Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

JCPOA

  • Iran: Kama mapatano ya JCPOA yatavunjika, tutaanza kutekeleza miradi yetu ya nyuklia kwa kasi kubwa

    Iran: Kama mapatano ya JCPOA yatavunjika, tutaanza kutekeleza miradi yetu ya nyuklia kwa kasi kubwa

    Apr 21, 2018 23:40

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuhusu uwezekano wa Marekani kujitoa katika mapatano ya nyuklia yanayojulikana kwa jina maarufu la JCPOA kwamba, Tehran ina machaguo kadhaa likiwemo la kuanzisha utekelezaji wa miradi yake ya nyuklia kwa kasi kubwa zaidi.

  • Zarif: Marekani itajuta kujiondoa katika mapatano ya nyuklia ya Iran

    Zarif: Marekani itajuta kujiondoa katika mapatano ya nyuklia ya Iran

    Apr 20, 2018 02:59

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, Mohammad Javad Zarif amesema Tehran ina hatua kadhaa ambazo inaweza kuchukua ambazo zitaifanya Marekani ijute kujiondoa katika mapatano ya nyuklia yajulikanayo kama Mpango Kamili wa Pamoja wa Utekelezaji JCPOA.

  • Korea Kaskazini: Marekani iache vitisho vya kujiondoa katika makubaliano ya JCPOA

    Korea Kaskazini: Marekani iache vitisho vya kujiondoa katika makubaliano ya JCPOA

    Apr 17, 2018 09:58

    Serikali ya Korea Kaskazini sambamba na kuunga mkono Mpango Kamili wa Pamoja wa Utekelezaji (JCPOA) na kuyataja kuwa makubaliano ya kimataifa na muhimu zaidi kati ya Iran na kundi la 5+1, imeikosoa mwenendo wa serikali ya Marekani wa kuendelea kutishia kujitoa katika makubaliano hayo.

  • Mogherini asisitiza kuhusu kulindwa mapatano ya nyuklia ya Iran huku undumakuwili wa EU ukiendelea

    Mogherini asisitiza kuhusu kulindwa mapatano ya nyuklia ya Iran huku undumakuwili wa EU ukiendelea

    Apr 17, 2018 03:48

    Mkuu wa Sera za Kigeni wa Umoja wa Ulaya Federica Mogherini amesistiza kuhusu kulindwa mapatano ya nyuklia ya Iran yanayojulikana kama Mpango Kamili wa Pamoja wa Utekelezwaji, JCPOA.

  • Mogherini: Kulindwa makubaliano ya nyuklia ya Iran ni muhimu kwa EU

    Mogherini: Kulindwa makubaliano ya nyuklia ya Iran ni muhimu kwa EU

    Apr 16, 2018 22:49

    Umoja wa Ulaya umekariri azma yake kubwa ya kutekeleza kikamilifu na pande zote makubaliano ya nyuklia ya mwaka 2015 na kuongeza kuwa, kulindwa makubaliano hayo ni jambo lenye umuhimu.

  • Araqchi: Marekani haiwezi kuchukua uamuzi peke yake kuhusu JCPOA

    Araqchi: Marekani haiwezi kuchukua uamuzi peke yake kuhusu JCPOA

    Apr 10, 2018 12:17

    Naibu Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran anayehusika na masuala ya kisiasa amesema: makubaliano ya nyuklia ya JCPOA hayapo kwa ajili ya Marekani hata iamue kuchukua uamuzi wowote itakao kuhusu makubaliano hayo.

  • Boroujerdi: Iran haitoheshimu maafikiano ya JCPOA iwapo itahisi hayana faida kwake

    Boroujerdi: Iran haitoheshimu maafikiano ya JCPOA iwapo itahisi hayana faida kwake

    Apr 07, 2018 11:51

    Mkuu wa Kamati ya Usalama wa Taifa na Siasa za Kigeni ya Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu (Bunge la Iran) amesisitiza kuwa, Tehran inaendelea kuheshimu maafikiano ya nyuklia ya JCPOA kutokana na kuhisi ina manufaa ndani yake, lakini kama Marekani itajitoa kwenye maafikiano hayo, Iran nayo haitaona haja ya kuendelea nayo.

  • Iran: Tutatoa jibu kali iwapo Marekani itakiuka makubaliano ya nyuklia ya JCPOA

    Iran: Tutatoa jibu kali iwapo Marekani itakiuka makubaliano ya nyuklia ya JCPOA

    Apr 05, 2018 23:18

    Mkuu wa Shirika la Atomiki la Iran amezitahadharisha nchi zinazotaka kuvuruga makubaliano ya nyuklia ya JCPOA kati ya Iran na nchi 6 wanachama wa kundi la 5+1 na kusisitiza kuwa, Tehran itatoa jibu kali kwa hatua kama hiyo.

  • Wataalamu 100 wa usalama wa taifa Marekani wamtaka Trump aheshimu makubaliano ya nyuklia ya JCPOA

    Wataalamu 100 wa usalama wa taifa Marekani wamtaka Trump aheshimu makubaliano ya nyuklia ya JCPOA

    Mar 27, 2018 12:23

    Zaidi ya shakhsia 100 wakiwemo wataalamu na maafisa wa kijeshi na kisiasa wa zamani wa Marekani wamemtaka rais wa nchi hiyo Donald Trump aheshimu makubaliano ya nyuklia ya Iran yanayojulikana kama Mpango Kamili wa Pamoja wa Utekelezaji JCPOA.

  • Araqchi: Hatua yoyote ya kuvuruga mapatano ya JCPOA itakuwa na mwisho mbaya

    Araqchi: Hatua yoyote ya kuvuruga mapatano ya JCPOA itakuwa na mwisho mbaya

    Mar 26, 2018 10:42

    Naibu Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran amesema kuwa makubaliano ya nyuklia kati ya Iran na nchi sita za kundi la 5+1 ni mapatano ya kiusalama na yanahusiana moja kwa moja na usalama wa eneo la Mashariki ya Kati na wa kimataifa, na uvurugaji wa aina yoyote wa makubaliano hayo utakuwa na matokeo mabaya kwa jamii ya kimataifa.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS