Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

kikao

  • Viongozi wa nchi za Sahel Afrika wasisitiza mapambano dhidi ya ugaidi

    Viongozi wa nchi za Sahel Afrika wasisitiza mapambano dhidi ya ugaidi

    Feb 07, 2017 15:05

    Viongozi wa nchi tano za eneo la Sahel barani Afrika wametilia mkazo udharura wa kuwepo ushirikiano na kuchukuliwa hatua za haraka za kupambana na ugaidi na makundi yenye misimamo mikali katika eneo hilo.

  • Masuala ya Afrika, ajenda kuu ya kikao cha viongozi wa AU Addis Ababa

    Masuala ya Afrika, ajenda kuu ya kikao cha viongozi wa AU Addis Ababa

    Jan 30, 2017 12:14

    Kikao cha 28 cha viongozi wa nchi wanachama wa Umoja wa Afrika (AU) kimefanyika leo Jumatatu mjini Addis Ababa Ethiopia kwa shabaha ya kujadili masuala na matatizo ya nchi za Afrika hususan migogoro ya Sudan Kusini na uchaguzi wa mkuu wa Kamisheni ya AU.

  • Uchunguzi wa changamoto za bara la Afrika katika kikao cha Bamako

    Uchunguzi wa changamoto za bara la Afrika katika kikao cha Bamako

    Jan 13, 2017 13:13

    Kikao cha 27 cha viongozi wa nchi za Kiafrika na Ufaransa kimeanza leo Ijumaa huko Bamako mji mkuu wa Mali kwa shabaha ya kuchunguza masuala ya kiuchumi, migogoro ya Kisasa na kiusalama yanayolikabili bara la Afrika.

  • Kamisheni ya pamoja ya JCPOA yachunguza ukiukaji ahadi wa Marekani

    Kamisheni ya pamoja ya JCPOA yachunguza ukiukaji ahadi wa Marekani

    Jan 11, 2017 07:09

    Kikao cha kamisheni ya pamoja ya Iran na kundi la 5+1 katika kiwango cha Manaibu Mawaziri wa Mashauri ya Kigeni kilichoitishwa kwa takwa la Dakta Muhammad Javad Zarif Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Jamhuri ya Kiislamu kwa ajili ya kujadili ukiukaji wa makubaliano hayo uliofanywa na Marekani kimemalizika huko Vienna Austria kwa kutolewa taarifa.

  • Kujadiliwa changamoto za eneo la katikati mwa Afrika katika mkutano wa Yaounde Cameroon

    Kujadiliwa changamoto za eneo la katikati mwa Afrika katika mkutano wa Yaounde Cameroon

    Dec 27, 2016 15:00

    Kikao cha dharura cha wakuu wa nchi za eneo la katikati mwa Afrika kilichokuwa kikifanyika katika mji mkuu wa Cameroon Yaounde kimemalizika kwa washiriki kusisitiza juu ya udharura wa kukabiliana na changamoto za kiuchumi zinazolikabili eneo hilo.

  • Kikao cha viongozi wa IGAD cha kujadili amani ya eneo

    Kikao cha viongozi wa IGAD cha kujadili amani ya eneo

    Dec 11, 2016 07:08

    Viongozi wa nchi wanachama wa Jumuiya ya Ustawi wa Mashariki mwa Afrika IGAD wamekutana katika mji mkuu wa Ethiopia, Addis Ababa kwa kikao cha 29 cha dharura ambacho kimefanyika kwa uenyekiti wa Waziri Mkuu wa nchi hiyo Hailemariam Desalegn kujadili amani na uthabiti wa eneo hasa katika nchi za Sudan Kusini na Somalia.

  • Kivuli cha migogoro ya kisiasa katika kikao cha kimataifa cha nchi zinazozungumza lugha ya Kifaransa

    Kivuli cha migogoro ya kisiasa katika kikao cha kimataifa cha nchi zinazozungumza lugha ya Kifaransa

    Nov 26, 2016 13:39

    Kikao cha Kimataifa cha 16 cha Nchi Zinazozungumza lugha ya Kifaransa kinafanyika huko Madagascar lengo likiwa ni kuchunguza migogoro ya kisiasa ya nchi hizo. Marais wa nchi au Mawaziri Wakuu zaidi ya 30 kutoka nchi 80 zinazozungumza lugha ya Kifaransa wanashiriki katika kikao hicho.

  • Kikao cha nne cha viongozi wa Kiarabu na Kiafrika na changamoto zake

    Kikao cha nne cha viongozi wa Kiarabu na Kiafrika na changamoto zake

    Nov 25, 2016 05:59

    Kikao cha nne cha pamoja baina ya viongozi wa Kiarabu na Kiafrika kimefanyika katika anga ya kushadidi tofauti na mivutano ya kisiasa baina ya pande mbili.

Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS