Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Korea Kaskazini

  • Iran yazipongeza Korea 2, yaonya juu ya uchochezi wa US

    Iran yazipongeza Korea 2, yaonya juu ya uchochezi wa US

    Apr 28, 2018 07:46

    Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imepongeza jitihada za viongozi wa Korea Kusini na Korea Kaskazini za kutaka kupunguza taharuki katika Peninsula ya Korea sanjari na kuufanya wa kawaida uhusiano wao uliokuwa umevunjika kwa miongo kadhaa.

  • Viongozi wa Korea mbili wakutana katika tukio la kihistoria

    Viongozi wa Korea mbili wakutana katika tukio la kihistoria

    Apr 27, 2018 04:29

    Kiongozi wa Korea Kaskazini, Kim Jong-un na mwenzake wa Korea Kusini, Moon Jae-in wamekutana na kufanya mazungumzo mapema leo Ijumaa katika kijiji cha Panmunjom kwenye eneo la mpaka wa nchi hizo mbili la Demilitarized. Mazungumzo haya yanatajwa kuwa ya kihistoria.

  • Korea Kusini yasitisha programu ya kueneza propaganda dhidi ya Korea Kaskazini

    Korea Kusini yasitisha programu ya kueneza propaganda dhidi ya Korea Kaskazini

    Apr 24, 2018 07:29

    Serikali ya Korea Kusini imetangaza kusimamisha programu ya kueneza propaganda mbaya dhidi ya jirani yake Korea Kaskazini.

  • Viongozi wa Korea mbili wafungua njia ya mawasiliano ya moja kwa moja kati yao

    Viongozi wa Korea mbili wafungua njia ya mawasiliano ya moja kwa moja kati yao

    Apr 20, 2018 14:01

    Msemaji wa Ikulu ya Rais nchini Korea Kusini, ametangaza habari ya kufunguliwa njia ya moja kwa moja ya mawasiliano kati ya Rais Moon Jae-in na Kiongozi wa Korea Kaskazini, Kim Jong-un.

  • Uungaji mkono wa Korea Kaskazini kwa makubaliano ya nyuklia ya Iran (JCPOA)

    Uungaji mkono wa Korea Kaskazini kwa makubaliano ya nyuklia ya Iran (JCPOA)

    Apr 19, 2018 10:21

    Serikali ya Korea Kaskazini imeyataja makubaliano ya nyuklia yanayofahamika kwa jina la Mpango Kamili wa Pamoja wa Utekelezaji (JCPOA), kuwa ni makubaliano muhimu ya kimataifa kati ya Iran na kundi la 5+1, na kutangaza kuwa inaunga mkono makubaliano hayo yaendelee kutekelezwa.

  • Radiamali ya Korea Kaskazini dhidi ya uwepo wa kijeshi wa Uingereza katika Peninsula ya Korea

    Radiamali ya Korea Kaskazini dhidi ya uwepo wa kijeshi wa Uingereza katika Peninsula ya Korea

    Apr 18, 2018 01:24

    Korea Kaskazini imesema kuwa hatua ya Uingereza kutuma manowari zake katika Peninsula ya Korea ni sawa na kutangaza vita dhidi ya nchi hiyo.

  • Korea Kaskazini: Marekani iache vitisho vya kujiondoa katika makubaliano ya JCPOA

    Korea Kaskazini: Marekani iache vitisho vya kujiondoa katika makubaliano ya JCPOA

    Apr 17, 2018 14:28

    Serikali ya Korea Kaskazini sambamba na kuunga mkono Mpango Kamili wa Pamoja wa Utekelezaji (JCPOA) na kuyataja kuwa makubaliano ya kimataifa na muhimu zaidi kati ya Iran na kundi la 5+1, imeikosoa mwenendo wa serikali ya Marekani wa kuendelea kutishia kujitoa katika makubaliano hayo.

  • Korea Kaskazini: Hatua ya Uingereza kutuma meli za kijeshi eneo la Korea ni sawa na kututangazia vita

    Korea Kaskazini: Hatua ya Uingereza kutuma meli za kijeshi eneo la Korea ni sawa na kututangazia vita

    Apr 16, 2018 17:21

    Serikali ya Korea Kaskazini imeonyesha kukasirishwa na hatua ya Uingereza ya kutuma meli zake za kivita katika Rasi ya Korea na kuitaja hatua hiyo kuwa ni sawa na kutangaza vita.

  • Guterres: Kufukuzwa wanadiplomasia wa Russia kunakumbusha kipindi cha Vita Baridi

    Guterres: Kufukuzwa wanadiplomasia wa Russia kunakumbusha kipindi cha Vita Baridi

    Mar 30, 2018 03:15

    Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa ameeleza wasiwasi wake kuhusiana na hatua ya baadhi ya nchi za Magharibi ya kuwafukuza wanadiplomasia wa Russia na kusema hali hiyo inakumbusha kipindi cha Vita Baridi.

  • Viongozi wa Korea mbili kukutana mwishoni mwa mwezi ujao

    Viongozi wa Korea mbili kukutana mwishoni mwa mwezi ujao

    Mar 29, 2018 14:53

    Korea Kaskazini na Korea Kusini zimetangaza kuwa viongozi wa nchi mbili hizo jirani watakutana na kufanya mazungumzo tarehe 27 mwezi Aprili mwaka huu.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS