Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Kenya

  • Miguna Miguna asafirishwa bila kujijua kutoka Kenya, ajikuta Dubai ghafla

    Miguna Miguna asafirishwa bila kujijua kutoka Kenya, ajikuta Dubai ghafla

    Mar 29, 2018 03:40

    Mwanasheria wa upinzani nchini Kenya na aliyeongoza shughuli ya kuapishwa kwa Kianara wa Muungano wa Upinzani (Nasa), Rais Odinga kuwa rais wa watu, Miguna Miguna amesafirishwa kwa ndege hadi mjini Dubai, bila kujitambua.

  • UNHCR: Waethiopia waliokimbilia hifadhi Kenya wakumbwa na masaibu

    UNHCR: Waethiopia waliokimbilia hifadhi Kenya wakumbwa na masaibu

    Mar 29, 2018 02:01

    Maelfu ya wakimbizi wa Ethiopia waliokimbilia hifadhi nchi jirani ya Kenya hivi sasa wanakabiliwa na tatizo kubwa la kukidhi mahitaji yao ya msingi, limesema Shirika la Umoja wa Mataifa la Kuhudumia Wakimbizi, UNHCR.

  • Waandishi wa habari Kenya wajiuzulu kwa mpigo kulalamikia ukatili waliotendewa wenzao na Polisi

    Waandishi wa habari Kenya wajiuzulu kwa mpigo kulalamikia ukatili waliotendewa wenzao na Polisi

    Mar 27, 2018 12:38

    Waandishi kadhaa waandamizi wa makala maalumu za habari nchini Kenya wamejiuzulu kwa mpigo leo siku moja baada ya polisi kuwashambulia kwa ngumi na mateke waandishi wa habari waliokuwa wakipiga picha na kurekodi filamu za tukio la kufukuzwa kwa nguvu nchini humo mwanasiasa mmoja wa upinzani katika uwanja wa ndege jijini Nairobi.

  • Raila Odinga kuushitaki mtandao wa Facebook na Cambridge Analytica kwa kutumia jina lake kuchochea ghasia

    Raila Odinga kuushitaki mtandao wa Facebook na Cambridge Analytica kwa kutumia jina lake kuchochea ghasia

    Mar 27, 2018 12:26

    Kinara wa upinzani nchini Kenya, Raila Odinga amesema kuwa, ataushtaki mtandao wa kijamii wa Facebook pamoja na kampuni ya Cambridge Analytica kwa kutumia jina lake katika kuendesha kampeni ya uchochezi na uhasama wa kikabila kwa ajili ya kuhujumu malengo yake ya kuwa rais wa Kenya hasa katika kipindi cha uchaguzi mkuu wa mwaka jana 2017.

  • Mwanasheria mkuu mteule Kenya, Kihara Kariuki, ajitetea bungeni

    Mwanasheria mkuu mteule Kenya, Kihara Kariuki, ajitetea bungeni

    Mar 22, 2018 11:22

    Paul Kihara Kariuki aliyeteuliwa kuchukua nafasi ya Mwanasheria Mkuu nchini Kenya leo amefika bungeni na kujitetea akiahidi kulinda Katiba na Sheria za nchi na kuishauri serikali vilivyo, bila kushawishiwa kisiasa ama kwa njia nyingine yoyote.

  • Muungano wa Makanisa Kenya: Asilimia kubwa ya Wakristo ni wachawi na washirikina

    Muungano wa Makanisa Kenya: Asilimia kubwa ya Wakristo ni wachawi na washirikina

    Mar 20, 2018 04:41

    Muungano wa makanisa nchini Kenya umetangaza kuwa, uchawi na ushirikina umekumbatiwa zaidi na Wakenya, kuliko wanavyomuamini Mungu.

  • Polisi 1400 wajiuzulu Kenya kwa kupunguziwa mishahara

    Polisi 1400 wajiuzulu Kenya kwa kupunguziwa mishahara

    Mar 19, 2018 11:53

    Maafisa 1,400 wa polisi wamejiuzulu wakilalamikia hatua ya Tume ya Huduma ya Polisi (NPSC) kupunguza mishahara yao.

  • Ulimwengu wa Soka, Machi 19

    Ulimwengu wa Soka, Machi 19

    Mar 19, 2018 02:46

    Hujambo mpenzi msikilizaji wa RT na karibu tuangazie matukio muhimu yaliyojiri viwanjani ndani ya siku saba zilizopita, kitaifa na kimataifa.....

  • ICC yatangaza majaji wapya kushughulikia kesi za Kenya zilizoporomoka

    ICC yatangaza majaji wapya kushughulikia kesi za Kenya zilizoporomoka

    Mar 17, 2018 12:29

    Mahakama ya Kimataifa ya Jinai (ICC) imechagua majaji wapya kushughulikia mafaili ya kesi zilizoporomoka za Rais Uhuru Kenyatta wa Kenya na naibu wake, Bw William Ruto kuhusu ghasia za baada ya uchaguzi wa 2007.

  • Abbas Gullet: Wakimbizi wapatao 10,000 kutoka Ethiopia wameingia nchini Kenya mwezi huu pekee

    Abbas Gullet: Wakimbizi wapatao 10,000 kutoka Ethiopia wameingia nchini Kenya mwezi huu pekee

    Mar 17, 2018 04:22

    Katibu Mkuu wa Shirika la Msalaba Mwekundu nchini Kenya ametangaza kuwa, wakimbizi wapatao 10,000 kutoka Ethiopia wameingia nchini humo tangu kuanza mwezi huu wa Machi.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS