Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

JCPOA

  • Russia yapinga matamshi ya Trump, Macron kuhusu makubaliano ya JCPOA

    Russia yapinga matamshi ya Trump, Macron kuhusu makubaliano ya JCPOA

    Apr 26, 2018 23:14

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Russia amepinga matamshi yaliyotolewa na Marais wa Marekani na Ufaransa kuhusu suala la kufanyiwa mabadiliko makubaliano ya nyuklia ya JCPOA.

  • Azma ya kimataifa kwa ajili ya kulinda mapatano ya JCPOA

    Azma ya kimataifa kwa ajili ya kulinda mapatano ya JCPOA

    Apr 26, 2018 08:41

    Huku tarehe 12 Mei ikiwa inakaribia, ambayo ni tarehe ya mwisho iliyoainishwa na Rais Donald Trump wa Marekani kwa ajili ya kufanyiwa marekebisho makubaliano ya nyuklia kati ya Iran na nchi sita kubwa za dunia yanayojulikana kama Mpango Kamili wa Pamoja wa Utekelezaji JCPOA, radiamali na harakati za serikali na viongozi wa kundi la 5+1 kwa ajili ya kulinda mapatano hayo zimeongezeka.

  • Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa ataka mapatano ya nyuklia ya Iran yalindwe

    Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa ataka mapatano ya nyuklia ya Iran yalindwe

    Apr 26, 2018 03:24

    Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Antonio Guterres amesema mapatano ya nyuklia ya Iran yanayojulikana kama Mpango Kamili wa Pamoja wa Utekelezwaji (JCPOA) yanapaswa kulindwa.

  • Zarif: Iran itafuata nyayo iwapo US itajiondoa kwenye makubaliano ya nyuklia

    Zarif: Iran itafuata nyayo iwapo US itajiondoa kwenye makubaliano ya nyuklia

    Apr 25, 2018 03:04

    Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Iran amesema kuna uwezekano mkubwa Iran itajiondoa kwenye makubaliano ya nyuklia ya JCPOA, iwapo Marekani itaamua kujivua kwenye mapatano hayo ya kimataifa ya mwaka 2015.

  • Shamkhani: Marekani na Ulaya zikivuka mstari mwekundu wa Iran zitagonga mwamba

    Shamkhani: Marekani na Ulaya zikivuka mstari mwekundu wa Iran zitagonga mwamba

    Apr 24, 2018 22:02

    Katibu wa Baraza Kuu la Usalama wa Taifa nchini Iran amesema kuwa, iwapo Ulaya itafanya makosa ya kistratijia na kusalimu amri mbele ya Marekani na kuvuka mistari mnyekundu ya Iran kwa shabaha ya kutaka kumridhisha Donald Trump, hapana shaka kuwa itakula mweleka na kushindwa.

  • Rais Rouhani aonya kuhusu taathira hasi iwapo JCPOA itakiukwa

    Rais Rouhani aonya kuhusu taathira hasi iwapo JCPOA itakiukwa

    Apr 24, 2018 12:04

    Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ameionya Marekani dhidi ya kukiuka makubaliano ya nyuklia ya Vienna na kusisitiza kuwa, endapo Washington itajiondoa kwenye mapatano hayo ya kimataifa kama inavyotishia, basi hatua hiyo itakuwa na matokeo mabaya.

  • Matakwa ya taasisi za kimataifa kwa Marekani kuhusu mapatano ya nyuklia ya Iran

    Matakwa ya taasisi za kimataifa kwa Marekani kuhusu mapatano ya nyuklia ya Iran

    Apr 24, 2018 05:39

    Wakati wa rais wa Marekani Donald Trump wa kuchukua maamuzi kuhusu mapatano ya nyuklia ya Iran unazidi kukaribia katika hali ambayo jamii ya kimatiafa imeongeza jitihada za kumlazimisha aheshimu vipengee vya mapatano hayo ambayo Marekani ilishiriki kikamilifu kuyafanikisha.

  • UN yazitaka pande zote husika kuheshimu na kutekeleza makubaliano ya nyuklia ya JCPOA

    UN yazitaka pande zote husika kuheshimu na kutekeleza makubaliano ya nyuklia ya JCPOA

    Apr 23, 2018 22:47

    Mkuu wa idara ya udhibiti silaha ya Umoja wa Mataifa ametoa wito kwa pande zote husika katika makubaliano ya nyuklia ya Iran yanayojulikana kama Mpango Kamili wa Pamoja wa Utekelezaji JCPOA kuheshimu na kutekeleza makubaliano hayo.

  • Iran: Marekani ikijitoa katika JCPOA, tutaanzisha tena shughuli za nyuklia kwa kiwango cha kisasa zaidi

    Iran: Marekani ikijitoa katika JCPOA, tutaanzisha tena shughuli za nyuklia kwa kiwango cha kisasa zaidi

    Apr 23, 2018 00:09

    Waziri wa Mashauri ya Kigeni ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, chaguo kuu la Iran endapo Marekani itajitoa katika makubaliano ya nyuklia yanayojulikana kama Mpango Kamili wa Pamoja wa Utekelezaji JCPOA ni kuanzisha tena shughuli za nyuklia za taifa hili zenye malengo ya amani lakini kwa kiwango cha juu na cha kisasa zaidi.

  • Macron: Ufaransa haina mpango mwingine mbadala wa makubaliano ya JCPOA

    Macron: Ufaransa haina mpango mwingine mbadala wa makubaliano ya JCPOA

    Apr 22, 2018 23:32

    Rais wa Ufaransa ameashiria kuwa Paris haina mpango mwingine mbadala wa makubaliano ya JCPOA na kuitaka Marekani isalie katika makubaliano hayo ya pamoja na Iran.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS