-
Yahya Rasul: Iraq haihitaji askari wa kigeni kwa ajili ya kupambana na ugaidi
Jun 03, 2020 07:28Msemaji wa kamandi kuu ya jeshi la Iraq amesema kuwa, nchi hiyo haihitai askari yeyote wa kigeni kwa ajili ya mapambano na mabaki ya ugaidi.
-
Waziri wa Vita wa Israel atoa amri ya kutekwa ardhi zaidi za Wapalestina, Ukingo wa Magharibi
Jun 02, 2020 11:30Waziri wa Vita wa utawala wa Kizayuni wa Israel amemtaka mkuu wa majeshi ya utawala huo katili na ghasibu afanyie uchunguzi njia za kutekeleza kivitendo mpango wa kuteka maeneo zaidi ya Wapalestina ya Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan na aongeze utayari wa jeshi la Israel kwa ajili ya kutekeleza mpango huo.
-
"Gwaride la Huduma": Jeshi la Iran liko pamoja na wananchi katika vita dhidi ya corona
Apr 17, 2020 09:35Jeshi la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran daima hulinda kiwango cha uwezo wake wa kiulinzi na kumzuia adui kuanzisha mashambulizi na wakati huo huo huwa pamoja na wananchi wakati wa maafa au majanga na kuwasaidia kutatua matatizo yao.
-
Jeshi la Majini la Iran kuunda nyambizi za nyuklia
Apr 17, 2020 04:30Kamanda wa Jeshi la Majini la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kikosi hicho kinajiandaa kuunda nyambizi zitakazotumia nishati ya nyuklia zenye uwezo wa kutekeleza operesheni za baharini kwa muda mrefu zaidi katika maji ya kimataifa.
-
Brigedia Amir Hatami: Jeshi la Iran ni miongoni mwa majeshi yaliyojiweka tayari zaidi duniani
Apr 15, 2020 12:58Waziri wa Ulinzi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran sambamba na kutoa pongezi kwa mnasaba wa kuwadia Siku ya Jeshi la Iran amesema kuwa, katika mtazamo wa zana za kijeshi, nguvukazi, mafunzo na mipango, jeshi la nchi hii ni kati ya majeshi yaliyojiweka tayari zaidi duniani.
-
Bashar Asad: Syria itaanza opesheni dhidi ya wavamizi wa Kimarekani karibuni
Mar 06, 2020 08:23Rais Bashar Assad wa Syria amesema kuwa Uturuki inatekeleza maagizo ya Marekani na inafanya juu chini kuhakikisha kwamba Damascus haikomboi mkoa wa Idlib kutoka kwenye makucha ya makundi ya kigaidi.
-
Jeshi la Syria lakomboa kikamilifu kusini mwa mkoa wa Idlib
Feb 28, 2020 01:17Taasisi inayoitwa 'Watetezi wa Haki za Binaadamu Syria' imetangaza kuwa jeshi la Syria limefanikiwa kukomboa kikamilifu kusini mwa mkoa wa Idlib, kaskazini mwa nchi hiyo ya Kiarabu.
-
Wakazi wa mkoa wa al Hasakah Syria waanzisha mapambano ya kuwafukuza wanajeshi wa Marekani
Feb 14, 2020 02:40Gavana wa mkoa wa al Hasakah nchini Syria amezitaja hatua za mapambano zilizochukuliwa na raia wa vijiji kadhaa vya mkoa huo dhidi ya wanajeshi wa Marekani kuwa ni kuanza kwa mapambano ya wananchi ya kuwafukuza wanajeshi vamizi wa Marekani huko Syria.
-
Mazoezi ya pamoja ya kijeshi ya Russia na Syria Baharini
Jan 22, 2020 01:03Majeshi ya Russia na Syria yamefanya mazoezi ya pamoja ya kijeshi katika Bandari ya Tartus ya Syria katika pwani ya Bahari ya Mediterranea.
-
Njama za Marekani za kutaka kuficha hasara kubwa za shambulizi la makombora ya Iran huko Ainul Asad
Jan 18, 2020 12:43Katika jitihada zake za kutimiza ahadi ya kulipiza kisasi kikali dhidi ya Marekani kutokana na mauaji ya kigaidi yaliyofanywa na nchi hiyo dhidi ya Luteni Jenerali Qassem Soleimani na wana jihadi wenzake, Alfajii ya Jumatano tarehe 8 Januari Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ilishambulia kambi kubwa zaidi ya wanajeshi wa Marekani nchini Iraq ya Ainul Asad.