-
Answarullah: Miji mikuu ya nchi zinazoishambulia Yemen iko katika shabaha ya makombora yetu
Nov 09, 2017 11:29Kiongozi wa Baraza la Kisiasa la Harakati ya Kiislamu ya Answarullah nchini Yemen amesema kuwa, miji mikuu ya nchi za muungano vamizi unaoongozwa na Saudia, iko katika shabaha ya makombora ya jeshi la Yemen na harakati hiyo ya wananchi.
-
Kombora la balistiki la Yemen laulenga uwanja wa ndege wa Mfalme Khalid mjini Riyadh, Saudia
Nov 05, 2017 04:37Kikosi cha makombora cha jeshi la Yemen na vikosi vya kujitolea vya wananchi jana usiku kilifyatua kombora la balistiki la masafa marefu aina ya Borkan H2 na kuulenga uwanja wa ndege wa kimataifa wa Mfalme Khalid ulioko kwenye mji mkuu wa Saudi Arabia, Riyadh.
-
Iran haitafanya mazungumzo kuhusu uwezo wake wa makombora
Oct 19, 2017 04:16Afisa wa ngazi za juu wa kijeshi nchini Iran amesema Jamhuri ya Kiislamu ya Iran haitafanya mazungumzo kuhusu uwezo wake mkubwa wa makombora.
-
Jumanne tarehe 3 Oktoba, 2017
Oct 03, 2017 00:29Leo ni Jumanne tarehe 12 Muharram 1439 Hijria sawa na 3 Oktoba 2017.
-
Brigedia Jenerali Hajizadeh: Iran ina "baba wa mabomu yote"
Sep 16, 2017 03:47Kamanda ngazi za juu wa jeshi la Iran amesema kuwa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ina "baba wa mabomu yote" na lenye nguvu kubwa zaidi kuliko yote yasiyo ya nyuklia duniani.
-
Korea Kasazini yarusha kombora kuelekea Japan, UNSC kuitisha kikao cha dharura
Aug 29, 2017 03:08Waziri Mkuu wa Japan, Shinzo Abe amelitaka Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa UNSC kuitisha mkutano wa dharura baada ya Korea Kaskazini kuvurumisha kombora lililoruka katika anga yake na kudondoka katika pwani ya kisiwa cha Hokkaido, mashariki mwa Japan.
-
Qassemi: Iran itaendeleza mipango yake ya makombora kwa nguvu zake zote
Jul 29, 2017 22:35Msemaji wa Wizara ya Mashauri ya Kigeni ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, Tehran ina haki ya kutoa majibu mwafaka dhidi ya hatua ya Marekani na kwamba, itaendelea mbele na mipango yake ya makombora.
-
Korea Kaskazini yaionya Marekani, yasema itaishambulia kwa nyuklia
Jul 27, 2017 00:13Korea Kaskazini imetangaza kuwa, ikiwa Marekani itafanya kosa kuishambulia kwa nyuklia, basi itapata jibu kama hilo.
-
Iran yazindua utengenezaji wa kombora jipya la anga la Sayyad-3
Jul 22, 2017 12:22Uzalishaji wa kombora la anga la masafa marefu la Sayyad-3 umezinduliwa leo katika hafla iliyohudhuriwa na maafisa wa ngazi za juu wa jeshi hapa nchini.
-
Trump: Ni lazima China ichukue hatua kali dhidi ya Korea Kaskazini
Jul 04, 2017 03:45Rais Donald Trump wa Marekani ameitaka Uchina kuchukua uamuzi mgumu kuhusiana na hatua ya Pyongyang ya kuvurumisha kombora jipya la balestiki mapema leo.