-
Jumamosi, Julai 15, 2017
Jul 14, 2017 21:58Leo ni Jumamosi tarehe 20 Mfunguo Mosi Shawwal 1438 HIjria mwafaka na tarehe 15 Julai mwaka 2017 Miladia.
-
Japan: Tutaishawishi Russia isaidie katika kutatua mgogoro wa eneo la Korea
Jul 11, 2017 03:32Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje wa Japan, Norio Maruyama amesema kuwa, Tokyo na washirika wake wataishawishi Russia ili iweze kushiriki katika kutatuliwa mgogoro wa eneo la Korea.
-
Trump atishia vikwazo vikali zaidi baada ya Korea Kaskazini kufanyia majaribio kombora jipya
May 14, 2017 03:21Rais Donald Trump wa Marekani ametishia kuiwekea vikwazo vikali zaidi Korea Kaskazini, baada ya Pyongyang kufyatua kifaa kinachoaminika kuwa kombora lake la balestiki kuelekea upande wa Japan.
-
Japan na Korea Kusini zakubaliana juu ya kutatua suala la Korea Kaskazini
May 12, 2017 11:44Waziri Mkuu wa Japan na Rais mpya wa Korea Kusini wamekubaliana kudumisha ushirikiano wa pamoja na wa karibu kwa ajili ya kutatua suala la nyuklia na makombora ya Korea Kaskazini.
-
Korea Kaskazini yarusha kombora la balestiki katika Bahari ya Japan
Apr 05, 2017 02:59Korea Kaskazini imevurumisha kombora la balestiki katika Bahari ya Japan, siku chache baada ya nchi hiyo kuapa kulipiza kisasi juu ya vikwazo vipya dhidi yake.
-
Korea Kaskazini: Kitendo cha Japan cha kurusha satalaiti ya ujasusi angani, ni hujuma dhidi yetu
Mar 23, 2017 11:25Serikali ya Korea Kaskazini imelaani hatua ya Japan ya kurusha angani satalaiti ya ujasusi na kuitaja kuwa ni hujuma dhidi yake.
-
Japan: Ni lazima tujiandae kukabiliana na mashambulizi tarajiwa ya Korea Kaskazini
Mar 09, 2017 04:28Waziri wa zamani wa Ulinzi Japan ametaka kuimarishwa uwezo wa kijeshi kwa ajili ya kukabiliana na mashambulizi tarajiwa ya Korea Kaskazini.
-
Marekani, Korea 2 na Japan ziko katika ncha ya kupigana
Mar 07, 2017 03:47Washington imeanza kutuma nchini Korea Kusini mfumo wa ulinzi wa makombora wa THAAD, baada ya Korea Kaskazini kusema kuwa, jaribio lake la hivi punde la makombora ni maandalizi kwa ajili ya kuzishambulia kambi za kijeshi za Marekani nchini Japan.
-
Jumamosi, Februari 11, 2017
Feb 11, 2017 02:31Leo ni Jumamosi tarehe 13 Mfunguo Nane Jamad al-Awwal 1438 Hijria mwafaka na tarehe 11 Februari 2017 Miladia.
-
Ijumaa, Disemba 23, 2016
Dec 22, 2016 23:12Leo ni Ijumaa tarehe 23 Mfunguo Sita Rabiul Awwal 1438 Hijria sawa na Disemba 23, 2016.