Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Kenya

  • Raila Odinga kuanza tena maandamano dhidi ya serikali ya Kenya

    Raila Odinga kuanza tena maandamano dhidi ya serikali ya Kenya

    Apr 24, 2023 12:35

    Mrengo wa upinzani nchini Kenya umesema kuwa umepanga kuanza tena maandamano dhidi ya serikali kuanzia tarehe Pili mwezi ujao wa Mei; ikiwa zimepita karibu wiki tatu tangu usimamishe maandamano yake dhidi ya serikali ya Rais William Ruto ili kutoa fursa ya kushiriki kwenye mazungumzo na serikali.

  • Ugonjwa wa Typhoid kali wasababisha vifo vya watu 4 huko Kakamega, Kenya

    Ugonjwa wa Typhoid kali wasababisha vifo vya watu 4 huko Kakamega, Kenya

    Apr 16, 2023 11:24

    Ripoti kuhusu mmlipuko wa ugonjwa ambao hadi sasa umeua watu wanne katika Shule ya Sekondari ya Wasichana ya Mukumu katika Kaunti ya Kakamega huko Kenya inaashiria kisa cha homa ya matumbo iliyosababishwa na maji yaliyochafuliwa na baktera aina ya Salmonella Typhi.

  • Wabunge wa Kenya: Wanajeshi watenda jinai wa Uingereza wahukumiwe nchini

    Wabunge wa Kenya: Wanajeshi watenda jinai wa Uingereza wahukumiwe nchini

    Apr 13, 2023 03:29

    Wanajeshi wa Jeshi la Uingereza wanaotoa mafunzo nchini Kenya wanaofanya mauaji nchini humo huenda wakakabiliwa na mashtaka katika mahakama za Kenya iwapo mapendekezo yaliyopendekezwa bungeni na Kamati ya Ulinzi na Mahusiano ya Kigeni yatapitishwa.

  • Wakenya wamtaka Rais Ruto, Raila wafanye muafaka wa kisiasa

    Wakenya wamtaka Rais Ruto, Raila wafanye muafaka wa kisiasa

    Apr 10, 2023 05:47

    Rais William Ruto wa Kenya na kinara wa Azimio la Umoja, Raila Odinga, wako kwenye shinikizo la kubuni Serikali ya Umoja wa Kitaifa ili kurejesha utulivu wa kisiasa nchini Kenya.

  • Madaktari Kenya watahadharisha kuhusu aina mpya za magonjwa ya zinaa

    Madaktari Kenya watahadharisha kuhusu aina mpya za magonjwa ya zinaa

    Apr 03, 2023 09:52

    Madaktari wamewataka Wakenya kuwa na tahadhari baada ya kugunduliwa aina mbili mpya za magonjwa ya zinaa (STIs).

  • Mama: Askari wa Marekani waliomuua mwanangu ni wanyama

    Mama: Askari wa Marekani waliomuua mwanangu ni wanyama

    Mar 23, 2023 12:21

    Mama mzazi wa Ivor Otieno, kijana Mkenya aliyeuawa hivi karibuni na polisi ya Marekani akiwa korokoroni amewataja askari polisi waliofanya ukatili huo kuwa wanyama.

  • Kadhaa wajeruhiwa na kukamatwa katika maandamano ya wapinzani Kenya, Afrika Kusini

    Kadhaa wajeruhiwa na kukamatwa katika maandamano ya wapinzani Kenya, Afrika Kusini

    Mar 20, 2023 14:01

    Maafisa usalama nchini Kenya wametumia mabomu ya gesi ya kutoa machozi na maji ya kuwasha kukabiliana na wafuasi wa kinara wa upinzani nchini humo Raila Odinga, ambao wamejitokeza kwa wingi kushiriki maandamano ya nchi nzima dhidi ya serikali ya Rais William Ruto.

  • Matukio ya Kiislamu wiki hii na Harith Subeit + Sauti

    Matukio ya Kiislamu wiki hii na Harith Subeit + Sauti

    Mar 04, 2023 03:54

    Matukio ya Kiislamu wiki hii yamejumuisha maeneo tofauti ya Afrika Mashariki na Kati. Yameandaliwa na mwandishi wetu Harith Subeit. Ingia kwenye Sauti kusikiliza ripoti hiyo iliyo na matukio tofauti ya Kiislamu wiki hii.

  • Rais Ruto: Kenya haitaruhusu ndoa za watu wenye jinsia moja

    Rais Ruto: Kenya haitaruhusu ndoa za watu wenye jinsia moja

    Mar 03, 2023 02:41

    Rais William Ruto wa Kenya amekosoa uamuzi wa Mahakama ya Juu ya nchi hiyo wa kuruhusu kusajiliwa makundi ya kulobi ya mashoga na wasagaji (LGBTQ) na kusisitiza kuwa, taifa hilo la Afrika Mashariki kamwe halitaruhusu ndoa za watu wenye jinsia moja.

  • Askari wa jeshi la Kenya waua magaidi wa al-Shabab katika mpaka wa nchi hiyo na Somalia

    Askari wa jeshi la Kenya waua magaidi wa al-Shabab katika mpaka wa nchi hiyo na Somalia

    Feb 17, 2023 07:28

    Askari wa Jeshi la Ulinzi wa Kenya KDF wamewaua magaidi watatu wa kundi la ukufurishaji la Al-Shabaab la Somalia katika eneo la Sarira kwenye mpaka wa pamoja wa nchi hizo mbili.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS