-
Vita dhidi ya Uislamu katika michezo ya Olimpiki, Korea Kusini!
Feb 10, 2018 16:35Vita na hujuma dhidi ya Uislamu inaonekana sasa kushamiri zaidi na kuingia katika michezo ya kimataifa.
-
Korea Kaskazini: Maafisa wetu walioenda Korea Kusini hawatokutana na viongozi wa US
Feb 08, 2018 14:30Wizara ya Mambo ya Nje ya Korea Kaskazini imesema kuwa, viongozi wa nchi hiyo waliofanya safari nchini Korea Kusini kwa ajili ya kushiriki katika michuano ya Olimpiki ya msimu wa baridi, kamwe hawatokutana na viongozi wa Marekani.
-
Rais wa Korea Kusini aonyesha matarajio ya kufikiwa amani kati ya Korea mbili
Feb 06, 2018 14:14Rais Moon Jae-in wa Korea Kusini, amesema kuwa kufanyika michuano ya Olimpiki ya msimu wa baridi kali ndani ya mwezi huu kwa kuishirikisha Korea Kaskazini, ni mwanzo wa ratiba ya kupatikana amani katika eneo la Rasi ya Korea.
-
Licha ya malalamiko ya Korea Kaskazini, Marekani na Korea Kusini zaanza maneva ya kijeshi
Feb 02, 2018 14:47Huku serikali ya Korea Kaskazini ikijiandaa kuboresha uhusiano wake na Korea Kusini, vyombo vya habari vimeripoti habari ya kuanza maneva mapya ya kijeshi kati ya askari wa Marekani na nchi hiyo inayopakana na Korea Kaskazini katika Rasi ya Korea.
-
Zaidi ya 40 wauawa katika mkasa wa moto hospitalini Korea Kusini
Jan 26, 2018 07:23Kwa akali watu 41 wamepoteza maisha baada ya moto mkali kuteketeza sehemu ya jengo la hospitali moja nchini Korea Kusini mapema leo.
-
Ujumbe wa Korea Kaskazini wazuru Korea Kusini kwa ajili ya maandalizi ya michuano
Jan 22, 2018 08:13Viongozi wa Korea Kaskazini waliwasili jana Jumapili nchini Korea Kusini chini ya ulinzi mkali, kwa ajili ya kuanza maandalizi ya wanamichezo wake kwenye michezo ijayo ya olimpiki.
-
Korea Kusini: Tafadhali Marekani msituharibie mazungumzo na Korea Kaskazini
Jan 17, 2018 08:11Waziri wa Mambo ya Nje wa Korea Kusini ameitaka Marekani kutochafua nga ya mazungumzo yake na Korea Kaskazini na hivyo kuzuia kufanyika kwa namna bora michuano ya Olimpiki ya msimu wa baridi nchini humo.
-
Jumatano tarehe 27 Disemba, 2017
Dec 27, 2017 02:40Leo ni Jumatano tarehe 8 Rabiuthani, 1439 Hijria sawa na 27 Disemba, 2017
-
Jumamosi, Disemba 2, 2017
Dec 02, 2017 04:11Leo ni Jumamosi tarehe 13 Mfunguo Sita Rabiul Awwal 1439 Hijria mwafaka na tarehe Pili Disemba 2017 Miladia.
-
Baraza la Senate la Marekani laweka vikwazo vikali vya benki dhidi ya Korea Kaskazini
Nov 08, 2017 07:50Kamati ya masuala ya benki ya baraza la Senate la Marekani, usiku wa kuamkia leo Jumatano imepasisha muswada wa kuiwekea Korea Kaskazini vikwazo vikali zaidi vya benki.