-
Mazungumzo kati ya viongozi wa kijeshi wa Marekani na Korea ya Kaskazini
Jul 17, 2018 02:56Wanajeshi wa ngazi ya juu wa Marekani na Korea Kaskazini kwa mara ya kwanza katika muda wa miaka 9 iliyopita wamekutana na kufanya mazungumzo kuhusu kurejesha mabaki ya miili ya wanajeshi wa Marekani waliouawa katika vita baina ya Korea mbili.
-
Kuongezeka ukosolewaji wa siasa za Trump kuhusiana na suala la Korea Kaskazini
Jul 10, 2018 02:23Sambamba na kuanza tena vita vya maneno kati ya Marekani na Korea Kaskazini, ukosolewaji wa siasa za Rais Donald Trump kuhusiana na jinsi amekuwa akiamiliana na Korea Kaskizini umekuwa ukiongezeka.
-
Korea Kaskazini kuikabidhi Uturuki mabaki ya miili ya askari 500 wa nchi hiyo
Jun 26, 2018 04:23Serikali ya Korea Kaskazini imetangaza kwamba itaikabidhi Uturuki mabaki ya miili ya askari wa nchi hiyo waliouawa katika vita vya eneo la Korea.
-
Jumatatu tarehe 25 Juni, 2018
Jun 25, 2018 07:53Leo ni Jumatatu tarehe 11 Shawwal 1439 Hijria sawa na tarehe 25 Juni 2018.
-
Akthari ya Wamarekani hawana imani na sera za Trump kuhusiana na Korea Kaskazini
Jun 18, 2018 15:12Matokeo ya uchunguzi wa maoni uliofanywa nchini Marekani yanaonyesha kuwa akthari ya Wamarekani hawana imani na sera za rais wa nchi hiyo kuhusiana na Korea Kaskazini.
-
Pompeo: Vikwazo dhidi ya Korea Kaskazini vitaendelea hadi nchi hiyo iangamize silaha zake za nyuklia
Jun 15, 2018 07:36Kwa mara nyingine Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani, Mike Pompeo ametupilia mbali taarifa inayohusiana na mazungumzo kati ya nchi yake na Korea Kaskazini na kusema kuwa vikwazo dhidi ya nchi hiyo vitaendelea kuwepo.
-
Korea Kaskazini yakerwa na matamshi machafu ya Netanyahu dhidi ya Iran
Jun 12, 2018 04:17Waziri wa Mambo ya Nje wa Korea Kaskazini ametoa radiamali kuhusiana na pendekezo la kejeli la Waziri Mkuu wa Utawala haramu wa Kizayuni kuhusu kuipa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran teknolojia ya kukabiliana na uhaba wa maji na kusema kuwa, Benjamin Netanyahu ni mtenda jinai na muongo mkubwa.
-
Rais wa Korea Kusini: Uhusiano wa Marekani na Korea Kaskazini hautaboreka kirahisi
Jun 12, 2018 03:54Rais Moon Jae-in wa Korea Kusini amesema, uhusiano uliotawaliwa na uhasama na uadui wa muda mrefu kati ya Marekani na Korea Kaskazini hautaboreka kwa mkutano utakaofanyika leo nchini Singapore kati ya viongozi wa nchi hizo mbili.
-
Kujitoa Marekani kwenye JCPOA na kupoteza itibari katika mazungumzo na Korea Kaskazini
Jun 09, 2018 07:10Rais Emmanuel Macron wa Ufaransa amesema, kuna ulazima wa kuyadumisha makubaliano ya nyuklia ya Mpango Kamili wa Pamoja wa Utekelezaji JCPOA na kubainisha kwamba: Wakati makubaliano ya nyuklia ya JCPOA yanalegalega, mwafaka wenye uwezekano wa kufikiwa kati ya Marekani na Korea Kaskazini nao pia hautokuwa na itibari yoyote.
-
Baada ya kukataa kukutana na Kim Jong-un, Trump aitaka Pentagon ijiandae kukabiliana na Pyongyang
May 25, 2018 13:59Rais Donald Trump wa Marekani amelitaka jeshi na Wizara ya Ulinzi ya nchi hiyo (Pentagon) kujiweka tayari kwa ajili ya makabiliano tarajiwa na Korea Kaskazini.