-
Kuendelea kukosolewa utendaji wa Jumuiya ya Nchi za Kiarabu kuhusu vita dhidi ya ugaidi
Dec 25, 2016 00:22Waziri wa Mambo ya Nje wa Iraq amekosoa utendaji wa Jumuiya ya Nchi za Kiarabu (Arab League) kuhusu masuala ya eneo la Mashariki ya Kati na mapambano dhidi ya ugaidi.
-
Palestina; elekeo la macho ya jamii ya kimataifa
Dec 22, 2016 04:19Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Nchi za Kiarabu (Arab League), Ahmad Abul Ghaith na Federica Mogherini, Mkuu wa Sera za Nje wa Umoja wa Ulaya wamesisitiza kuwa kadhia ya Palestina inaendelea kuwa suala la msingi la kushughulikiwa kimataifa.
-
EU, Arab League zalaani ujenzi wa vitongoji vya walowezi wa Kizayuni
Dec 21, 2016 10:54Umoja wa Ulaya EU na Jumuiya ya Nchi za Kiarabu zimelaani hatua ya utawala ghasibu wa Israel kuendeleza ujenzi wa vitongoji vya walowezi wa Kiyahudi katika ardhi za Palestina unazozikalia kwa mabavu.
-
Amnesty: Ukiukaji wa haki za bindamu unaofanywa na nchi za Kiarabu ukomeshwe
Dec 06, 2016 12:21Shirika la kutetea haki za binadamu la Amnesty International limetoa wito wa kukomeshwa uvunjaji wa haki za binadamu unaofanywa na nchi za Kiarabu za Ghuba ya Uajemi.
-
Arab League yasisitiza udharura wa kukabiliana na vyombo vya habari vya Kiarabu vyenye misimamo mikali
Nov 01, 2016 04:14Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Nchi za Kiarabu (Arab League) amesema upo udharura wa kukabiliana na vyombo vya habari vya Kiarabu vyenye misimamo mikali.
-
Mustakabali wa Ulimwengu wa Kiarabu kwa mtazamo wa Rais wa zamani wa Tunisia
Oct 14, 2016 00:42Rais wa zamani wa Tunisia Muhammad al-Munṣif al-Marzūqī amesema, kutokana na kuendelea machafuko na vitendo vya kigaidi katika upeo wa kieneo, hali hiyo unayokabiliana nayo hivi sasa Ulimwengu wa Kiarabu itaendelea kushuhudiwa kwa muda wa miaka 10 hadi 20 ijayo.
-
Radiamali ya Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran kwa matamshi ya Katibu Mkuu wa A/League
Sep 07, 2016 23:34Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ameyataja madai ya Jumuiya ya Nchi za Kiarabu (Arab League) kwamba Iran inaingilia masuala ya nchi za Kiarabu kuwa ni tuhuma zisizo na msingi na kurudia tuhuma zisizo na mpango za huko nyuma.
-
Iran yatoa jibu kwa matamshi ya upotoshaji ya Katibu Mkuu wa Arab League
Aug 30, 2016 23:57Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amepinga matamshi ya uingiliaji mambo ya ndani ya Iran yaliyotolewa na Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Nchi za Kiarabu kuhusu visiwa vitatu vya Bumusa, Tomb Kubwa na Tomb Ndogo.
-
Zarif: Ulimwengu wa Kiarabu unakabiliwa na changamoto chungu nzima
Aug 13, 2016 03:38Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Iran amesema ulimwengu wa Kiarabu haswa katika eneo la Mashariki ya Kati unakabiliwa na changamoto nyingi na kwamba Jamhuri ya Kiislamu sio miongoni mwa matatizo ya nchi za Kiarabu.
-
Arab League yalaani kuendelezwa ujenzi wa vitongoji vya walowezi wa Kizayuni
Aug 01, 2016 03:03Jumuiya ya Nchi za Kiarabu (Arab League) imelaani hatua ya Israel ya kuendeleza ujenzi wa nyumba nyingine za walowezi wa Kizayuni katika ardhi za Wapalestina.