Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

jeshi

  • Jeshi la Nigeria laua wanachama 13 wa Boko Haram eneo la Ziwa Chad

    Jeshi la Nigeria laua wanachama 13 wa Boko Haram eneo la Ziwa Chad

    May 21, 2017 09:09

    Kundi la kigaidi na kitakfiri la Boko Haram limeendelea kupata pigo kutoka kwa askari wa jeshi la Nigeria, ambapo wanachama 13 wa genge hilo wameuawa kwenye makabaliano mapya yaliyotokea jana katika eneo la Ziwa Chad.

  • Mfululizo wa vipindi vya 'Ukatili wa Mabudha dhidi ya Waislamu wa Rohingya nchini Myanmar' na Sauti

    Mfululizo wa vipindi vya 'Ukatili wa Mabudha dhidi ya Waislamu wa Rohingya nchini Myanmar' na Sauti

    May 06, 2017 10:06

    Ni matumaini yangu kuwa hamjambo wapenzi wasikilizaji na karibuni kutegea sikio sehemu ya nne ya makala yanayozungumzia jinai na ukatili wa kutisha unaofanywa na Mabudha wenye kuchupa mipaka dhidi ya Waislamu wa kabila la Rohingya nchini Myanmar.

  • Magaidi 19 wa Daesh wauawa katika shambulizi la anga Misri

    Magaidi 19 wa Daesh wauawa katika shambulizi la anga Misri

    Apr 20, 2017 09:35

    Kwa akali magaidi 19 wa kundi la kigaidi na kitakfiri la Daesh akiwemo kamanda wa ngazi za juu wa genge hilo wameuawa katika shambulizi la anga la jeshi la Misri katika Peninsula ya Sinai.

  • 17 wauawa katika mapigano kati ya magaidi na wanajeshi Mali

    17 wauawa katika mapigano kati ya magaidi na wanajeshi Mali

    Apr 19, 2017 21:57

    Askari wa Ufaransa wakishirikiana na wanajeshi wa Mali wamefanikiwa kuangamiza magaidi 12 kaskazini mwa nchi hiyo ya Kiafrika.

  • Kiongozi Muadhamu: Uadui wa Marekani dhidi ya Iran hauna chembe ya shaka

    Kiongozi Muadhamu: Uadui wa Marekani dhidi ya Iran hauna chembe ya shaka

    Apr 19, 2017 11:35

    Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesisitiza kuwa, hakuna shaka yoyote kuhusu uadui wa madola ya kibeberu hususan Marekani dhidi ya taifa la Iran na kwamba uadui huo umekuwa ukioneshwa muda wote kwa sura tofauti.

  • Siku ya jeshi; dhihirisho la nguvu na uwezo wa kujilinda Iran

    Siku ya jeshi; dhihirisho la nguvu na uwezo wa kujilinda Iran

    Apr 18, 2017 06:28

    Leo tarehe 18 Aprili inasadifiana na Siku ya Jeshi la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran. Leo jeshi la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran limeyatumia maadhimisho haya kuonyesha uwezo wake unaoongezeka kila siku ambao kimsingi ni ngome imara ya kukabiliana na wavamizi.

  • Rouhani: Baadhi ya majeshi ya dunia yanaunga mkono ugaidi na mapinduzi ya kijeshi

    Rouhani: Baadhi ya majeshi ya dunia yanaunga mkono ugaidi na mapinduzi ya kijeshi

    Apr 18, 2017 03:41

    Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, jina la baadhi ya majeshi duniani linakumbushia uingiliaji wa mambo ya ndani ya nchi nyingine, mauaji ya kimbari, kuunga mkono ugaidi, kufanya mapinduzi ya kijeshi na kutoheshimu matakwa ya wananchi wa nchi hizo, lakini jeshi la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran daima linatajwa kwa wema.

  • Iran: Jeshi liko tayari kukabiliana na chokochoko zozote za maadui

    Iran: Jeshi liko tayari kukabiliana na chokochoko zozote za maadui

    Apr 16, 2017 11:24

    Kamanda Mkuu wa jeshi la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, Meja Jenerali Ataollah Salehi amesema jeshi limejiweka tayari kukabiliana na chokochoko zozote zile za maadui.

  • Jeshi la Iraq: Magaidi wa Daesh magharibi mwa Mosul wamezingrwa pande zote

    Jeshi la Iraq: Magaidi wa Daesh magharibi mwa Mosul wamezingrwa pande zote

    Apr 15, 2017 09:39

    Msemaji wa kamandi ya operesheni za pamoja za jeshi la Iraq kwa kushirikiana na harakati ya wananchi ya Hashdu sh-Sha'abi, amesema kuwa wanachama wa kundi la kigaidi na ukufurishaji la Daesh (ISIS) wamezingirwa tokea pande zote za mji huo.

  • Watu 16 wauwa katika mapigano nchini Sudan Kusini

    Watu 16 wauwa katika mapigano nchini Sudan Kusini

    Apr 11, 2017 12:05

    Kwa akali watu 16 wameuawa na wengine wengi kujeruhiwa katika mapigano baina ya wanajeshi wa serikali na waasi nchini Sudan Kusini.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS