Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Karbala

  • Kwa mnasaba wa maadhimisho ya siku ya kuzaliwa Bibi Zainab AS

    Kwa mnasaba wa maadhimisho ya siku ya kuzaliwa Bibi Zainab AS

    Dec 31, 2019 07:12

    Bibi Zainab (sa) alijipamba kwa sifa na fadhila nyingi nzuri na za kupigiwa mfano kadiri kwamba sifa hizo bora zilimfanya kuwa bibi mwema aliyepaswa kuigwa na watu wengine. Alikuwa na tabia, fadhila na maadili mema mengi yaliyofanya kuwa na sifa za kipekee miongoni mwa watu na jamii aliyoishi ndani yake.

  • Zaidi ya wafanyaziara milioni 17 wameshiriki katika Arubaini ya Imam Hussein (as) ya mwaka huu

    Zaidi ya wafanyaziara milioni 17 wameshiriki katika Arubaini ya Imam Hussein (as) ya mwaka huu

    Oct 21, 2019 02:39

    Gavana wa mkoa wa Karbala nchini Iraq ametangaza kuwa, idadi ya mazuwari walioshiriki kwenye maombolezo ya Arubaini ya Imam Hussein (as) mwaka huu imepindukia milioni 17.

  • Mahojiano maalumu ya Salum Bendera na baadhi ya mazuwwar katika Mashaya (matembezi ya Arubaini ya Imam Hussein as)

    Mahojiano maalumu ya Salum Bendera na baadhi ya mazuwwar katika Mashaya (matembezi ya Arubaini ya Imam Hussein as)

    Oct 20, 2019 08:08

    Katika miaka ya hivi karibuni Mashaya (matembezi ya Arubaini ya Imam Hussein as) yamechukua mkondo mpana zaidi ambapo mamilioni ya Waislamu na wasiokuwa Waislamu hushiriki katika kumbukumbu hii.

  • Historia ya Matembezi ya Arubaini ya Imam Hussein AS

    Historia ya Matembezi ya Arubaini ya Imam Hussein AS

    Oct 20, 2019 07:33

    Assalaamu alaykum wapenzi wasikilizaji wa Radio Tehran, Idhaa ya Kiswahili Sauti ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran popote pale mlipo hususan huko nyumbani Afrika Mashariki.

  • Iran yatoa mkono wa pole kwa familia za Mashahidi wa Karbala

    Iran yatoa mkono wa pole kwa familia za Mashahidi wa Karbala

    Sep 11, 2019 07:35

    Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imetuma salamu za rambirambi kwa serikali ya Iraq na familia za Mashahidi kufuatia tukio la kufa shahidi makumi ya watu katika mji mtakatifu wa Karbala.

  • Waislamu milioni tatu wazuru Haram ya Imam Hussein Karbala, wakumbuka mauaji yake

    Waislamu milioni tatu wazuru Haram ya Imam Hussein Karbala, wakumbuka mauaji yake

    Sep 11, 2019 03:26

    Zaidi ya Waislamu milioni tatu jana tarehe 10 Muharram ambayo ni maarufu kama siku ya Ashura, walishiriki katika maombolezo ya kukumbuka mauaji ya mjukuu wa Mtume wetu muhammad (saw), Imam Hussein bin Ali bin Abi Twalib (as) katika mji mtakatifu wa Karbala nchini Iraq.

  • Jumatatu, 09 Septemba, 2019

    Jumatatu, 09 Septemba, 2019

    Sep 09, 2019 00:27

    Leo ni Jumatatu tarehe 9 Muharram 1441 Hijria sawa na Septemba 9 mwaka 2019.

  • Ijumaa, tarehe 6, Septemba 2019

    Ijumaa, tarehe 6, Septemba 2019

    Sep 06, 2019 02:26

    Leo ni Ijumaa tarehe 6 Mfunguo Nne Muharram 1441 Hijria sawa na Septemba 6 mwaka 2019.

  • Jumamosi, 02, Machi, 2019

    Jumamosi, 02, Machi, 2019

    Mar 02, 2019 02:50

    Leo ni Jumamosi tarehe 24 Mfunguo Tisa Jamadithani 1440 Hijria sawa na tarehe Pili Machi 2019 Miladia.

  • Wafanyaziara milioni 15 wamefika Karbala kushiriki kwenye Arubaini ya Imam Hussein (as)

    Wafanyaziara milioni 15 wamefika Karbala kushiriki kwenye Arubaini ya Imam Hussein (as)

    Oct 30, 2018 07:26

    Baraza la Mkoa wa Karbala nchini Iraq limetangza kuwa limesajili wafanyaziara milioni 15 walioingia nchini humo kwa ajili ya Arubaini ya Imam Hussein (as) huku idadi ya mazuwari hao ikiwa inaendelea kuongezeka.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS