Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Jumuiya ya Nchi za Kiarabu

  • Imarati yazitaka nchi za Kiarabu ziboreshe uhusiano na utawala katili wa Israel

    Imarati yazitaka nchi za Kiarabu ziboreshe uhusiano na utawala katili wa Israel

    Mar 29, 2019 00:08

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Imarati ameziasa nchi za Kiarabu ziimarishe uhusiano wao na utawala wa Kizayuni wa Israel.

  • Ijumaa, 22 Machi, 2019

    Ijumaa, 22 Machi, 2019

    Mar 21, 2019 20:45

    Leo ni Ijumaa tarehe 15 Rajab 1440 Hijria sawa na Machi 22 mwaka 2019 Miladia.

  • Iran: Taarifa ya kikao cha Arab League haina maana wala itibari

    Iran: Taarifa ya kikao cha Arab League haina maana wala itibari

    Mar 08, 2019 04:21

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amesema taarifa ya Jumuiya ya Nchi za Kiarabu (Arab League) ni ya kipuuzi, isiyo na itibari na ambayo ni chachu ya fitina na migawanyiko katika eneo.

  • Jumuiya ya Nchi za Kiarabu yaunga mkono ripoti ya UN kuhusu jinai za Israel

    Jumuiya ya Nchi za Kiarabu yaunga mkono ripoti ya UN kuhusu jinai za Israel

    Mar 01, 2019 04:43

    Jumuiya ya Nchi za Kiarabu, Arab League, imeunga mkono ripoti ya hivi karibuni ya Umoja wa Mataifa kuhusu jinai ambazo zinatendwa na utawala wa Kizayuni wa Israel dhidi ya Wapalestina katika Ukanda wa Ghaza.

  • Wapalestina wazitaka nchi za Kiarabu zisusie mkutano wa Poland

    Wapalestina wazitaka nchi za Kiarabu zisusie mkutano wa Poland

    Feb 12, 2019 10:47

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Palestina ametoa mwito kwa nchi za Kiarabu kususia mkutano wa Poland, ulioitishwa na kufadhiliwa na Marekani.

  • Arab League: Uingiliaji wa kigeni sababu kuu ya kuendelea mgogoro nchini Syria

    Arab League: Uingiliaji wa kigeni sababu kuu ya kuendelea mgogoro nchini Syria

    Jan 29, 2019 03:57

    Mahmoud Afifi, Msemaji wa Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Nchi za Kiarabu, Arab League amesema katika mazungumzo yake na Geir Pedersen, mjumbe mpya wa Umoja wa Mataifa katika kadhia ya Syria kwamba uingiliaji wa kigeni ndiyo sababu ya kuendelea mgogoro nchini humo.

  • Kuongezeka harakati za kisiasa za Russia  Asia Magharibi; kukabiliana na hatua za Marekani

    Kuongezeka harakati za kisiasa za Russia Asia Magharibi; kukabiliana na hatua za Marekani

    Jan 27, 2019 04:38

    Katika miaka ya karibuni Russia imezidisha pakubwa harakati zake katika eneo la Asia Magharibi na kaskazini mwa Afrika. Nukta muhimu kuhusu jitihada hizo za Russia ni kuimarisha uwepo wake wa kijeshi huko Syria tangu Septemba mwaka 2015 kwa lengo la kupambana na makundi ya kigaidi na kuiunga mkono serikali halali ya Syria.

  • Tunisia yaungana na Lebanon na Iraq kutaka Syria irejeshwe Arab League

    Tunisia yaungana na Lebanon na Iraq kutaka Syria irejeshwe Arab League

    Jan 27, 2019 04:09

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Tunisia Khemaies Jhinaoui ametoa mwito kwa Jumuiya ya Nchi za Kiarabu kuirejeshea Syria kiti chake cha uwanachama katika jumuiya hiyo na kusisitiza kwamba "mahali pa kimaumbile" pa nchi hiyo ni katika jumuiya hiyo yenye nchi 22 wanachama.

  • Katibu Mkuu wa Arab League: Tutairejeshea Syria uanachama wake

    Katibu Mkuu wa Arab League: Tutairejeshea Syria uanachama wake

    Jan 16, 2019 23:15

    Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Nchi za Kiarabu (Arab League) amesema kuwa, licha ya kwamba suala la Syria ni tata kutokana na uingiliaji wa madola ya kigeni, lakini bila ya shaka yoyote Damascus itarejeshewa uanachama wake katika jumuiya hiyo.

  • Arab League yazilaani Brazil, Australia kwa kuitambua Quds kuwa eti mji mkuu wa Israel

    Arab League yazilaani Brazil, Australia kwa kuitambua Quds kuwa eti mji mkuu wa Israel

    Dec 19, 2018 04:10

    Jumuiya ya Nchi za Kiarabu imepasisha azimio la kulaani hatua ya Brazil na Australia ya kuutambua mji wa Quds unaokaliwa kwa mabavu na utawala haramu wa Israel kuwa eti ni mji mkuu wa utawala huo pandikizi.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS