Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Kenya

  • Ongezeko la vyama vya siasa Kenya kabla ya uchaguzi wa 2027, mradi wa kibiashara?

    Ongezeko la vyama vya siasa Kenya kabla ya uchaguzi wa 2027, mradi wa kibiashara?

    Oct 29, 2023 10:50

    Ongezeko la vyama vya siasa vinavyojiandikisha nchini Kenya kuelekea uchaguzi mkuu wa 2027 limetajwa kuwa ni mradi wa viongozi wa vyama hivyo kwa ajili ya kujipatia kitita kikubwa cha fedha za walipakodi wa Kenya.

  • Wakenya wawasha mishumaa kuonyesha mshikamano na Wapalestina

    Wakenya wawasha mishumaa kuonyesha mshikamano na Wapalestina

    Oct 15, 2023 07:58

    Wananchi wa Kenya wamekusanyika na kuwawasha mishumaa katika mji mkuu wa nchi hiyo, Nairobi kuonyesha mshikamano wao na wananchi wa Palestina. Mashirika yaliyoandaa shughuli hiyo ni pamoja na Kenyans 4 Palestine, The Pan African Palestine Solidarity Network (PAPSN) na podkasti ya 'Until Everyone is Free.'

  • Waislamu Kenya wapinga hatua ya Mahakama ya Juu kuruhusu mashoga kusajiliwa

    Waislamu Kenya wapinga hatua ya Mahakama ya Juu kuruhusu mashoga kusajiliwa

    Sep 23, 2023 23:44

    Viongozi na wasomi wa dini ya Kiislamu wa Kenya wamelaani vikali uamuzi wa Mahakama ya Juu kuruhusu makundi ya mashoga na wasagaji kusajiliwa.

  • Rais wa Kenya: Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa halifai, libadilishwe

    Rais wa Kenya: Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa halifai, libadilishwe

    Sep 22, 2023 04:04

    Takwa la muda mrefu la viongozi wengi hususan kutoka Barani Afrika la Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa lililoundwa tarehe 25 Octoba mwaka 1945 kufanyiwa marekebisho makubwa limeendelea kuchukua nafasi katika hotuba za viongozi wa ngazi za juu wanaohutubia katika mkutano wa 78 wa Baraza Kuu la UN jijini New York ambapo Rais William Ruto wa Kenya amesema sababu zote za kulifanyia marekebisho baraza hilo zipo wazi.

  • Kenya kupeleka vikosi maalumu pwani na kaskazini kukabiliana na ukosefu wa usalama

    Kenya kupeleka vikosi maalumu pwani na kaskazini kukabiliana na ukosefu wa usalama

    Sep 20, 2023 23:05

    Serikali ya Kenya inapanga kupeleka vikosi maalumu katika maeneo ya kaskazini na pwani ili kukabiliana na tishio la ugaidi kufuatia ongezeko la mashambulizi ya kigaidi katika maeneo hayo.

  • Balozi wa Kenya nchini Iran atembelea viwanda vya uzalishaji Arak

    Balozi wa Kenya nchini Iran atembelea viwanda vya uzalishaji Arak

    Aug 21, 2023 07:39

    Balozi wa Kenya mjini Tehran ametembelea viwanda vya uzalishaji katika mji wa Arak, makao makuu ya mkoa wa Markazi, unaofahamika kama mji mkuu wa viwanda wa Iran.

  • Shambulio la kigaidi la Al-Shabaab laua watu wawili na kujeruhi wengine 10 Lamu, Kenya

    Shambulio la kigaidi la Al-Shabaab laua watu wawili na kujeruhi wengine 10 Lamu, Kenya

    Aug 02, 2023 04:27

    Watu wawili wameaga dunia na wengine wapatao 10 wamejeruhiwa, akiwemo diwani wa eneo moja wakati magaidi 60 wanaoshukiwa kuwa wanachama wa kundi la Al-Shabaab walipovamia magari katika eneo la Mwembeni, karibu na Lango la Simba kwenye barabara kuu ya Lamu-Witu-Garsen nchini Kenya.

  • Kenya yasema iko tayari kuongoza kikosi cha kimataifa cha kurejesha utulivu Haiti

    Kenya yasema iko tayari kuongoza kikosi cha kimataifa cha kurejesha utulivu Haiti

    Jul 30, 2023 23:39

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Kenya Alfred Mutua amesema nchi yake iko tayari kuongoza kikosi cha kimataifa nchini Haiti; na itapeleka maafisa 1,000 wa polisi katika taifa hilo la Karibean lililokumbwa na mapigano mara tu pendekezo lake litakapokubaliwa.

  • Odinga alaani ukatili wa polisi, asema Ruto alikatiza juhudi za upatanishi za Rais Samia

    Odinga alaani ukatili wa polisi, asema Ruto alikatiza juhudi za upatanishi za Rais Samia

    Jul 25, 2023 11:50

    Kiongozi mkongwe wa upinzani nchini Kenya, Raila Odinga leo Jumanne amelaani "ukatili usio na kifani wa polisi" wakati wa maandamano ya kupinga serikali na gharama za juu za maisha ambayo yamekuwa yakifanyika katika nchi hiyo ya Afrika Mashariki katika miezi ya hivi karibuni.

  • Balozi wa Iran nchini Kenya: Jamhuri ya Kiislamu imefanikiwa kupanua ushirikiano na nchi za Afrika

    Balozi wa Iran nchini Kenya: Jamhuri ya Kiislamu imefanikiwa kupanua ushirikiano na nchi za Afrika

    Jul 14, 2023 04:32

    Balozi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran nchini Kenya amesema kuwa utendaji wa Serikali ya Awamu ya 13 umekuwa na mafanikio katika kupanua ushirikiano na Kenya.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS