-
SUPKEM Kenya yataka kuweko mfumo mmoja wa masomo kwa shule za Kiislamu
Jun 22, 2017 09:29Baraza Kuu la Waislamu nchini Kenya SUPKEM limetoa wito wa kuandaliwa mfumo mmoja wa masomo kwa ajili ya shule za Kiislamu katika nchi hiyo ya Afrika Mashariki.
-
SAUTI, Muungano wa upinzani nchini Kenya waionya serikali kumkamata kiongozi wake, wasema utamlinda
Jun 19, 2017 12:35Mrengo wa upinzani nchini Kenya umejitokeza na kuishutumu serikali inayoongozwa na muungano wa Jubilee kwa kuendeleza sera za undumakuwili kuhusiana na sakata la matamshi ya kiongozi wake Raila Odinga aliyoyatoa hivi karibuni.
-
Kenya na Iran zajadili mgogoro kati ya Qatar, Saudia na wapambe wake
Jun 14, 2017 03:29Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ametahadharisha kuwa, mgogoro unaoshuhudiwa hivi sasa katika eneo hili la Mashariki ya Kati yumkini ukapelekea madola fulani kuongeza kiwango cha ununuzi wa silaha.
-
Watu 15 watoweka baada ya jengo kuporomoka Nairobi
Jun 13, 2017 09:36Watu 15 hadi sasa hawajulikano waliko baada ya jengo la ghorofa saba kuporomoka katika mji mkuu wa Kenya, Nairobi Jumatatu usiku.
-
Rais wa Kenya awakabidhi Waislamu wa jamii ya Nubi hati miliki ya ardhi Nairobi
Jun 02, 2017 09:58Rais Uhuru Kenyatta wa Kenya leo amewakabidhi Waislamu wa jamii ya Wanubi hati miliki ya ardhi yao ya jadi yenye ukubwa wa ekari 288 katika eneo la Kibra mjini Nairobi.
-
Kenya na Iran kuimarisha mahusiano ya pande zote
Jun 01, 2017 23:53Balozi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran nchini Kenya, Hadi Farajvand amesema kuwa, mahusiano ya Kenya na Iran hususan katika uga wa uchumi, yamestawi sana katika miaka ya hivi karibuni.
-
Watakaohujumu mradi wa reli ya kisasa ya SGR nchini Kenya, kunyongwa!
May 31, 2017 12:37Rais Uhuru Kenyatta azindua usafiri wa reli ya kisasa, ulioigharimu nchi hiyo karibu Shilingi bilioni 400 (Dola Milioni 40 za Marekani).
-
Maafisa polisi 7, raia 1 wauawa katika shambulizi la bomu Lamu, Kenya
May 31, 2017 10:30Maafisa saba wa polisi ya utawala wameuawa baada ya gari lao kukanyaga bomu lililotegwa kando ya barabara katika kaunti ya Lamu, kusini mashariki mwa Kenya.
-
Kenya kutumia jeshi kutegua mabomu ya barabarani
May 26, 2017 03:24Kenya imetuma wanajeshi katika eneo la kaskazini mashariki mwa nchi hiyo kwenda kutegua mabomu yaliyotegwa barabarani baada ya watu 20 wakiwemo maafisa 11 kuuawa katika miripuko ya barabarani kwenye eneo hilo.
-
Askari polisi 5 wa Kenya wauawa katika shambulizi la bomu
May 25, 2017 09:29Kwa akali maafisa watano wa polisi nchini Kenya wameuawa katika shambulizi la bomu lililotokea leo Alkhamisi eneo la kaskazini mashariki mwa nchi hiyo ya Afrika Mashariki.