Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Korea Kaskazini

  • Kuendelea siasa za mashinikizo ya Marekani dhidi ya Korea Kaskazini

    Kuendelea siasa za mashinikizo ya Marekani dhidi ya Korea Kaskazini

    Jul 22, 2018 09:16

    Ikiwa ni karibu mwezi mmoja umepita tangu Rais Donald Trump na Kim Jong-un wa Korea Kaskazini wakutane nchini Singapore, Mike Pompeo, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani amesema kuwa, kabla ya kujadiliwa suala la kuondolewa vikwazo dhidi ya Pyongyang, nchi hiyo inatakiwa ipige hatua za kivitendo na kwamba kabla ya hatua hizo kupigwa, mashinikizo zaidi dhidi ya Korea Kaskazini yataongezeka.

  • China na Russia zapinga takwa la Marekani la kutoiuzia mafuta Korea Kaskazini

    China na Russia zapinga takwa la Marekani la kutoiuzia mafuta Korea Kaskazini

    Jul 20, 2018 03:48

    Duru za habari zimearifu kwamba China na Russia zimetupilia mbali pendekezo la Marekani kwa ajili ya kuzuia uuzaji mafuta kwa Korea Kaskazini.

  • Mike Pompeo: Vikwazo vya Marekani dhidi ya Korea Kaskazini vitaendelea

    Mike Pompeo: Vikwazo vya Marekani dhidi ya Korea Kaskazini vitaendelea

    Jul 19, 2018 02:54

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani amesema kuwa kufikiwa makubaliano kamili ya nyuklia kati ya nchi yake na Korea Kaskazini, kutategemea muda mrefu na kwamba katika kipindi hicho vikwazo vya Washington dhidi ya Pyongyang vitaendelea kuwepo.

  • Mazungumzo kati ya viongozi wa kijeshi wa Marekani na Korea ya Kaskazini

    Mazungumzo kati ya viongozi wa kijeshi wa Marekani na Korea ya Kaskazini

    Jul 16, 2018 22:26

    Wanajeshi wa ngazi ya juu wa Marekani na Korea Kaskazini kwa mara ya kwanza katika muda wa miaka 9 iliyopita wamekutana na kufanya mazungumzo kuhusu kurejesha mabaki ya miili ya wanajeshi wa Marekani waliouawa katika vita baina ya Korea mbili.

  • Kuongezeka ukosolewaji wa siasa za Trump kuhusiana na suala la Korea Kaskazini

    Kuongezeka ukosolewaji wa siasa za Trump kuhusiana na suala la Korea Kaskazini

    Jul 09, 2018 21:53

    Sambamba na kuanza tena vita vya maneno kati ya Marekani na Korea Kaskazini, ukosolewaji wa siasa za Rais Donald Trump kuhusiana na jinsi amekuwa akiamiliana na Korea Kaskizini umekuwa ukiongezeka.

  • Korea Kaskazini kuikabidhi Uturuki mabaki ya miili ya askari 500 wa nchi hiyo

    Korea Kaskazini kuikabidhi Uturuki mabaki ya miili ya askari 500 wa nchi hiyo

    Jun 25, 2018 23:53

    Serikali ya Korea Kaskazini imetangaza kwamba itaikabidhi Uturuki mabaki ya miili ya askari wa nchi hiyo waliouawa katika vita vya eneo la Korea.

  • Jumatatu tarehe 25 Juni, 2018

    Jumatatu tarehe 25 Juni, 2018

    Jun 25, 2018 03:23

    Leo ni Jumatatu tarehe 11 Shawwal 1439 Hijria sawa na tarehe 25 Juni 2018.

  • Akthari ya Wamarekani hawana imani na sera za Trump kuhusiana na Korea Kaskazini

    Akthari ya Wamarekani hawana imani na sera za Trump kuhusiana na Korea Kaskazini

    Jun 18, 2018 10:42

    Matokeo ya uchunguzi wa maoni uliofanywa nchini Marekani yanaonyesha kuwa akthari ya Wamarekani hawana imani na sera za rais wa nchi hiyo kuhusiana na Korea Kaskazini.

  • Pompeo: Vikwazo dhidi ya Korea Kaskazini vitaendelea hadi nchi hiyo iangamize silaha zake za nyuklia

    Pompeo: Vikwazo dhidi ya Korea Kaskazini vitaendelea hadi nchi hiyo iangamize silaha zake za nyuklia

    Jun 15, 2018 03:06

    Kwa mara nyingine Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani, Mike Pompeo ametupilia mbali taarifa inayohusiana na mazungumzo kati ya nchi yake na Korea Kaskazini na kusema kuwa vikwazo dhidi ya nchi hiyo vitaendelea kuwepo.

  • Korea Kaskazini yakerwa na matamshi machafu ya Netanyahu dhidi ya Iran

    Korea Kaskazini yakerwa na matamshi machafu ya Netanyahu dhidi ya Iran

    Jun 11, 2018 23:47

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Korea Kaskazini ametoa radiamali kuhusiana na pendekezo la kejeli la Waziri Mkuu wa Utawala haramu wa Kizayuni kuhusu kuipa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran teknolojia ya kukabiliana na uhaba wa maji na kusema kuwa, Benjamin Netanyahu ni mtenda jinai na muongo mkubwa.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS