-
SAUTI: Waislamu Kenya: Serikali ya Jubilee isitumie suala la uhuru wa Ramadhani katika kampeni, ni haki ya kila Mkenya
May 23, 2017 13:32Shakhsia mbalimbali wa Kiislamu nchini Kenya, wameitaka serikali kuwahakikishia Waislamu usalama wa kutosha ndani ya mwezi mtukufu wa Ramadhani baada ya serikali hiyo kuondoa hali ya hatari katika maeneo ya mpakani na Somalia.
-
Kenya yaongoza katika ununuzi wa bidhaa za Iran barani Afrika
May 20, 2017 08:48Kenya inaongoza katika ununuzi wa bidhaa kutoka Iran barani Afrika na ni ya 15 kwa ujumla katika ununuzi wa bidhaa za Iran duniani.
-
Polisi ya Kenya: Tumewatia mbaroni wanachama 33 wa al-Shabab
May 19, 2017 23:35Polisi ya Kenya imetangaza habari ya kuwatia mbaroni wanachama 33 wa kundi la kigaidi na ukufurishaji la ash-Shabab miezi minne iliyopita katika mji ulioko karibu na mpaka wa nchi mbili.
-
Mlipuko wa kipindupindu wauawa watu 7 nchini Kenya
May 19, 2017 03:27Kwa akali watu wanne wameripotiwa kufariki dunia kutokana na mlipuko wa ugonjwa wa kipindupindu nchini Kenya, huku mji mkuu Nairobi ukiathiriwa zaidi.
-
Magaidi wa Al Shabab waua afisa wa utawala Kenya
May 16, 2017 09:43Watu wanaoaminika kuwa magaidi wa kundi la kigaidi la Al Shabab kutoka Somalia wameingia katika eneo la mpakani kaskazini mashariki mwa Kenya na kumuua afisa mmoja wa utawala nchini humo.
-
Ulimwengu wa Spoti, Mei 15
May 15, 2017 03:24Huu ni mkusayiko wa baadhi ya matukio muhimu ya michezo yaliyojiri ndani ya siku saba zilizopita.....
-
Rais Kenyatta aagiza uchunguzi baada ya ajali kuua watu 20 Kenya
May 13, 2017 09:23Rais Uhuru Kenyatta wa Kenya ameagiza uchunguzi kufanyika baada ya watu 20 kupoteza maisha Jumamosi asubuhi kufuatia ajali mbaya ya barabarani katika barabara ya Nairobi-Nakuru.
-
Wakenya wamshangaa Raila Odinga kuuombea utawala wa Kizayuni wa Israel
May 11, 2017 00:20Hatua ya mgombea wa urais wa Muungano wa National Super Alliance (NASA) Raila Odinga ya kuiombea Israeli, wakati alipofanya safari huko Quds hapo jana, imewashangaza Wakenya wengi katika mitandao ya kijamii.
-
UNHCR: Zaidi ya wakimbizi elfu 60 wa Somalia wamerejeshwa makwao kutoka Kenya
May 09, 2017 23:39Shirika la Kuhudumia Wakimbizi la Umoja wa Mataifa (UNHCR) limesema kuwa, hadi sasa zaidi ya wakimbizi elfu 60 wa Somalia wamerejeshwa makwao kutoka nchini Kenya.
-
Ulimwengu wa Spoti, Mei 8
May 08, 2017 05:48Huu ni mkusayiko wa baadhi ya matukio muhimu ya michezo yaliyojiri ndani ya siku saba zilizopita.....