Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo

  • DRC kususia kikao cha wafadhili Geneva; yasema UN inaiharibia jina

    DRC kususia kikao cha wafadhili Geneva; yasema UN inaiharibia jina

    Mar 24, 2018 02:57

    Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC) imesema haitashiriki mkutano wa wafadhili wake mjini Geneva, Uswisi kutokana na kile inachosema ni jina lake kuharibiwa.

  • Wakimbizi 36 kutoka DRC wafariki Uganda kutokana na ugonjwa wa kipindupindu

    Wakimbizi 36 kutoka DRC wafariki Uganda kutokana na ugonjwa wa kipindupindu

    Mar 22, 2018 11:31

    Wakimbizi 36 kutoka Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo wamefariki kutokana na mlipuko wa ugonjwa wa kipindupindu uliotokea magharibi mwa Uganda mwezi uliopita.

  • Watu elfu 60 wawa wakimbizi kufuatia mapigano ya kikabila kaskazini magharibi mwa Kongo DR

    Watu elfu 60 wawa wakimbizi kufuatia mapigano ya kikabila kaskazini magharibi mwa Kongo DR

    Mar 19, 2018 04:33

    Mapigano ya kikabila yanayoendelea eneo la kaskazini magharibi mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, yamepelekea kwa akali watu elfu 60 kuwa wakimbizi.

  • UNHCR: Wakimbizi zaidi ya 57,000 wa DRC wameingia Uganda tangu kuanza mwaka huu

    UNHCR: Wakimbizi zaidi ya 57,000 wa DRC wameingia Uganda tangu kuanza mwaka huu

    Mar 17, 2018 04:33

    Shirika la Kuuhudumia Wakimbizi la Umoja wa Mataifa (UNHCR) limetangaza kuwa, raia zaidi ya 57,000 wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo wamekimbilia katika nchi jirani ya Uganda tangu ulipoanza mwaka huu wa 2018.

  • Kinara wa upinzani DRC azindua azma ya kuwania urais akiwa uhamishoni

    Kinara wa upinzani DRC azindua azma ya kuwania urais akiwa uhamishoni

    Mar 13, 2018 03:57

    Moise Katumbi, kiongozi mashuhuri wa upinzani katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo aliyeko uhamishoni amezindua rasmi azma yake ya kugombea urais katika uchaguzi ujao baadaye mwaka huu.

  • Zerrougui: Changamoto nyingi zinaikabili Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo

    Zerrougui: Changamoto nyingi zinaikabili Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo

    Mar 12, 2018 11:16

    Mjumbe Maalumu wa Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo amesema kuwa nchi hiyo inakabiliwa na changamoto na matatizo mengi kuhusu suala la kuendesha uchaguzi mwaka huu wa 2018.

  • Ghasia na machafuko yashadidi kaskazini mashariki mwa Congo DR

    Ghasia na machafuko yashadidi kaskazini mashariki mwa Congo DR

    Mar 11, 2018 23:39

    Waziri wa Mambo ya Ndani wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo amesema kushadidi kwa ghasia na machafuko huko kaskazini mashariki kwa nchi hiyo kumewatia wasiwasi mkubwa wakazi wa maeneo hayo.

  • Watu saba waghariki Ziwa Albert wakikimbia mapigano DRC

    Watu saba waghariki Ziwa Albert wakikimbia mapigano DRC

    Mar 10, 2018 04:14

    Kwa akali watu saba wamekufa maji wakikimbia mapigano mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo.

  • UN yatahadharisha kuhusu hali mbaya ya wakazi wa mashariki mwa Congo DR

    UN yatahadharisha kuhusu hali mbaya ya wakazi wa mashariki mwa Congo DR

    Mar 09, 2018 22:01

    Taasisi za Umoja wa Mataifa zimetangaza kuwa, wakazi wa maeneo ya kaskazini mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo hususan katika mkoa wa Ituri wanakabiliwa na hali mbaya.

  • DRC yasisitiza kuwa uchaguzi wa rais utafanyika mwaka huu kama ulivyopangwa

    DRC yasisitiza kuwa uchaguzi wa rais utafanyika mwaka huu kama ulivyopangwa

    Mar 08, 2018 12:39

    Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo amesema uchaguzi wa rais utafanyika mwishoni mwa mwaka huu kama ulivyopangwa licha ya changamoto wanazokabiliwa nazo.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS