Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

JCPOA

  • Abdollahian: Uteuzi wa Bolton ni kwa lengo la kupata manufaa zaidi Marekani kupitia JCPOA

    Abdollahian: Uteuzi wa Bolton ni kwa lengo la kupata manufaa zaidi Marekani kupitia JCPOA

    Mar 26, 2018 03:22

    Msaidizi maalumu wa Spika wa Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu (Bunge la Iran) amesema kuwa, kitendo cha rais wa Marekani cha kuwapa vyeo muhimu watu wenye misimamo mikali kama John Bolton kwa hakika ni siasa za kutaka kupata manufaa zaidi kupitia maafikiano ya nyuklia ya JCPOA.

  • Sisitizo la viongozi wa Uingereza, Ujerumani na Ufaransa la kufungamana na makubaliano ya nyuklia ya JCPOA

    Sisitizo la viongozi wa Uingereza, Ujerumani na Ufaransa la kufungamana na makubaliano ya nyuklia ya JCPOA

    Mar 23, 2018 03:27

    Viongozi wa Uingereza, Ujerumani na Ufaransa walikutana jana Alkhamisi pambizoni mwa mkutano wa viongozi wa Umoja wa Ulaya mjini Brussels Ubelgiji ambapo pamoja na mambo mengine walizungumzia suala la makubaliano ya nyuklia yanayojulikana kama Mpango Kamili wa Pamoja wa Utekelezaji (JCPOA).

  • Iran haifanyi mazungumzo tena kuhusu mapatano ya nyuklia ya JCPOA

    Iran haifanyi mazungumzo tena kuhusu mapatano ya nyuklia ya JCPOA

    Mar 16, 2018 03:20

    Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imesisitiza kuwa katu haitakubali kufanyika mazungumzo mapya kuhusu mapatano ya nyuklia baina yake na mdola sita makubwa duniani.

  • Rouhani: Pande zote zitajuta iwapo makubaliano ya nyuklia ya Iran yatavunjika

    Rouhani: Pande zote zitajuta iwapo makubaliano ya nyuklia ya Iran yatavunjika

    Mar 05, 2018 23:26

    Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema pande zote husika zitajuta iwapo makubaliano ya nyuklia ya JCPOA yatasambaratika, katika hali ambayo Marekani inafanya jitihada za kuyafelisha mapatano hayo na kutoa vitisho vya kujiondoa kwenye makubaliano hayo kila mara.

  • Zarif azikosoa nchi za Ulaya kwa kukubali mashinikizo ya Marekani

    Zarif azikosoa nchi za Ulaya kwa kukubali mashinikizo ya Marekani

    Mar 05, 2018 13:44

    Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amekosoa baadhi ya matamshi na mienendo ya viongozi wa nchi za Ulaya kuhusuna na utekelezaji wa makubaliano ya nyuklia ya JCPOA na vilevile tabia yao ya kusalimu amri mbele ya mashinikizo ya Marekani.

  • Mkurugenzi Mkuu wa IAEA asisitiza tena kuwa Iran imetekeleza kikamilifu makubaliano ya JCPOA

    Mkurugenzi Mkuu wa IAEA asisitiza tena kuwa Iran imetekeleza kikamilifu makubaliano ya JCPOA

    Mar 05, 2018 12:59

    Mkurugenzi Mkuu wa Wakala wa Kimataifa wa Nishati ya Atomiki (IAEA) amesisitiza kwa mara nyingine tena kuwa Iran imetekeleza kikamilifu makubaliano ya nyuklia ya JCPOA na kuongeza kuwa wakala huo umeweza kufanya ukaguzi kwenye maeneo na vituo vyote ilivyohitajia ndani ya Iran.

  • Safari ya Jean-Yves Le Drian mjini Tehran: Mazungumzo ya wazi na kinagaubaga

    Safari ya Jean-Yves Le Drian mjini Tehran: Mazungumzo ya wazi na kinagaubaga

    Mar 05, 2018 03:54

    Leo Iran ni mwenyeji wa Jean-Yves Le Drian Waziri wa Mambo ya Nje wa Ufaransa ambaye amewasili mapema leo alfajiri katika mji mkuu, Tehran kwa lengo la kufanya mazungumzo na wakuu wa Iran.

  • Iran: Tutajiondoa kwenye makubaliano ya nyuklia iwapo hayatakuwa na maslahi kwetu

    Iran: Tutajiondoa kwenye makubaliano ya nyuklia iwapo hayatakuwa na maslahi kwetu

    Feb 28, 2018 04:35

    Msemaji wa serikali ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema Tehran itajiondoa mara moja kwenye makubaliano ya nyuklia iwapo itahisi mapatano hayo hayana maslahi kwa taifa hili.

  • Araqchi: Uwepo wa Iran nchini Syria ni kwa ajili ya kupambana na ugaidi

    Araqchi: Uwepo wa Iran nchini Syria ni kwa ajili ya kupambana na ugaidi

    Feb 22, 2018 11:06

    Naibu Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, uwepo wa kiushauri wa Iran huko Iraq na Syria na kupambana na ugaidi umeyakwaza makundi ya kigaidi na kuyafanya yashindwe kuwa na udhibiti katika Mashariki ya Kati ikiwemo Lebanon.

  • Mshauri wa Usalama wa Taifa Marekani anaeneza chuki dhidi ya Iran

    Mshauri wa Usalama wa Taifa Marekani anaeneza chuki dhidi ya Iran

    Feb 18, 2018 04:12

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amesema Mshauri wa Usalama wa Taifa katika utawala wa Marekani anaeneza chuki dhidi ya Iran.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS