-
Kiongozi wa tapo la kidini Kenya na wenzake 29 washtakiwa kwa mauaji ya watoto 121
Feb 07, 2024 00:19Kiongozi wa tapo la kidini nchini Kenya liitwalo Good News International, Paul Nthenge Mackenzie na wasaidizi wake 29 wameshtakiwa rasmi kuhusika na mauaji ya watoto 191 ambao miili yao ilipatikana kati ya mamia ya watu waliozikwa kwenye msitu wa Shakahola.
-
Rwanda yasitisha matumizi ya dawa za fungus (Kuvu) kutoka Kenya kwa sababu za kiusalama
Jan 05, 2024 08:25Mamlaka husika ya Afya nchini Rwanda imetaka kurudishwa dawa aina ya antifungal zilizo katika muundo wa vidonge zinazotumika kutibu matatizo ya fungus (Kuvu) zinazozalishwa nchini Kenya kutokana na masuala ya usalama.
-
Raila Odinga kuanzisha tena vuguvugu la maandamano dhidi ya sera ya ushuru wa Rais Ruto wa Kenya
Dec 31, 2023 05:21Kiongozi wa kambi ya upinzani nchini Kenya, Raila Odinga, amesema kwamba katika mwaka mpya ataanzisha vuguvugu wa kuwahamasisha Wakenya kupinga ubadhirifu wa serikali ikiwa ni pamoja na kutoza ushuru mkubwa kuzuia fedha za elimu bila malipo na ufisadi.
-
Jumanne, Disemba 12, 2023
Dec 11, 2023 23:32Leo ni Jumanne tarehe 28 Mfunguo Nane Jumadil Awwal 1445 Hijria inayosadifiana na tarehe 12 Disemba 2023.
-
Rais Ruto: Kenya imeweka mikakati ya kukabiliana na athari za mafuriko
Nov 25, 2023 10:06Rais William Ruto wa Kenya amesema serikali yake imeweka mipango ya kuwasaidia raia ambao wameathirika na mafuriko yanayoendelea kuripotiwa kutokana na mvua kubwa inayoendelea kunyesha kwenye kanda ya Afrika Mashariki.
-
Maonyesho ya picha yafanyika Nairobi, Kenya kwa lengo la kuwaunga mkono watu wa Gaza
Nov 21, 2023 09:22Waislamu na watetezi wa Palestina nchini Kenya wamefanya maonyesho ya picha na michoro inayoakisi matukio ya vita vya Gaza ili kuonyesha mshikamano na namna wanavyoumizwa na hali ya wananchi wanaodhulumiwa wa Palestina.
-
Bunge la Kenya laidhinisha mpango wa nchi hiyo kutuma vikosi vya polisi Haiti
Nov 16, 2023 09:19Bunge la Kenya leo Alhamisi limeidhinisha kutumwa kwa maafisa wa polisi elfu moja katika nchi ya Haiti iliyotumbukia katika machafuko na ghasia za magenge yenye silaha.
-
Ongezeko la vyama vya siasa Kenya kabla ya uchaguzi wa 2027, mradi wa kibiashara?
Oct 29, 2023 10:50Ongezeko la vyama vya siasa vinavyojiandikisha nchini Kenya kuelekea uchaguzi mkuu wa 2027 limetajwa kuwa ni mradi wa viongozi wa vyama hivyo kwa ajili ya kujipatia kitita kikubwa cha fedha za walipakodi wa Kenya.
-
Wakenya wawasha mishumaa kuonyesha mshikamano na Wapalestina
Oct 15, 2023 07:58Wananchi wa Kenya wamekusanyika na kuwawasha mishumaa katika mji mkuu wa nchi hiyo, Nairobi kuonyesha mshikamano wao na wananchi wa Palestina. Mashirika yaliyoandaa shughuli hiyo ni pamoja na Kenyans 4 Palestine, The Pan African Palestine Solidarity Network (PAPSN) na podkasti ya 'Until Everyone is Free.'
-
Waislamu Kenya wapinga hatua ya Mahakama ya Juu kuruhusu mashoga kusajiliwa
Sep 23, 2023 23:44Viongozi na wasomi wa dini ya Kiislamu wa Kenya wamelaani vikali uamuzi wa Mahakama ya Juu kuruhusu makundi ya mashoga na wasagaji kusajiliwa.