Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Kenya

  • SUPKEM Kenya yataka kuweko mfumo mmoja wa masomo kwa shule za Kiislamu

    SUPKEM Kenya yataka kuweko mfumo mmoja wa masomo kwa shule za Kiislamu

    Jun 22, 2017 09:29

    Baraza Kuu la Waislamu nchini Kenya SUPKEM limetoa wito wa kuandaliwa mfumo mmoja wa masomo kwa ajili ya shule za Kiislamu katika nchi hiyo ya Afrika Mashariki.

  • SAUTI, Muungano wa upinzani nchini Kenya waionya serikali kumkamata kiongozi wake, wasema utamlinda

    SAUTI, Muungano wa upinzani nchini Kenya waionya serikali kumkamata kiongozi wake, wasema utamlinda

    Jun 19, 2017 12:35

    Mrengo wa upinzani nchini Kenya umejitokeza na kuishutumu serikali inayoongozwa na muungano wa Jubilee kwa kuendeleza sera za undumakuwili kuhusiana na sakata la matamshi ya kiongozi wake Raila Odinga aliyoyatoa hivi karibuni.

  • Kenya na Iran zajadili mgogoro kati ya Qatar, Saudia na wapambe wake

    Kenya na Iran zajadili mgogoro kati ya Qatar, Saudia na wapambe wake

    Jun 14, 2017 03:29

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ametahadharisha kuwa, mgogoro unaoshuhudiwa hivi sasa katika eneo hili la Mashariki ya Kati yumkini ukapelekea madola fulani kuongeza kiwango cha ununuzi wa silaha.

  • Watu 15 watoweka baada ya jengo kuporomoka Nairobi

    Watu 15 watoweka baada ya jengo kuporomoka Nairobi

    Jun 13, 2017 09:36

    Watu 15 hadi sasa hawajulikano waliko baada ya jengo la ghorofa saba kuporomoka katika mji mkuu wa Kenya, Nairobi Jumatatu usiku.

  • Rais wa Kenya awakabidhi Waislamu wa jamii ya Nubi hati miliki ya ardhi Nairobi

    Rais wa Kenya awakabidhi Waislamu wa jamii ya Nubi hati miliki ya ardhi Nairobi

    Jun 02, 2017 09:58

    Rais Uhuru Kenyatta wa Kenya leo amewakabidhi Waislamu wa jamii ya Wanubi hati miliki ya ardhi yao ya jadi yenye ukubwa wa ekari 288 katika eneo la Kibra mjini Nairobi.

  • Kenya na Iran kuimarisha mahusiano ya pande zote

    Kenya na Iran kuimarisha mahusiano ya pande zote

    Jun 01, 2017 23:53

    Balozi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran nchini Kenya, Hadi Farajvand amesema kuwa, mahusiano ya Kenya na Iran hususan katika uga wa uchumi, yamestawi sana katika miaka ya hivi karibuni.

  • Watakaohujumu mradi wa reli ya kisasa ya SGR nchini Kenya, kunyongwa!

    Watakaohujumu mradi wa reli ya kisasa ya SGR nchini Kenya, kunyongwa!

    May 31, 2017 12:37

    Rais Uhuru Kenyatta azindua usafiri wa reli ya kisasa, ulioigharimu nchi hiyo karibu Shilingi bilioni 400 (Dola Milioni 40 za Marekani).

  • Maafisa polisi 7, raia 1 wauawa katika shambulizi la bomu Lamu, Kenya

    Maafisa polisi 7, raia 1 wauawa katika shambulizi la bomu Lamu, Kenya

    May 31, 2017 10:30

    Maafisa saba wa polisi ya utawala wameuawa baada ya gari lao kukanyaga bomu lililotegwa kando ya barabara katika kaunti ya Lamu, kusini mashariki mwa Kenya.

  • Kenya kutumia jeshi kutegua mabomu ya barabarani

    Kenya kutumia jeshi kutegua mabomu ya barabarani

    May 26, 2017 03:24

    Kenya imetuma wanajeshi katika eneo la kaskazini mashariki mwa nchi hiyo kwenda kutegua mabomu yaliyotegwa barabarani baada ya watu 20 wakiwemo maafisa 11 kuuawa katika miripuko ya barabarani kwenye eneo hilo.

  • Askari polisi 5 wa Kenya wauawa katika shambulizi la bomu

    Askari polisi 5 wa Kenya wauawa katika shambulizi la bomu

    May 25, 2017 09:29

    Kwa akali maafisa watano wa polisi nchini Kenya wameuawa katika shambulizi la bomu lililotokea leo Alkhamisi eneo la kaskazini mashariki mwa nchi hiyo ya Afrika Mashariki.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS