Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

jeshi

  • Rais wa Misri alitaka jeshi kulinda usalama wa maeneo muhimu

    Rais wa Misri alitaka jeshi kulinda usalama wa maeneo muhimu

    Apr 10, 2017 02:38

    Rais Abdel Fattah el-Sisi wa Misri ametaka kuwekwa haraka vikosi vya ulinzi katika maeneo muhimu kwa ajili ya kulisaidia jeshi la polisi katika kulinda usalama wa miundombinu muhimu kwenye mikoa yote ya nchi hiyo.

  • Meja Jenerali Baqeri: Iran haitetereshwi na vita vya kisaikolojia vya Marekani

    Meja Jenerali Baqeri: Iran haitetereshwi na vita vya kisaikolojia vya Marekani

    Apr 04, 2017 23:40

    Mkuu wa Vikosi vya Ulinzi vya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema taifa hili halibabaishwi na vita vya kisaikolojia vya Marekani na waitifaki wake.

  • Jeshi la Syria laangamiza magaidi zaidi ya 2000 wa kitakfiri, Hama

    Jeshi la Syria laangamiza magaidi zaidi ya 2000 wa kitakfiri, Hama

    Mar 31, 2017 10:22

    Jeshi la Syria limefanikiwa kuangamiza maelfu ya wanachama wa kundi la kigaidi na kitakfiri la Jabhat Fateh al-Sham karibu na mji wa Hama, ulio magharibi mwa nchi.

  • Marekani: Chaguo la kuishambulia kijeshi Korea Kaskazini lipo mezani

    Marekani: Chaguo la kuishambulia kijeshi Korea Kaskazini lipo mezani

    Mar 18, 2017 03:48

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani amesema Washington haitavumilia tena chokochoko za Korea Kaskazini na ikibidi, US itashambulia kijeshi Pyongyang.

  • Jeshi la Syria lakomboa misikiti mitatu toka mikononi mwa Daesh

    Jeshi la Syria lakomboa misikiti mitatu toka mikononi mwa Daesh

    Mar 15, 2017 03:38

    Jeshi na vikosi vya kujitolea vya wananchi wa Syria vimekomboa misikiti mitatu iliyokuwa chini ya udhibiti wa kundi la kigaidi na kitakfiri la Daesh, mashariki mwa mji wa Damascus.

  • Wanajeshi wa Sudan waachiliwa huru kwa upatanishi wa Rais Museveni

    Wanajeshi wa Sudan waachiliwa huru kwa upatanishi wa Rais Museveni

    Mar 05, 2017 04:09

    Waasi wa Harakati ya Wananchi ya Ukombozi wa Sudan wamewaachilia huru wanajeshi kadhaa wa nchi hiyo waliokuwa wanawashikilia mateka.

  • Jeshi la Nigeria lawashambulia tena Waislamu wa nchi hiyo

    Jeshi la Nigeria lawashambulia tena Waislamu wa nchi hiyo

    Mar 03, 2017 10:11

    Jeshi na Nigeria pamoja na polisi wa nchi hiyo kwa pamoja wamelishambulia jengo moja la Harakati ya Kiislamu ya nchi hiyo katika mji wa Katsina ulioko kaskazini mwa nchi hiyo ya magharibi mwa Afrika.

  • Israel yafanya hujuma mpya za anga Ukanda wa Gaza

    Israel yafanya hujuma mpya za anga Ukanda wa Gaza

    Feb 28, 2017 04:22

    Jeshi la utawala katili wa Israel limefanya mashambulizi mapya ya anga katika Ukanda wa Gaza na kujeruhi watu kadhaa.

  • Rais Barrow amfuta kazi mkuu wa jeshi Gambia na makanda 10

    Rais Barrow amfuta kazi mkuu wa jeshi Gambia na makanda 10

    Feb 28, 2017 03:54

    Rais Adama Barrow wa Gambia amempiga kalamu nyekundu Mkuu wa Jeshi la nchi hiyo, Jenerali Ousman Badjie, pamoja na makamanda wengine 10 wa ngazi za juu wa vikosi vya usalama nchini humo.

  • Waziri ajiuzulu Sudan Kusini, ajiunga na kundi la waasi

    Waziri ajiuzulu Sudan Kusini, ajiunga na kundi la waasi

    Feb 17, 2017 11:05

    Waziri wa Leba wa Sudan Kusini ametangaza kujiuzulu na kusema kuwa sasa ataunga mkono harakati zinazofanywa na waasi wanaomuunga mkono Riek Machar, Makamu wa Rais wa zamani wa nchi hiyo.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS