-
Trump: Nilikuwa sijui kwamba duniani kuna nchi nyingi kiasi chote hiki
Nov 08, 2017 04:22Rais wa Marekani, Donald Trump amedhihirisha kwa uwazi ujinga na upofu wake kuhusiana na elimu ya jiografia na siasa za kimataifa aliposema bila matani kwamba alikuwa hajui kuwa duniani kuna nchi nyingi kiasi chote hiki mpaka alipochaguliwa kuwa rais wa Marekani.
-
Ijumaa tarehe 27 Oktoba 2017
Oct 26, 2017 23:13Leo ni Ijumaa tarehe 7 Safar 1439 Hijria sawa na oktoba 27, 2017.
-
Marekani yazidi kufanya hali ya mambo Korea kuwa mbaya
Oct 24, 2017 11:27Marekani imeendelea kufanya hali ya mambo katika eneo la Peninsula ya Korea kuwa mbaya na hivyo kuhatarisha usalama wa eneo hilo.
-
US yaanzisha tena chokochoko katika Peninsula ya Korea
Oct 11, 2017 04:49Kwa mara nyingine tena Marekani imefanya maneva ya kijeshi kwa kushirikiana na Korea Kusini na Japan katika Peninsula Korea.
-
Ijumaa tarehe Mosi Septemba, 2017
Sep 01, 2017 00:53Leo ni Ijumaa tarehe 10 Dhulhijja 1438 Hijria inayosadifiana na tarehe Mosi Septemba, 2017
-
Korea Kaskazini: Japan inajitafutia matatizo kwa kushirikiana na Marekani
Aug 31, 2017 03:30Serikali ya Pyongyang imetoa tahadhari kwa Japan kwamba, nchi hiyo inajitafutia matatizo kutokana na hatua yake ya kushirikiana na Marekani na lengo lake la kutaka kusimika ngao ya makombora ya AEGIS nchini humo.
-
Korea Kasazini yarusha kombora kuelekea Japan, UNSC kuitisha kikao cha dharura
Aug 29, 2017 03:08Waziri Mkuu wa Japan, Shinzo Abe amelitaka Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa UNSC kuitisha mkutano wa dharura baada ya Korea Kaskazini kuvurumisha kombora lililoruka katika anga yake na kudondoka katika pwani ya kisiwa cha Hokkaido, mashariki mwa Japan.
-
Jumatatu 14 Agosti, 2017
Aug 13, 2017 23:01Leo ni Jumatatu tarehe 21 Dhulqaada 1438 Hijria inayosadifiana na tarehe 14 mwezi Agosti mwaka 2017.
-
Jumamosi, Julai 29, 2017
Jul 28, 2017 21:50Leo ni Jumamosi tarehe 5 Mfunguo Pili, Dhulqaadah 1438 Hijria mwafaka na tarehe 29 Julai mwaka 2017 Miladia.
-
Japan: Suala la kuzunguza na Korea Kaskazini limepitwa na wakati
Jul 18, 2017 21:57Msemaji wa serikali ya Japan, Norio Maruyama ametaka kuzidishwa mashinikizo dhidi ya Korea Kaskazini akisema kuwa muda wa kufanya mazungumzo na nchi hiyo umepita.