Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

kombora

  • Jumanne tarehe 3 Oktoba 2023

    Jumanne tarehe 3 Oktoba 2023

    Oct 03, 2023 02:42

    Leo ni Jumanne tarehe 17 Mfunguo Sita Rabiul Awwal 1445 Hijria sawa na Oktoba 3 mwaka 2023.

  • Adimeri Kaviani: Vyombo vya majini vya Jeshi vitabeba Kombora la Abu Mahdi

    Adimeri Kaviani: Vyombo vya majini vya Jeshi vitabeba Kombora la Abu Mahdi

    Jul 25, 2023 07:47

    Naibu Kamanda wa Jeshi la Wanamaji la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema: maslahi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran yatalindwa katika eneo la kaskazini la Bahari ya Hindi na maji huru ya kimataifa baada ya vyombo vya jeshi kusheheniwa kwa kombora la Abu Mahdi.

  • HAMAS yafanyia majaribio kombora lake jipya Ukanda wa Gaza

    HAMAS yafanyia majaribio kombora lake jipya Ukanda wa Gaza

    Jun 27, 2023 07:38

    Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (HAMAS) imefanyia majaribio kombora lake jipya katika Ukanda wa Gaza.

  • Kombora la Hypersonic la Fattah; matunda ya kimapinduzi na uainishaji hatima katika vita vya kisasa

    Kombora la Hypersonic la Fattah; matunda ya kimapinduzi na uainishaji hatima katika vita vya kisasa

    Jun 07, 2023 01:23

    Jumanane ya jana tarehe 6 Juni, Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ilizindua kombora lake la kwanza la balistiki la Hypersonic lililopewa jina la 'Fattah'.

  • Korea Kaskazini yaonyesha makombora mapya ya kuvuka mabara ya ICBM

    Korea Kaskazini yaonyesha makombora mapya ya kuvuka mabara ya ICBM

    Feb 09, 2023 11:59

    Korea Kaskazini imeonyesha makombora yake mapya ya kisasa kabisa ya balestiki, yenye uwezo wa kuvuka mabara ya ICBM.

  • Pyongyang yavurumisha tena makombora ya balestiki kujibu chokochoko za US

    Pyongyang yavurumisha tena makombora ya balestiki kujibu chokochoko za US

    Oct 06, 2022 07:04

    Kwa mara nyingine tena, Korea Kaskazini imefyatua makombora yake ya balestiki kuelekea upande wa Japan, kujibu chokochoko mpya za Marekani dhidi ya Pyongyang.

  • Korea Kaskazini yafyatua kombora la balestiki kuelekea Japan

    Korea Kaskazini yafyatua kombora la balestiki kuelekea Japan

    Oct 04, 2022 07:51

    Korea Kaskazini imefyatua kombora lake la balestiki kuelekea upande wa Japan, na kupelekea kusitishwa kwa usafiri wa treni katika baadhi ya maeneo, huku Wajapani katika maeneo ya kaskazini wakitakiwa kujificha.

  • Jenerali Hajizadeh: Leo tunauza nje ya nchi makombora na ndege zisizo na rubani

    Jenerali Hajizadeh: Leo tunauza nje ya nchi makombora na ndege zisizo na rubani

    Aug 23, 2022 08:01

    Kamanda wa Kikosi cha Anga za Mbali cha Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu IRGC amesema: "huko nyuma, sisi hatukuwa na wowote kati ya uwezo tulionao leo hii, na hivi sasa tunauza nje ya nchi makombora na ndege zisizo na rubani.

  • Wazayuni: Jihad al Islami imeweka tayari zaidi ya makombora 3000 yakisubiri kufyatuliwa tu

    Wazayuni: Jihad al Islami imeweka tayari zaidi ya makombora 3000 yakisubiri kufyatuliwa tu

    Aug 06, 2022 03:52

    Duru za Kizayuni zimedai kuwa, Harakati ya Jihad al Islami ya Palestina imeweka tayari kwa ajili ya kufyatuliwa makombora zaidi 3000 baada ya kiongozi wake mmoja kukamatwa katika Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan.

  • Wanamuqawama wa Palestina Gaza wafanyia majaribio makombora yao

    Wanamuqawama wa Palestina Gaza wafanyia majaribio makombora yao

    Jun 12, 2022 07:53

    Duru za kiusalama huko Palestina zimedokeza kuwa, vikosi vya muqawama vya nchi hiyo vimefanyia majaribio makombora yao katika fukwe za Ukanda wa Gaza.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS