Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Kenya

  • Polisi Kenya wamjeruhi vibaya kwa risasi kijana aliyetaka kuingia Ikulu kwa nguvu + Sauti

    Polisi Kenya wamjeruhi vibaya kwa risasi kijana aliyetaka kuingia Ikulu kwa nguvu + Sauti

    Jun 11, 2019 12:08

    Polisi nchini kenya wamempiga risasi na kumjeruhi vibaya jamaa mmoja aliyekua akijaribu kuingia katika ikulu ya rais jijini Nairobi huku akiwa amejihami kwa kisu mkononi. Seifullah Murtadha na maelezo zaidi kutoka Mombasa, Kenya.

  • Mkenya atakiwa aukane uraia wa Marekani kabla ya kuwa balozi

    Mkenya atakiwa aukane uraia wa Marekani kabla ya kuwa balozi

    Jun 07, 2019 02:53

    Raia wa Kenya ambaye pia ana uraia wa Marekani ametakiwa aukane uraia wa Marekani kabla ya kuchukua nafasi ya balozi wa Kenya nchini Korea Kusini.

  • Kenya yazindua sarafu mpya Madaraka Day + Sauti

    Kenya yazindua sarafu mpya Madaraka Day + Sauti

    Jun 01, 2019 12:23

    Taifa la kenya limezindua sarafu mpya katika maadhimisho ya 56 ya Madaraka Day ili kupambana na ufisadi. Rais Uhuru Kenyatta amesema kuwa, pasi na kushirikiana ili kuukomesha ufisadi basi ndoto za waanzilishi wa taifa za kuona Kenya ni taifa lililostaarabika katika kila Nyanja, zitashindwa kutimia. Seifullah Murtadha na maelezo zaidi kutoka Mombasa, Kenya.

  • Kenya na Somalia zaendelea kuvutana, Mogadishu yafuta mikutano ya Nairobi

    Kenya na Somalia zaendelea kuvutana, Mogadishu yafuta mikutano ya Nairobi

    May 27, 2019 02:51

    Katika kile kinachoonekana ni kuendelea kushtadi mvutano kati ya Kenya na Somalia, serikali ya Mogadishu imejibu mapigo na kufuta mikutano yake iliyotazamiwa kufanyika jijini Nairobi.

  • Mahakama ya Kenya yaamuru wahajiri 22 wa Eritrea warudishwe kwao

    Mahakama ya Kenya yaamuru wahajiri 22 wa Eritrea warudishwe kwao

    May 25, 2019 03:46

    Mahakama nchini Kenya imeagiza raia 22 wa Eritrea waliokamatwa siku 10 zilizopita na kushtakiwa kwa kuwa nchini humo kinyume cha sheria warejeshwe nchini kwao.

  • SAUTI, Mahakama Kuu ya Kenya yatupilia mbali pingamizi la mabaradhuli la kutaka kuhalalishwa mahusiano ya jinsia moja

    SAUTI, Mahakama Kuu ya Kenya yatupilia mbali pingamizi la mabaradhuli la kutaka kuhalalishwa mahusiano ya jinsia moja

    May 24, 2019 11:30

    Hatimaye Mahakama Kuu nchini Kenya imechukua uamuzi wa kupongezwa, baada ya kukataa kufuta kifungu cha 162 cha sheria za nchi hiyo kinachoharamisha na kupiga marufuku mahusiano ya jinsia moja (yaani ubaradhuli).

  • UNHCR, SUPKEM zazindua kampeni ya

    UNHCR, SUPKEM zazindua kampeni ya "Ramadhani kwa ajili ya elimu kwa wakimbizi"

    May 02, 2019 09:55

    Shirika la Kuhudumia Wakimbizi la Umoja wa Mataifa (UNHCR) kwa ushirikiano na Baraza Kuu la Waislamu nchini Kenya (SUPKEM) limezindua kampeni ya kuwasaidia maelfu ya vijana wakimbizi nchini humo wanaokosa elimu.

  • Ujumbe wa Siku ya Wafanyakazi (Mei Mosi) nchini Kenya + Sauti

    Ujumbe wa Siku ya Wafanyakazi (Mei Mosi) nchini Kenya + Sauti

    May 01, 2019 11:28

    Jamii ya wafanyakazi nchini Kenya imeitaka serikali kumaliza tatizo la ufisadi ambalo limeshika kasi sana nchini. Hayo yametolewa na wafanyakazi hao katika sherehe za Siku ya Mfanyakazi Duniani Mei Mosi ambapo pamoja na mambo mengine wameitaka serikali ya Nairobi kuwaandalia mazingira salama ya kazi ili waweze kutekeleza majukumu yao ipasavyo.

  • IEA: Kenya na Uganda zinatakatisha 'fedha chafu' za Sudan Kusini

    IEA: Kenya na Uganda zinatakatisha 'fedha chafu' za Sudan Kusini

    Apr 21, 2019 23:00

    Ripoti ya Taasisi ya Masuala ya Uchumi IEA imefichua kuwa, Kenya na Uganda zimefeli kuzuia mzunguko wa pesa haramu zinazotoka katika nchi changa zaidi barani Afrika, Sudan Kusini.

  • 'Al-Shabaab' yawateka nyara madaktari 2 wa Cuba nchini Kenya

    'Al-Shabaab' yawateka nyara madaktari 2 wa Cuba nchini Kenya

    Apr 12, 2019 10:30

    Watu waliojizatiti kwa silaha wanaosadikiwa kuwa wanachama wa kundi la kigaidi na kitakfiri la al-Shabaab wamewateka nyara madaktari wawili wa Cuba katika mpaka wa Kenya na Somalia.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS