Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Kenya

  • Rais Raisi alakiwa rasmi na Rais Yoweri Museveni wa Uganda Ikulu ya Entebe

    Rais Raisi alakiwa rasmi na Rais Yoweri Museveni wa Uganda Ikulu ya Entebe

    Jul 12, 2023 12:08

    Rais Ebrahim Raisi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amewasili nchini Uganda akiendelea na ziara yake ya kieneo barani Afrika ambapo amelakiwa na kukaribishwa rasmi na Rais Yoweri Kaguta Museveni wa nchi hiyo katika Ikulu ya Entebe.

  • Iran na Kenya zatiliana saini hati tano za ushirikiano

    Iran na Kenya zatiliana saini hati tano za ushirikiano

    Jul 12, 2023 03:54

    Iran na Kenya zimetiliana saini hati tano za ushirikiano katika nyuga tofauti za mawasiliano, uvuvi, kilimo, afya na elimu ya ufundi, maarifa na matibabu.

  • Kenya yaakhirisha kufungua tena mpaka wake na Somalia

    Kenya yaakhirisha kufungua tena mpaka wake na Somalia

    Jul 06, 2023 01:02

    Kenya jana ilitangaza kuwa imeakhirisha kufungua tena mpaka wake na Somalia baada ya mashambulizi ya karibuni katika ardhi yake. Kundi la wanamgambo wa al Shabab lenye makao yake Somalia linatuhumiwa kuhusika na mashambulizi hayo.

  • Watu 50 wapoteza maisha katika ajali ya barabarani nchini Kenya

    Watu 50 wapoteza maisha katika ajali ya barabarani nchini Kenya

    Jul 01, 2023 02:56

    Watu wasiopungua 50 wameaga dunia katika ajali mbaya ya barabarani iliyotokea usiku wa kuamkia leo Jumamosi katika kaunti ya Kericho, magharibi mwa eneo la Bonde la Ufa nchini Kenya.

  • IGAD yasema, Ruto ataendelea kuwa mpatanishi wake katika mzozo wa Sudan licha ya Jenerali Al Burhan kumkataa

    IGAD yasema, Ruto ataendelea kuwa mpatanishi wake katika mzozo wa Sudan licha ya Jenerali Al Burhan kumkataa

    Jun 16, 2023 07:39

    Jumuiya ya Maendeleo ya Kiserikali (IGAD) imesema uteuzi wa Ruto utabaki palepale kama mpatanishi wa jumuiya hiyo katika mzozo wa ndani nchini Sudan licha ya kiongozi wa kijeshi wa nchi hiyo, Jenerali Abdel Fattah al Burhan kumktaa akiituhumu Nairobi kwamba inamuunga mkono mpinzani wake.

  • Johnson & Johnson yashtakiwa Kenya kwa kuwauzia watu poda iliyopigwa marufuku Ulaya, Marekani

    Johnson & Johnson yashtakiwa Kenya kwa kuwauzia watu poda iliyopigwa marufuku Ulaya, Marekani

    Jun 13, 2023 08:46

    Shirika moja la kutetea haki za binadamu nchini Kenya limeshtaki shirika la kimataifa la Marekani, Johnson & Johnson, kwa kosa la kuwauzia Wakenya poda ya ulanga.

  • Viongozi wa Igad wanakutana leo Djibouti kujadili mapigano ya ndani Sudan

    Viongozi wa Igad wanakutana leo Djibouti kujadili mapigano ya ndani Sudan

    Jun 12, 2023 04:49

    Jumuiya ya Maendeleo ya Kiserikali (IGAD) inafanya mkutano wa kilele nchini Djibouti leo Jumatatu ili kuzishawishi pande mbili katika mgogoro wa Sudan kufanya mazungumzo ya kumaliza mapigano ya wenyewe kwa wenyewe, wakati huu ambapo mji mkuu Khartoum unashuhudia mapigano makali.

  • MSF yatahadharisha: Ugonjwa wa kipindupindu unaenea kwa kasi kubwa nchini Kenya

    MSF yatahadharisha: Ugonjwa wa kipindupindu unaenea kwa kasi kubwa nchini Kenya

    Jun 03, 2023 06:55

    Shirika la Madaktari Wasio na Mipaka (MSF) limetangaza kuwa kipindupindu kinaenea kwa kasi miongoni mwa watu waliokimbia makazi yao wanaoishi katika kambi za wakimbizi nchini Kenya.

  • Sheikh Ali Saeed: Urithi wa Imam Khomeini unaendelea kuwatia moyo Waislamu + Video

    Sheikh Ali Saeed: Urithi wa Imam Khomeini unaendelea kuwatia moyo Waislamu + Video

    May 31, 2023 05:32

    Mkuu wa Kituo cha Kiislamu cha Ja'fari mjini Nairobi, mji mkuu wa Kenya amesema: Fikra za Imam Ruhullah Khomeini zinatia matumaini mema na ni nguzo ya kuwawezesha na kuwapa nguvu Waislamu duniani.

  • Reuters 'yasutwa' kudai kwamba majasusi wa China wamefanya udukuzi mkubwa dhidi ya Kenya

    Reuters 'yasutwa' kudai kwamba majasusi wa China wamefanya udukuzi mkubwa dhidi ya Kenya

    May 25, 2023 23:10

    Serikali ya Kenya imesema madai yaliyotolewa na shirika la habari la Reuters, kwamba China imekuwa ikifanya udukuzi kwa miaka mingi dhidi ya nchi hiyo ni "propganda" tu.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS