskazini mashariki mwa nchi hiyo.