Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Kenya

  • Umri wa unywaji pombe Kenya wapendekezwa kuongezwa kutoka miaka 18 hadi 21

    Umri wa unywaji pombe Kenya wapendekezwa kuongezwa kutoka miaka 18 hadi 21

    Jul 17, 2025 11:37

    Mamlaka ya Taifa ya Kupambana na Matumizi ya Pombe na Dawa za Kulevya nchini Kenya (NACADA) imetetea pendekezo lake la kutaka umri wa kisheria wa kunywa pombe nchini humo uongezwe kutoka miaka 18 hadi 21, ikitaja utafiti wa kiafya, maoni ya umma na viwango vya kimataifa kama msingi wa pendekezo hilo.

  • Kadhaa wauawa katika shambulio la al-Shabaab, Garissa Kenya

    Kadhaa wauawa katika shambulio la al-Shabaab, Garissa Kenya

    Jul 14, 2025 15:12

    Watu wawili wameuawa huku wengine kadhaa wakijeruhiwa katika shambulio linaloshukiwa kuwa la magaidi wa al-Shabaab katika Kaunti ya Garissa, kaskazini mashariki mwa Kenya.

  • Baadhi ya Waislamu Kenya wapendekeza Kadhi Mkuu ajaye atoke nje ya Pwani

    Baadhi ya Waislamu Kenya wapendekeza Kadhi Mkuu ajaye atoke nje ya Pwani

    Jul 14, 2025 06:56

    Baada ya kupita siku chache tu tangu alipoaga dunia Kadhi Mkuu wa Kenye Sheikh Abdulhalim Hussein Athman, baadhi ya Waislamu wamependekeza kadhi ajaye atoke nje ya eneo la Pwani.

  • Mkuu wa Mawaziri Kenya atofautiana na Rais Ruto kuhusu kuwapiga risasi waandamanaji

    Mkuu wa Mawaziri Kenya atofautiana na Rais Ruto kuhusu kuwapiga risasi waandamanaji

    Jul 14, 2025 03:13

    Mkuu wa Mawaziri wa Mawaziri nchini Kenya, Musalia Mudavadi ametofautiana na Rais William Ruto kuhusu wito wake wa kupigwa risasi viijana wanaoandamana kupinga sera za serikali yake na amevitaka vyombo vya usalama visiwaumize Wakenya wakati wa maandamano.

  • Kadhi Mkuu wa Kenya Sheikh Abdulhalim aaga dunia, amezikwa leo

    Kadhi Mkuu wa Kenya Sheikh Abdulhalim aaga dunia, amezikwa leo

    Jul 10, 2025 13:13

    Kadhi Mkuu wa Kenya Sheikh Abdulhalim Hussein Athman amefariki dunia usiku wa manane wa kuamkia leo mjini Mombasa na maziko yake yamefanyika leo.

  • Mahakama Kenya yaiamuru polisi iache kufunga jiji la Nairobi wakati wa maandamano

    Mahakama Kenya yaiamuru polisi iache kufunga jiji la Nairobi wakati wa maandamano

    Jul 10, 2025 07:04

    Mahakama Kuu nchini Kenya imetoa amri ya kuwazuia polisi kuweka vizuizi au kuzuia raia kufika katikati mwa jiji la Nairobi wakati wa maandamano. Jaji wa mahakama hiyo Lawrence Mugambi alitoa amri hiyo jana Jumatano kufuatia kesi iliyowasilishwa na Katiba Institute baada ya jiji kufungwa wakati wa maandamano ya Saba Saba mnamo Jumatatu wiki hii.

  • Waendesha mashtaka Kenya: Waandamanaji 37 watafunguliwa mashtaka ya ugaidi

    Waendesha mashtaka Kenya: Waandamanaji 37 watafunguliwa mashtaka ya ugaidi

    Jul 09, 2025 08:05

    Serikali ya Kenya imetangaza kuwa itafungua mashtaka ya ugaidi dhidi ya watu 37 waliokamatwa kwenye maandamano ya kuipinga serikali mwishoni mwa mwezi Juni.

  • Umoja wa Mataifa 'washtushwa' na mauaji ya waandamanaji Kenya

    Umoja wa Mataifa 'washtushwa' na mauaji ya waandamanaji Kenya

    Jul 08, 2025 14:20

    Umoja wa Mataifa umeelezea wasiwasi mkubwa juu ya vifo vya watu zaidi ya 10 nchini Kenya, ambapo polisi na waandamanaji walikabiliana wakati wa maandamano ya kupinga sera za serikali ya nchi hiyo Jumatatu.

  • 11 wauawa Kenya katika maandamano ya kumbukumbu ya vuguvugu la demokrasia

    11 wauawa Kenya katika maandamano ya kumbukumbu ya vuguvugu la demokrasia

    Jul 08, 2025 06:31

    Watu wasiopungua 11 wameuawa na makumi ya wengine wamejeruhiwa wakati wa maandamano ya kuadhimisha miaka 35 ya kumbukumbu ya vuguvugu la kupigania demokrasia maarufu kama Saba Saba.

  • EACC: Wanafunzi Kenya wanatumiwa na viongozi kusajili kampuni hewa za kupora pesa

    EACC: Wanafunzi Kenya wanatumiwa na viongozi kusajili kampuni hewa za kupora pesa

    Jun 28, 2025 08:28

    Tume ya Maadili na Kupambana na Ufisadi ya Kenya (EACC) imefichua mpango, ambapo maafisa wa juu wa serikali za Kaunti, wakiwemo magavana wanadaiwa kuwahusisha wanafunzi walioko kwenye mafunzo ya kazi kama njia ya kufuja mabilioni ya pesa za umma kupitia kampuni hewa.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS