Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

JCPOA

  • Qassemi: Iran haijapokea pendekezo la JCPOA kutoka Umoja wa Ulaya

    Qassemi: Iran haijapokea pendekezo la JCPOA kutoka Umoja wa Ulaya

    Jun 30, 2018 11:44

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran ameashiria habari kuwa Umoja wa Ulaya umewasilisha pendekezo la kuunga mkono mapatano ya nyuklia ya Iran yanayojulikana rasmi kama Mpango Kamili wa Pamoja wa Utekelezwaji, (JCPOA), na kusema, "hadi sasa Iran haijapokea kifurushi cha mapendekezo kutoka Umoja wa Ulaya."

  • Mogherini: EU imekipigia kura ya ndio kifurushi cha kuiunga mkono Iran kuhusiana na JCPOA

    Mogherini: EU imekipigia kura ya ndio kifurushi cha kuiunga mkono Iran kuhusiana na JCPOA

    Jun 29, 2018 23:55

    Mkuu wa Sera za Kigeni wa Umoja wa Ulaya, Federica Mogherini amesema kuwa umoja huo umekipigia kura 28 za ndio kifurushi cha kuiunga mkono Jamhuri ya Kiislamu ya Iran katika fremu ya makubaliano ya nyuklia maarufu kama Mpango Kamili wa Pamoja wa Utekelezaji (JCPOA).

  • Russia: Pande zote ndani ya JCPOA zijawajibike kuyalinda makubaliano hayo

    Russia: Pande zote ndani ya JCPOA zijawajibike kuyalinda makubaliano hayo

    Jun 29, 2018 11:00

    Mwakilishi wa Russia katika Taasisi za Kimataifa mjini Vienna Austria amesema kuwa makubaliano ya nyuklia ya JCPOA ni muhimu sana na kwamba nchi zilizosalia katika makubaliano hayo zinapasa kuyalinda.

  • Russia yasisitiza kwa mara nyingine kuwa hakuna mbadala wa mapatano ya nyuklia ya Iran, JCPOA

    Russia yasisitiza kwa mara nyingine kuwa hakuna mbadala wa mapatano ya nyuklia ya Iran, JCPOA

    Jun 29, 2018 00:16

    Wizara ya Mambo ya Nje ya Russia kwa mara nyingine imesisitiza kuwa nchi hiyo inaunga mkono mapatano ya nyuklia ya Iran yanayojulikana kama Mpango Kamili wa Pamoja wa Utekelezwaji, JCPOA.

  • Rouhani: Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imevuka njama za adui

    Rouhani: Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imevuka njama za adui

    Jun 26, 2018 10:16

    Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amezungumzia njama zinazofanywa na Marekani dhidi ya Iran tangu baada ya ushindi wa Mapinduzi ya Kiislamu hapa nchini na kkusema kuwa, taifa na mfumo wa Iran umevuka njama za adui katika vipindi mbalimbali kutokana na kuwa macho na makini.

  • Iran: Mapatano ya nyuklia ya JCPOA bado yako hai

    Iran: Mapatano ya nyuklia ya JCPOA bado yako hai

    Jun 25, 2018 10:25

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amesema kuwa, licha ya kwamba Marekani imejitoa katika mapatano ya nyuklia ya JCPOA lakini makubaliano hayo ya kimataifa bado yako hai na mazungumzo juu ya namna ya kuendeleza ushirikiano kupitia mapatano hayo yangali yanaendelea.

  • Iran: Reuters inaeneza habari 50 za uongo kila siku dhidi yetu; uanagenzi wa Trump ni kwa manufaa ya Tehran

    Iran: Reuters inaeneza habari 50 za uongo kila siku dhidi yetu; uanagenzi wa Trump ni kwa manufaa ya Tehran

    Jun 24, 2018 10:54

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran ameashiria hatua zisizo za kimantiki za rais wa Marekani ikiwa ni pamoja na uamuzi wake wa kujitoa katika mapatano ya nyuklia ya JCPOA na kusema kuwa, matokeo ya hatua hizo ni kuzidi kuharibika jina la Donald Trump na kuzidi kunufaika Iran.

  • Araqchi: JCPOA ipo katika ICU, yumkini Iran ikajiondoa wiki chache zijazo

    Araqchi: JCPOA ipo katika ICU, yumkini Iran ikajiondoa wiki chache zijazo

    Jun 23, 2018 02:51

    Naibu Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran anayehusika na masuala ya kisiasa amesema makubaliano ya nyuklia kati ya Iran na nchi sita za kundi la 5+1 maarufu kama JCPOA yako chumba cha wagonjwa mahututi ICU, na yumkini Tehran ikajiondoa kwenye mapatano hayo ndani ya wiki chache zijazo.

  • UN: Kulindwa JCPOA kuna umuhimu kwa usalama wa dunia

    UN: Kulindwa JCPOA kuna umuhimu kwa usalama wa dunia

    Jun 20, 2018 02:59

    Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa amesema kulindwa makubaliano ya nyuklia ya Iran ni jambo lenye udharura mkubwa hususan katika kudhamini usalama wa dunia.

  • Boroujerdi: Matamshi ya nchi za Ulaya kuhusu JCPOA si utatuzi wa matatizo ya Iran

    Boroujerdi: Matamshi ya nchi za Ulaya kuhusu JCPOA si utatuzi wa matatizo ya Iran

    Jun 17, 2018 22:02

    Mkuu wa Kamisheni ya Usalama wa Taifa na Siasa za Kigeni ya Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu (Bunge la Iran) amesema kuwa, matamshi chanya ya viongozi wa nchi za Ulaya kuhusu mapatano ya nyuklia ya JCPOA hayawezi kutatua matatizo ya Iran bali viongozi hao wanapaswa kuakisi misimamo yao kivitendo na watekeleze ahadi zao kwa kutokubaliana na misimamo ya Marekani.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS