Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Kenya

  • Kenya: Mgogoro wa mpaka wa baharini kati yetu na Somalia utatuliwe kwa mazungumzo

    Kenya: Mgogoro wa mpaka wa baharini kati yetu na Somalia utatuliwe kwa mazungumzo

    Jul 20, 2019 05:00

    Serikali ya Kenya inaendelea kusisitiza kuwa, nchi jirani ya Somalia inapaswa kuheshimu mamlaka ya ardhi ya nchi hiyo ya Afrika Mashariki, huku Mahakama ya Kimataifa ya Uadilifu ICJ ikitazamiwa kutoa hukumu mwezi Septemba mwaka huu, juu ya mvutano wa mpaka wa baharini kati ya nchi mbili hizo.

  • Wakenya waendelea kujadili kauli ya Raphael Tuju kuwa Odinga alitumia suala la kujitenga, kumsuka Rais Kenyatta akubali handisheki

    Wakenya waendelea kujadili kauli ya Raphael Tuju kuwa Odinga alitumia suala la kujitenga, kumsuka Rais Kenyatta akubali handisheki

    Jul 15, 2019 12:15

    Wananchi wa Kenya wameonyesha kushangazwa na kauli ya Katibu Mkuu wa Chama cha Jubilee, nchini Kenya, Raphael Tuju, aliyesema jana kuwa, kiongozi wa chama cha ODM Raila Odinga alitumia suala la kujitenga kwa baadhi ya maeneo yaliyokuwa yakimuunga mkono kwenye uchaguzi wa mwaka 2017, ili kumsukuma Rais Uhuru Kenyatta aweze kukubali kadhia ya handisheki.

  • Watanzania na Wakenya ni miongoni mwa 26 waliouawa katika shambulizi Somalia

    Watanzania na Wakenya ni miongoni mwa 26 waliouawa katika shambulizi Somalia

    Jul 13, 2019 08:14

    Idadi ya watu waliouawa katika shambulio la kigaidi dhidi ya hoteli moja kusini mwa Somalia imeongezeka na kufikia watu 26. Awali Polisi ya Kismayo iliripoti kuwa waliouawa katika hujuma hiyo ya kigaidi ni watu saba.

  • Ripoti: Wakenya zaidi ya milioni 2 katika hatari ya kufa njaa

    Ripoti: Wakenya zaidi ya milioni 2 katika hatari ya kufa njaa

    Jul 02, 2019 07:17

    Mamilioni ya Wakenya wapo katika hatari ya kukumbana na baa la njaa na mgogoro mkubwa wa chakula kuanzia mwezi huu wa Julai.

  • Mbunge 'Jaguar' anyimwa dhamana nchini Kenya + Sauti

    Mbunge 'Jaguar' anyimwa dhamana nchini Kenya + Sauti

    Jun 28, 2019 12:43

    Mahakama nchini Kenya imemnyima dhamana, Mbunge wa eneobunge la Starehe jijini Nairobi Charles Njagua maarufu kwa jina la ‘Jaguar’ ambaye alikamatwa hivi karibuni na jeshi la polisi la nchi hiyo baada ya kutoa kauli ya kibaguzi dhidi ya Watanzania, Wachina na Waganda wanaoishi katika nchini hiyo mwanachama wa Jumuiya ya Afrika Mashariki. Mbunge huyo atasalia korokoroni hadi pale kesi yake itakaposikilizwa tena. Mwandishi wetu wa Mombasa, Kenya Seifullah Murtadha ana maelezo zaidi......

  • Kamati ya Mshikamano wa Wakenya na Wapalestina: Muamala ya Karne utagonga mwamba

    Kamati ya Mshikamano wa Wakenya na Wapalestina: Muamala ya Karne utagonga mwamba

    Jun 27, 2019 12:29

    Vuguvugu la mshikamano baina ya Wakenya na Wapelestina limekosoa vikali kimya cha jamii ya kimataifa mbele ya ukandamizaji wa utawala wa Kizayuni wa Israel dhidi ya wananchi madhulumu wa Palestina.

  • Mbunge Jaguar wa Kenya aliyetaka kutimuliwa wafanyabiashara wa kigeni atiwa mbaroni

    Mbunge Jaguar wa Kenya aliyetaka kutimuliwa wafanyabiashara wa kigeni atiwa mbaroni

    Jun 26, 2019 08:00

    Mbunge  wa Jimbo la Starehe jijini Nairobi nchini Kenya, Charles Njagua maarufu kwa jina la ‘Jaguar’ amekamatwa leo na jeshi la polisi la nchi hiyo baada ya kutoa kauli ya kibaguzi dhidi ya Watanzania, Wachina na Waganda wanaoishi katika nchini hiyo mwanachama wa Jumuiya ya Afrika Mashariki.

  • Mgonjwa mwenye dalili za Ebola Kenya awekwa karantini

    Mgonjwa mwenye dalili za Ebola Kenya awekwa karantini

    Jun 17, 2019 08:01

    Mgonjwa anayeshukiwa kuwa na Ebola nchini Kenya amewekwa katika karantini katika Hospitali ya Kericho magharibi mwa nchi hiyo.

  • Al-Shabaab: Tumehusika na mashambulizi ya Kenya na Somalia yaliyoua 16

    Al-Shabaab: Tumehusika na mashambulizi ya Kenya na Somalia yaliyoua 16

    Jun 15, 2019 22:52

    Kundi la kigaidi na kitakfiri la al-Shabaab limetangaza kuwa limehusika na miripuko ya mabomu iliyoua watu 16 hapo jana Jumamosi katika nchi za Kenya na Somalia.

  • Bomu la kutegwa ardhini laua askari polisi 10 nchini Kenya + Sauti

    Bomu la kutegwa ardhini laua askari polisi 10 nchini Kenya + Sauti

    Jun 15, 2019 08:11

    Maafisa usalama wasiopungua 10 wameripotiwa kuuawa baada ya gari lao kukanyaga bomu la kutegwa ardhini katika kaunti ya Wajir, katika eneo la kaskazini mashariki mwa Kenya.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS