-
Kenya yatenga dola milioni 18.8 kukabiliana na njaa
Apr 11, 2019 01:46Kenya imetenga dola milioni 18.8 (Ksh Bilioni 1.88) kukabiliana na baa la njaa nchini humo ambaloo limewaathiri watu takriban milioni 1.1.
-
Hotuba ya Rais Kenyatta wa Kenya Bungeni yashindwa kutimiza matumaini ya wananchi + Sauti
Apr 05, 2019 01:51Hatimaye botuba ya Rais Uhuru Kenyatta wa Kenya iliyokuwa inasubiriwa kwa hamu na raia wengi wa nchi hiyo imetolewa ingawa haikutimiza matakwa ya wananchi wengi. Sifullah Murtadha na maelezo zaidi
-
Kenya na Somalia zasuluhisha mzozo wa kidiplomasia, zawarejesha mabalozi
Apr 04, 2019 03:36Kenya na Somalia zimesuluhisha mzozo wa kidiplomasia baina yao, uliochochewa na mgogoro kuhusu mpaka wa pamoja wa bahari.
-
Njaa inazidi kuhatarisha maisha ya watu nchini Kenya, zaidi ya milioni moja wako hatarini
Mar 24, 2019 11:07Televisheni ya al Jazeera ya Qatar imeripoti leo kuwa, zaidi ya watu milioni moja wako katika hatari ya kuteketea kwa njaa katika kaunti na wilaya nyingi nchini Kenya kutokana na ukame wa muda mrefu.
-
Iran yalalamikia hatua ya Kenya, yamwita nyumbani balozi wake Nairobi kwa mashauriano
Mar 17, 2019 13:36Balozi wa Kenya mjini Tehran ameitwa katika Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran na kukabidhiwa malalamiko ya Jamhuri ya Kiislamu kuhusu ukiukaji wa haki za wafungwa wawili Wairani wanaoshikilia nchini Kenya.
-
Wakenya 32 ni miongoni mwa watu 157 walioaga dunia katika ajali ya ndege Ethiopia + Sauti
Mar 10, 2019 13:11Raia 32 wa Kenya ni miongoni mwa abiria 149 na wahudumu wanane, waliofariki dunia kwenye ajali ya ndege iliyotokea mapema leo nchini Ethiopia.
-
Ethiopia yatumia diplomasia kuzipatanisha Kenya na Somalia
Mar 06, 2019 23:24Upatanishi wa Waziri Mkuu wa Ethiopia, Abiy Ahmed katika mgogoro wa mpaka wa baharini kati ya Kenya na Somalia umezaa matunda kwa kiasi fulani, baada ya nchi mbili hizo jirani kuafikiana kupunguza taharuki iliyopo kati yao.
-
Waziri wa Fedha wa Kenya asailiwa tena na Polisi kuhusiana na kashfa ya ujenzi wa mabwawa
Mar 05, 2019 04:31Polisi ya Kenya imemwita kumsaili kwa mara ya pili Waziri wa Fedha wa nchi hiyo Henry Rotich kuhusiana na kashfa ya mamilioni ya dola ya kutanguliza malipo kwa ajili ya miradi ya ujenzi wa mabwawa mawili.
-
Al-Shabaab yateka mji Somalia baada ya Kenya kuondoa wanajeshi wake
Mar 03, 2019 04:19Kundi la kigaidi na kitakfiri la al-Shabaab limeuteka mji mmoja wa kistratajia ulioko kusini magharibi mwa Somalia, baada ya jeshi la Kenya KDF kuwaondoa wanajeshi wake waliokuwa wanaudhibiti mji huo.
-
Jamii ya kimataifa yatakiwa itatue mgogoro wa Kenya na Somalia kuhusu bahari
Feb 17, 2019 10:32Mwanasiasa wa ngazi za juu nchini Kenya Musalia Mudavadi ametoa wito kwa jamii ya kimataifa kuchukua hatua za dharura kutatua mgogoro wa mpakani unaotokota baina ya Kenya na Somalia ili kuzuia hali kuwa mbaya zaidi.