Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

jeshi

  • 11 wauawa katika makabiliano baina ya jeshi la Nigeria na Boko Haram

    11 wauawa katika makabiliano baina ya jeshi la Nigeria na Boko Haram

    Feb 17, 2017 10:57

    Kwa akali watu 11 wameuawa katika makabiliano kati ya vikosi vya serikali na wanamgambo wa kundi la kigaidi na kitakfiri la Boko Haram mapema leo katika mji wa Maiduguri, kaskazini mashariki mwa nchi mwa Nigeria.

  • UN: 100 wauawa katika mapigano kati ya jeshi na waasi DRC

    UN: 100 wauawa katika mapigano kati ya jeshi na waasi DRC

    Feb 14, 2017 11:09

    Umoja wa Mataifa umesema jeshi la Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo limeua makumi ya watu katika makabiliano na kundi la waasi kati ya Februari 9 na 13.

  • Jeshi la majini la Iran lawatimua maharamia wa Somalia

    Jeshi la majini la Iran lawatimua maharamia wa Somalia

    Feb 13, 2017 11:48

    Maharamu kutoka Somalia waliojaribu kuteka nyara meli ya mizigo ya Iran wametimuliwa na manwoari za Jeshi la Majini la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.

  • Jeshi la Iran lasisitiza udharura wa kulindwa lango la Bab El Mandab

    Jeshi la Iran lasisitiza udharura wa kulindwa lango la Bab El Mandab

    Feb 13, 2017 04:49

    Kamanda wa Jeshi la Majini la Iran amesema kuwa suala linalopewa umuhimu zaidi na jeshi hilo kwa sasa ni kulinda usalama wa Ghuba ya Aden, Bahari Nyekundu na lango bahari la Bab El Mandab.

  • Naibu Mkuu wa Majeshi Sudan Kusini ajiuzulu kulalamikia ubakaji na udhalilishaji raia

    Naibu Mkuu wa Majeshi Sudan Kusini ajiuzulu kulalamikia ubakaji na udhalilishaji raia

    Feb 12, 2017 12:48

    Naibu Mkuu wa Majeshi ya Sudan Kusini anayehusika na masuala ya kilojistiki Luteni Jenerali Thomas Cirillo Swaka amejiuzulu kulalamikia vitendo vya unyanyasaji vikiwemo vya udhalilishaji wa kingono unaofanywa na vikosi vya usalama dhidi ya raia na kile alichokiita kuongezeka upendeleo wa kikabila jeshini.

  • Jeshi la Iran: Marekani ilitaka kutushambulia 1991, 2001 bila mafanikio

    Jeshi la Iran: Marekani ilitaka kutushambulia 1991, 2001 bila mafanikio

    Jan 30, 2017 01:08

    Kamanda wa Jeshi la Nchi Kavu la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, serikali ya Marekani ilitaka kuivamia nchi hii mwaka 1991 na 2001, lakini ikashindwa kutokana na kuwa macho na uwezo wa kujihami taifa hili.

  • Watu 37 wauawa katika shambulizi la bomu kaskazini mwa Mali

    Watu 37 wauawa katika shambulizi la bomu kaskazini mwa Mali

    Jan 18, 2017 13:09

    Makumi ya watu wameuawa na wengine wengi kujeruhiwa katika shambulizi la bomu karibu na kambi ya jeshi kaskazini mwa Mali leo Jumatano.

  • Raia mia moja wauawa katika shambulizi la Jeshi la Anga la Nigeria

    Raia mia moja wauawa katika shambulizi la Jeshi la Anga la Nigeria

    Jan 18, 2017 01:19

    Makumi ya watu wameuawa katika shambulizi lililofanywa na ndege za kivita za Nigeria dhidi ya kambi moja ya wakimbizi kaskazini mashariki mwa nchi hiyo.

  • Jeshi la Iraq: Tumekomboa 90% ya mashariki mwa mji wa Mosul kutoka Daesh

    Jeshi la Iraq: Tumekomboa 90% ya mashariki mwa mji wa Mosul kutoka Daesh

    Jan 17, 2017 03:38

    Kamanda mwandamizi wa Kitengo cha Kupambana na Ugaidi cha Jeshi la Iraq (CTS) amesema askari wa nchi hiyo wamefanikiwa kukomboa karibu asilimia 90 ya eneo la mashariki mwa mji wa Mosul kutoka mikononi mwa genge la kigaidi la Daesh.

  • Malengo ya Uturuki ya kuendelea kukiuka haki ya kujitawala Iraq

    Malengo ya Uturuki ya kuendelea kukiuka haki ya kujitawala Iraq

    Jan 16, 2017 00:22

    Licha ya malalamiko ya kila mara na mashitaka ya serikali ya Iraq katika asasi za kieneo na kimataifa, bado Uturuki imekataa kuondoa askari wake kutoka kambi ya kijeshi ya Bashiqa.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS