Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Korea Kaskazini

  • Dada wa Kiongozi wa Koreka Kaskazini amuita Biden 'mzee asiye na mustakabali'

    Dada wa Kiongozi wa Koreka Kaskazini amuita Biden 'mzee asiye na mustakabali'

    Apr 30, 2023 02:10

    Korea Kaskazini imemtuhumu Rais wa Marekani Joe Biden kwamba hana akili timamu baada ya kutishia kuiangamiza nchi hiyo iwapo itafanya shambulio la nyuklia na kuishutumu Marekani kwa ilichokiita sera "zilizofurutu mpaka" na za "uhasama".

  • Korea Kaskazini yafanyia majaribio droni yenye uwezo wa kufanya shambulio la nyuklia baharini

    Korea Kaskazini yafanyia majaribio droni yenye uwezo wa kufanya shambulio la nyuklia baharini

    Mar 25, 2023 02:19

    Korea Kaskazini imeifanyia majaribio ndege mpya isiyo na rubani ya droni inayoweza kufanya mashambulizi ya nyuklia chini ya maji, likiwa ni jibu la kukabiliana na mazoezi ya pamoja ya kijeshi ya Marekani na Korea Kusini.

  • Korea Kaskazini: Hatari ya kutokea vita vya nyuklia imebadilika kutoka nadharia na kuwa uhalisia

    Korea Kaskazini: Hatari ya kutokea vita vya nyuklia imebadilika kutoka nadharia na kuwa uhalisia

    Mar 09, 2023 06:41

    Korea Kaskazini imeonya kuhusu kile ilichokitaja kama hatari "halisi" ya kutokea vita vya nyuklia katika ukanda na dunia nzima, kufuatia duru mpya ya mazoezi ya pamoja ya kijeshi kati ya Korea Kusini na Marekani.

  • Korea Kaskazini yaonyesha makombora mapya ya kuvuka mabara ya ICBM

    Korea Kaskazini yaonyesha makombora mapya ya kuvuka mabara ya ICBM

    Feb 09, 2023 11:59

    Korea Kaskazini imeonyesha makombora yake mapya ya kisasa kabisa ya balestiki, yenye uwezo wa kuvuka mabara ya ICBM.

  • Korea Kaskazini kuongeza kiwango cha silaha za nyuklia kukabili tishio la US

    Korea Kaskazini kuongeza kiwango cha silaha za nyuklia kukabili tishio la US

    Jan 01, 2023 07:19

    Kiongozi wa Korea Kaskazini ametoa amri ya kuzalishwa makombora mapya ya balestiki ya kuvuka mabara, sambamba na kuongezwa kiwango cha silaha za nyuklia za 'kimkakati' kwa ajili ya kukabiliana na tishio la Marekani.

  • Indhari ya Rais wa Venezuela kuhusu kufikia ubeberu wa Marekani katika hatua hatarishi zaidi

    Indhari ya Rais wa Venezuela kuhusu kufikia ubeberu wa Marekani katika hatua hatarishi zaidi

    Dec 28, 2022 01:57

    Rais Nicolas Maduro wa Venezuela ametahadharisha kuwa ubeberu wa Marekani umeingia katika hatua hatarishi zaidi na unajaribu kufanya kila njia ili kuzusha mapigano na kuwasha moto wa vita duniani.

  • Kiongozi wa Korea Kaskazini: Tutatumia silaha za atomiki kujibu vitisho vya atomiki

    Kiongozi wa Korea Kaskazini: Tutatumia silaha za atomiki kujibu vitisho vya atomiki

    Nov 19, 2022 07:12

    Kiongozi wa Korea Kaskazini Kim Jong-Un ameionya Marekani kuwa nchi yake itajibu vitisho vya atomiki kwa silaha za atomiki na makabiliano kwa makabiliano dhidi yake.

  • Kiongozi wa Korea Kaskazini: Hakuna faida ya kufanya mazungumzo na Marekani

    Kiongozi wa Korea Kaskazini: Hakuna faida ya kufanya mazungumzo na Marekani

    Oct 11, 2022 07:23

    Kiongozi wa Korea Kaskazini Kim Jong-Un amesema hakuna tija itakayopatikana kwa kufanya mazungumzo yoyote yale na Marekani na akabainisha kuwa kwa upande mmoja Washington inazungumzia kufanya mazungumzo na kuanzisha uhusiano; na kwa upande mwingine inatoa vitisho vya operesheni za kijeshi dhidi ya nchi hiyo.

  • Pyongyang yavurumisha tena makombora ya balestiki kujibu chokochoko za US

    Pyongyang yavurumisha tena makombora ya balestiki kujibu chokochoko za US

    Oct 06, 2022 07:04

    Kwa mara nyingine tena, Korea Kaskazini imefyatua makombora yake ya balestiki kuelekea upande wa Japan, kujibu chokochoko mpya za Marekani dhidi ya Pyongyang.

  • Korea Kaskazini yafyatua kombora la balestiki kuelekea Japan

    Korea Kaskazini yafyatua kombora la balestiki kuelekea Japan

    Oct 04, 2022 07:51

    Korea Kaskazini imefyatua kombora lake la balestiki kuelekea upande wa Japan, na kupelekea kusitishwa kwa usafiri wa treni katika baadhi ya maeneo, huku Wajapani katika maeneo ya kaskazini wakitakiwa kujificha.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS