Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

kombora

  • Ukraine yakanusha uvumi kwamba Iran imeiuzia Russia makombora ya balestiki

    Ukraine yakanusha uvumi kwamba Iran imeiuzia Russia makombora ya balestiki

    Feb 26, 2024 08:17

    Mkuu wa Idara ya Intelijensia ya Jeshi la Ukraine amekadhibisha uvumi kwamba Iran imeiuzia Russia makombora ya balestiki kwa ajili ya kutumika katika vita vya Ukraine.

  • Kuzinduliwa mifumo mipya ya makombora nchini Iran

    Kuzinduliwa mifumo mipya ya makombora nchini Iran

    Feb 19, 2024 01:03

    Katika kuendelea ustawi wa Jamhuri ya Kiislamu katika sekta ya makombora, mifumo dhidi ya makombora ya balestiki kwa jina la "Arman", na mfumo wa ulinzi wa anga ya juu wa Azarkhash, ambao uliundwa kwa juhudi za wataalamu wa Wizara ya Ulinzi ya Iran ulizinduliwa juzi Jumamosi.

  • Wanajeshi 560 wa Israel wameshaangamizwa hadi hivi sasa Ghaza

    Wanajeshi 560 wa Israel wameshaangamizwa hadi hivi sasa Ghaza

    Feb 01, 2024 03:44

    Jeshi la utawala wa Kizayuni ambalo ni maarufu kwa kuchuja mno habari limesema katika taarifa yake ya jana kwamba, hadi hivi sasa wanajeshi 560 wa Israel wameshaangamizwa tangu vilipoanza vita vya Ghaza, tarehe 7 Oktoba, 2023.

  • New York Times: Iran imetuma ujumbe kwa Israel kwa kombora la Khaybar-Shekan

    New York Times: Iran imetuma ujumbe kwa Israel kwa kombora la Khaybar-Shekan

    Jan 20, 2024 09:04

    Gazeti la Marekani la New York Times limelitaja shambulio la hivi karibuni la makombora ya Iran dhidi ya ngome za kundi la kigaidi la Daesh (ISIS) nchini Syria kwa kutumia kombora la kisasa la "Khaybar Shekan" kuwa sio tu ni kulipiza kisasi dhidi ya ISIS bali pia ni onyesho la nguvu ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran dhidi ya kambi ya Magharibi na hasa utawala wa Kizayuni wa Israel.

  • Jumanne tarehe 3 Oktoba 2023

    Jumanne tarehe 3 Oktoba 2023

    Oct 02, 2023 23:12

    Leo ni Jumanne tarehe 17 Mfunguo Sita Rabiul Awwal 1445 Hijria sawa na Oktoba 3 mwaka 2023.

  • Adimeri Kaviani: Vyombo vya majini vya Jeshi vitabeba Kombora la Abu Mahdi

    Adimeri Kaviani: Vyombo vya majini vya Jeshi vitabeba Kombora la Abu Mahdi

    Jul 25, 2023 04:17

    Naibu Kamanda wa Jeshi la Wanamaji la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema: maslahi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran yatalindwa katika eneo la kaskazini la Bahari ya Hindi na maji huru ya kimataifa baada ya vyombo vya jeshi kusheheniwa kwa kombora la Abu Mahdi.

  • HAMAS yafanyia majaribio kombora lake jipya Ukanda wa Gaza

    HAMAS yafanyia majaribio kombora lake jipya Ukanda wa Gaza

    Jun 27, 2023 04:08

    Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (HAMAS) imefanyia majaribio kombora lake jipya katika Ukanda wa Gaza.

  • Kombora la Hypersonic la Fattah; matunda ya kimapinduzi na uainishaji hatima katika vita vya kisasa

    Kombora la Hypersonic la Fattah; matunda ya kimapinduzi na uainishaji hatima katika vita vya kisasa

    Jun 06, 2023 21:53

    Jumanane ya jana tarehe 6 Juni, Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ilizindua kombora lake la kwanza la balistiki la Hypersonic lililopewa jina la 'Fattah'.

  • Korea Kaskazini yaonyesha makombora mapya ya kuvuka mabara ya ICBM

    Korea Kaskazini yaonyesha makombora mapya ya kuvuka mabara ya ICBM

    Feb 09, 2023 08:29

    Korea Kaskazini imeonyesha makombora yake mapya ya kisasa kabisa ya balestiki, yenye uwezo wa kuvuka mabara ya ICBM.

  • Pyongyang yavurumisha tena makombora ya balestiki kujibu chokochoko za US

    Pyongyang yavurumisha tena makombora ya balestiki kujibu chokochoko za US

    Oct 06, 2022 03:34

    Kwa mara nyingine tena, Korea Kaskazini imefyatua makombora yake ya balestiki kuelekea upande wa Japan, kujibu chokochoko mpya za Marekani dhidi ya Pyongyang.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS