Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Kenya

  • Kesi za corona Afrika Kusini zapindukia 1,000, vifo vya kwanza vyaripotiwa nchini humo na Kenya

    Kesi za corona Afrika Kusini zapindukia 1,000, vifo vya kwanza vyaripotiwa nchini humo na Kenya

    Mar 27, 2020 03:43

    Idadi ya watu waliothibitishwa kuambukizwa ugonjwa wa Covid-19 unaosababishwa na virusi vya corona nchini Afrika Kusini imeongezeka na kupindukia watu 1000.

  • Kenya ni  taifa lenye furaha zaidi Afrika Mashariki

    Kenya ni taifa lenye furaha zaidi Afrika Mashariki

    Mar 22, 2020 08:49

    Ripoti mpya ya Umoja wa Mataifa kuhusu furaha duniani imeitaja Kenya kuwa nchi yenye furaha zaidi katika eneo la mashariki ya Afrika.

  • Kadhi Mkuu wa Kenya awakosoa wanaopuuza agizo la kutoenda misikitini

    Kadhi Mkuu wa Kenya awakosoa wanaopuuza agizo la kutoenda misikitini

    Mar 21, 2020 22:08

    Kadhi Mkuu wa Kenya, Sheikh Ahmed Muhdhar amekosoa vikali hatua ya baadhi ya waumini wa Kiislamu ya kupuuza agizo la kuwataka wasiende misikitini kwa ajili ya Swala za jamaa katika kipindi hiki cha kupambana na maambukizi ya ugonjwa wa COVID-19 unaosababishwa na kirusi cha Corona.

  • Zarif azungumza na mawaziri wenzake wa Kenya na Nigeria kuhusu Corona

    Zarif azungumza na mawaziri wenzake wa Kenya na Nigeria kuhusu Corona

    Mar 20, 2020 08:42

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amezungumza kwa njia ya simu na mawaziri wenzake wa mambo ya nje wa Kenya, Nigeria na Bulgaria juu ya mlipuko wa ugonjwa wa Corona unaoendelea kuzisumbua nchi mbali mbali duniani.

  • Corona yaingia Rwanda, virusi hivyo vyasababisha shule kufungwa Kenya

    Corona yaingia Rwanda, virusi hivyo vyasababisha shule kufungwa Kenya

    Mar 15, 2020 12:14

    Serikali ya Rwanda imethibitisha kuwa na mgonjwa mmoja aliyeambukizwa virusi vya Corona, huku ugonjwa huo ukiendelea kuenea kwa kasi katika nchi za Afrika na kote duniani kwa ujumla.

  • Rais wa Kenya afuta safari ya Italia kutokana na hofu ya corona

    Rais wa Kenya afuta safari ya Italia kutokana na hofu ya corona

    Mar 15, 2020 07:58

    Rais Uhuru Kenyatta wa Kenya amefuta safari yake ya Italia kufuatia hofu ya ugonjwa wa COVID-19 maarufu kama corona. Baada ya China, Italia sasa ndio nchi yenye idadi kubwa zaidi ya watu walioambukizwa na kufariki kutokana na ugonjwa wa COVID-19.

  • Baraza Kuu la Waislamu Kenya lamjia juu balozi wa Saudia nchini humo

    Baraza Kuu la Waislamu Kenya lamjia juu balozi wa Saudia nchini humo

    Feb 19, 2020 04:36

    Baraza Kuu la Waislamu nchini Kenya (SUPKEM) limekosoa vikali hatua ya balozi wa Saudi Arabia nchini humo, Mohammad Khayat ya kuingilia masuala ya uongozi wa baraza hilo.

  • Maelfu wakusanyika kutoa heshima za mwisho na kumuaga mzee Moi; kiongozi aliyehudumu kwa muda mrefu huko Kenya

    Maelfu wakusanyika kutoa heshima za mwisho na kumuaga mzee Moi; kiongozi aliyehudumu kwa muda mrefu huko Kenya

    Feb 11, 2020 09:34

    Makumi ya maelfu ya Wakenya leo Jumanne wamekusanyika katika uwanja wa wazi kwa ajili ya mazishi ya kitaifa ya mzee Daniel Arap Moi, kiongozi wa zamani wa nchi hiyo aliyehudumu kwa muda mrefu ambaye aliaga dunia wiki iliyopita akiwa na umri wa miaka 95.

  • Ripoti: Makumi waliuawa mwaka jana katika hujuma za al-Shabaab Kenya

    Ripoti: Makumi waliuawa mwaka jana katika hujuma za al-Shabaab Kenya

    Feb 07, 2020 23:27

    Uchunguzi uliofanywa na Taasisi ya Haki za Binadamu na Sera umebainisha kuwa, watu wasiopungua 83 waliuawa nchini Kenya mwaka uliopita wa 2019 katika mashambulizi ya kundi la kigaidi na kitakfiri la al-Shabaab lenye makao makuu yake katika nchi jirani ya Somalia.

  • Rais wa Kenya aonya kuhusu ushindani wa Marekani na China barani Afrika

    Rais wa Kenya aonya kuhusu ushindani wa Marekani na China barani Afrika

    Feb 06, 2020 08:46

    Rais Uhuru Kenyatta wa Kenya ametahadharisha kuhusiana na ushindani wa Marekani na China barani Afrika na kubainisha kwamba, madola ya kigeni yanazidisha mgawanyiko na mivutano katika bara hilo.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS