Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Kenya

  • Rais Macron akabiliwa na upinzani baada ya matamshi yake makali kwenye mkutano wa Nairobi

    Rais Macron akabiliwa na upinzani baada ya matamshi yake makali kwenye mkutano wa Nairobi

    May 13, 2026 12:14

    Rais wa Ufaransa Emmanuel Macron anakabiliwa na upinzani mkali baada ya kukatiza kikao cha mjadala katika kongamano la Africa Forward Summit nchini Kenya akiwataka hadhirina wanyamaze kimya.

  • Kenya yataka Afrika ipewe kiti cha kudumu katika Baraza la Usalama la UN

    Kenya yataka Afrika ipewe kiti cha kudumu katika Baraza la Usalama la UN

    May 12, 2026 14:25

    Rais wa Kenya, William Ruto, ametoa wito kwa Afrika kupewa uanachama wa kudumu katika Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa, takwa ambalo limeungwa mkono na Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa, Antonio Guterres.

  • UN kujenga ofisi mpya yenye thamani ya dola milioni 340 Nairobi

    UN kujenga ofisi mpya yenye thamani ya dola milioni 340 Nairobi

    May 12, 2026 09:01

    Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa António Guterres amshuhudia uwekezaji mkubwa wa Umoja wa Mataifa wenye thamani ya karibu dola milioni 340 katika ofisi yake katika mji mkuu wa Kenya, Nairobi.

  • Macron asema Ufaransa “haikuwahi kufikiria” kupeleka jeshi Hormuz bila uratibu na Iran

    Macron asema Ufaransa “haikuwahi kufikiria” kupeleka jeshi Hormuz bila uratibu na Iran

    May 12, 2026 04:28

    Rais wa Ufaransa Emmanuel Macron amesema Paris haijawahi kufikiria kupeleka vikosi vya kijeshi vya Ufaransa katika Mlango-Bahari wa Hormuz bila uratibu na Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, wakati mvutano unaochochewa na vita vya Marekani na Israel dhidi ya Iran ukiendelea.

  • Polisi Kenya yathibitisha vifo vya watu 18 katika maporomoko ya ardhi

    Polisi Kenya yathibitisha vifo vya watu 18 katika maporomoko ya ardhi

    May 04, 2026 10:21

    Huduma ya Polisi ya Kenya Jumapili ilithibitisha kupoteza maisha watu 18 kufuatia maporomoko ya udongo na mafuriko huku mvua kubwa ikiendelea kunyesha katika maeneo kadhaa ya nchi hiyo, na kulazimisha familia nyingi kuhama makazi yao.

  • Kenya yaitaka Russia iirejeshee miili na raia wake waliofungwa katika vita vya Ukraine

    Kenya yaitaka Russia iirejeshee miili na raia wake waliofungwa katika vita vya Ukraine

    Feb 21, 2026 07:37

    Serikali ya Kenya imeitaka Russia iirejeshe nyumbani miili ya raia wake waliouawa na wale waliokamatwa kama wafungwa wa vita, ambao wameripotiwa kuwa walipiigania Russia katika vita na Ukraine.

  • Russia yakanusha madai ya kuwaajiri Wakenya katika vita vya Ukraine

    Russia yakanusha madai ya kuwaajiri Wakenya katika vita vya Ukraine

    Feb 20, 2026 03:42

    Russia imekanusha madai kwamba inawaajiri Wakenya kupigana vitani nchini Ukraine, kufuatia ripoti za Huduma ya Kijasusi ya Kitaifa ya Kenya kwamba zaidi ya Wakenya 1,000 kwa sasa wanapigana upande wa Russia katika mzozo huo.

  • Balozi wa Iran aiasa Kenya kuchukua hatua 'sakata la chai'

    Balozi wa Iran aiasa Kenya kuchukua hatua 'sakata la chai'

    Feb 18, 2026 03:53

    Mwanadiplomasia wa Iran imeiomba serikali ya Kenya kuchukua hatua na kulipatia ufumbuzi sakata la chai la thamani ya Shilingi bilioni 2.6 za nchi hiyo ya Afrika Mashariki.

  • Wakenya: Mradi wa kilimo wa Israel Nakuru ni mwanzo wa unyakuzi wa ardhi zetu

    Wakenya: Mradi wa kilimo wa Israel Nakuru ni mwanzo wa unyakuzi wa ardhi zetu

    Feb 17, 2026 02:52

    Mradi wa Israel wa kilimo na makazi wa ekari 520 huko Solai, Kaunti ya Nakuru nchini Kenya umezua mjadala mkali wa kitaifa. Wakenya wametumia mitandao ya kijamii kupinga mradi huo, wanaotaja kuwa mwanzo wa unyakuzi wa ardhi za nchi hiyo na utawala ghasibu wa Israel.

  • Serikali ya Kenya yamuongezea mchungaji Mackenzie mashtaka kwa vifo vya watu wengine 52

    Serikali ya Kenya yamuongezea mchungaji Mackenzie mashtaka kwa vifo vya watu wengine 52

    Feb 12, 2026 03:00

    Paul Mackenzie, kiongozi wa tapo la kikristo nchini Kenya aliyewaamuru wafuasi wake wajiue kwa njaa wao na watoto wao ili waende mbinguni amesomewa shtaka jengine jipya yeye na wenzake saba la kusababisha vifo vingine 52, kupitia mahubiri yake.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS