Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Japan

  • Ubeberu mpya wa Marekani na majibu makali ya Japan

    Ubeberu mpya wa Marekani na majibu makali ya Japan

    May 19, 2018 04:12

    Ubeberu mpya wa Marekani uliozikasirisha nchi waitifaki na wapinzani wake zikiwemo za Ulaya pamoja na China na Russia, umekuwa mkubwa kiasi kwamba hata Japan na Korea Kusini ambazo ni waitifaki wakubwa wa Washington nao wameshindwa kunyamaza na wametishia kuchukua hatua kali kujibu kuongezewa ushuru bidhaa zao zinazoingia nchini Marekani.

  • Korea Kusini yashangazwa na madai ya Japan kwamba inaitumia Korea Kaskazini mafuta

    Korea Kusini yashangazwa na madai ya Japan kwamba inaitumia Korea Kaskazini mafuta

    May 14, 2018 13:59

    Serikali ya Korea Kusini sambamba na kukanusha madai ya Japan kwamba, inatuma mafuta kwenda Korea Kaskazini kwa siri, imesema kuwa Seoul imefungamana vilivyo na vikwazo vya Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa dhidi ya Pyongyang.

  • Syria yataka kusitishwa jinai za kivita za muungano vamizi unaoongozwa na Marekani

    Syria yataka kusitishwa jinai za kivita za muungano vamizi unaoongozwa na Marekani

    May 03, 2018 06:43

    Wizara ya Mambo ya Nje ya Syria imemtumia barua Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa na Mwenyekiti wa kiduru wa Baraza la Usalama la umoja huo ikitaka kusitishwa jinai za kivita zinazofanywa na muungano eti wa kimataifa chini ya uongozi wa Marekani dhidi ya taifa la Syria.

  • Korea Kaskazini: Vikwazo na mashinikizo dhidi Pyongyang havitakuwa na taathira yoyote

    Korea Kaskazini: Vikwazo na mashinikizo dhidi Pyongyang havitakuwa na taathira yoyote

    Mar 01, 2018 07:27

    Serikali ya Korea Kaskazini imesema kuwa, vikwazo vilivyowekwa dhidi yake kamwe havitakuwa na taathira yoyote na kwa msingi huo jamii ya kimataifa inatakiwa kuhitimisha ndoto hizo za alinacha katika uwanja huo.

  • Korea Kaskazini yalaani majaribio ya makombora ya Marekani na Japan

    Korea Kaskazini yalaani majaribio ya makombora ya Marekani na Japan

    Feb 24, 2018 00:49

    Serikali ya Korea Kaskazini imetoa taarifa ya kulaani vikali majaribio ya makombora yaliyofanywa na Marekani na Japan.

  • Korea Kusini yakataa ombi la Japan la kufanya maneva ya kijeshi na Marekani katika Rasi ya Korea

    Korea Kusini yakataa ombi la Japan la kufanya maneva ya kijeshi na Marekani katika Rasi ya Korea

    Feb 11, 2018 04:43

    Rais Moon Jae in wa Korea Kusini ameonyesha kutoridhishwa na takwa la Shinzo Abe, Waziri Mkuu wa Japan la kutaka kufanya maneva ya kijeshi na Marekani katika peninsula ya Korea.

  • TV ya Japan yaomba radhi kwa kuwatisha raia kuwa Pyongyang ingeshambulia jana usiku

    TV ya Japan yaomba radhi kwa kuwatisha raia kuwa Pyongyang ingeshambulia jana usiku

    Jan 17, 2018 08:05

    Televisheni ya taifa nchini Japan NHK imewaomba radhi wananchi baada ya kutoa habari potovu kwamba Korea Kaskazini ingeshambulia nchi hiyo usiku wa jana.

  • Korea Kaskazini yavurumisha kombora la balestiki kuelekea Japan

    Korea Kaskazini yavurumisha kombora la balestiki kuelekea Japan

    Nov 29, 2017 08:15

    Korea Kaskazini imefyatua kombora jengine la balestiki lililopaa juu ya kisiwa cha Japan na linaloweza kulenga sehemu yoyote ya ardhi ya Marekani, huku ikisisitiza kuwa sasa ina uwezo kamili wa kinyuklia.

  • Trump: Nilikuwa sijui kwamba duniani kuna nchi nyingi kiasi chote hiki

    Trump: Nilikuwa sijui kwamba duniani kuna nchi nyingi kiasi chote hiki

    Nov 08, 2017 07:52

    Rais wa Marekani, Donald Trump amedhihirisha kwa uwazi ujinga na upofu wake kuhusiana na elimu ya jiografia na siasa za kimataifa aliposema bila matani kwamba alikuwa hajui kuwa duniani kuna nchi nyingi kiasi chote hiki mpaka alipochaguliwa kuwa rais wa Marekani.

  • Ijumaa tarehe 27 Oktoba 2017

    Ijumaa tarehe 27 Oktoba 2017

    Oct 27, 2017 02:43

    Leo ni Ijumaa tarehe 7 Safar 1439 Hijria sawa na oktoba 27, 2017.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS