Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Kenya

  • Kenya yatenga dola milioni 18.8 kukabiliana na njaa

    Kenya yatenga dola milioni 18.8 kukabiliana na njaa

    Apr 11, 2019 01:46

    Kenya imetenga dola milioni 18.8 (Ksh Bilioni 1.88) kukabiliana na baa la njaa nchini humo ambaloo limewaathiri watu takriban milioni 1.1.

  • Hotuba ya Rais Kenyatta wa Kenya Bungeni yashindwa kutimiza matumaini ya wananchi + Sauti

    Hotuba ya Rais Kenyatta wa Kenya Bungeni yashindwa kutimiza matumaini ya wananchi + Sauti

    Apr 05, 2019 01:51

    Hatimaye botuba ya Rais Uhuru Kenyatta wa Kenya iliyokuwa inasubiriwa kwa hamu na raia wengi wa nchi hiyo imetolewa ingawa haikutimiza matakwa ya wananchi wengi. Sifullah Murtadha na maelezo zaidi

  • Kenya na Somalia zasuluhisha mzozo wa kidiplomasia, zawarejesha mabalozi

    Kenya na Somalia zasuluhisha mzozo wa kidiplomasia, zawarejesha mabalozi

    Apr 04, 2019 03:36

    Kenya na Somalia zimesuluhisha mzozo wa kidiplomasia baina yao, uliochochewa na mgogoro kuhusu mpaka wa pamoja wa bahari.

  • Njaa inazidi kuhatarisha maisha ya watu nchini Kenya, zaidi ya milioni moja wako hatarini

    Njaa inazidi kuhatarisha maisha ya watu nchini Kenya, zaidi ya milioni moja wako hatarini

    Mar 24, 2019 11:07

    Televisheni ya al Jazeera ya Qatar imeripoti leo kuwa, zaidi ya watu milioni moja wako katika hatari ya kuteketea kwa njaa katika kaunti na wilaya nyingi nchini Kenya kutokana na ukame wa muda mrefu.

  • Iran yalalamikia hatua ya Kenya, yamwita nyumbani balozi wake Nairobi kwa mashauriano

    Iran yalalamikia hatua ya Kenya, yamwita nyumbani balozi wake Nairobi kwa mashauriano

    Mar 17, 2019 13:36

    Balozi wa Kenya mjini Tehran ameitwa katika Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran na kukabidhiwa malalamiko ya Jamhuri ya Kiislamu kuhusu ukiukaji wa haki za wafungwa wawili Wairani wanaoshikilia nchini Kenya.

  • Wakenya 32 ni miongoni mwa watu 157 walioaga dunia katika ajali ya ndege Ethiopia + Sauti

    Wakenya 32 ni miongoni mwa watu 157 walioaga dunia katika ajali ya ndege Ethiopia + Sauti

    Mar 10, 2019 13:11

    Raia 32 wa Kenya ni miongoni mwa abiria 149 na wahudumu wanane, waliofariki dunia kwenye ajali ya ndege iliyotokea mapema leo nchini Ethiopia.

  • Ethiopia yatumia diplomasia kuzipatanisha Kenya na Somalia

    Ethiopia yatumia diplomasia kuzipatanisha Kenya na Somalia

    Mar 06, 2019 23:24

    Upatanishi wa Waziri Mkuu wa Ethiopia, Abiy Ahmed katika mgogoro wa mpaka wa baharini kati ya Kenya na Somalia umezaa matunda kwa kiasi fulani, baada ya nchi mbili hizo jirani kuafikiana kupunguza taharuki iliyopo kati yao.

  • Waziri wa Fedha wa Kenya asailiwa tena na Polisi kuhusiana na kashfa ya ujenzi wa mabwawa

    Waziri wa Fedha wa Kenya asailiwa tena na Polisi kuhusiana na kashfa ya ujenzi wa mabwawa

    Mar 05, 2019 04:31

    Polisi ya Kenya imemwita kumsaili kwa mara ya pili Waziri wa Fedha wa nchi hiyo Henry Rotich kuhusiana na kashfa ya mamilioni ya dola ya kutanguliza malipo kwa ajili ya miradi ya ujenzi wa mabwawa mawili.

  • Al-Shabaab yateka mji Somalia baada ya Kenya kuondoa wanajeshi wake

    Al-Shabaab yateka mji Somalia baada ya Kenya kuondoa wanajeshi wake

    Mar 03, 2019 04:19

    Kundi la kigaidi na kitakfiri la al-Shabaab limeuteka mji mmoja wa kistratajia ulioko kusini magharibi mwa Somalia, baada ya jeshi la Kenya KDF kuwaondoa wanajeshi wake waliokuwa wanaudhibiti mji huo.

  • Jamii ya kimataifa yatakiwa itatue mgogoro wa Kenya na Somalia kuhusu bahari

    Jamii ya kimataifa yatakiwa itatue mgogoro wa Kenya na Somalia kuhusu bahari

    Feb 17, 2019 10:32

    Mwanasiasa wa ngazi za juu nchini Kenya Musalia Mudavadi ametoa wito kwa jamii ya kimataifa kuchukua hatua za dharura kutatua mgogoro wa mpakani unaotokota baina ya Kenya na Somalia ili kuzuia hali kuwa mbaya zaidi.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS