Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

kundi la kigaidi

  • Magaidi wa Al Shabab wateka mji wa Garad, Somalia

    Magaidi wa Al Shabab wateka mji wa Garad, Somalia

    Mar 15, 2016 11:24

    Magaidi wa Al Shabab wameuteka mji wa bandarini wa Garad katika eneo la Puntland lenye mamlaka ya ndani Somalia.

  • Mwangwi wa ushindi wa jeshi la Syria dhidi ya makundi ya kigaidi

    Mwangwi wa ushindi wa jeshi la Syria dhidi ya makundi ya kigaidi

    Mar 09, 2016 13:10

    Waziri wa Habari wa Syria amesema kuwa njama za baadhi ya nchi za Magharibi na za Kiarabu za kuigawa Syria zimegonga mwamba.

  • Lavrov aitaka Uturuki kukoma kutuma silaha kwa makundi ya kigaidi Syria

    Lavrov aitaka Uturuki kukoma kutuma silaha kwa makundi ya kigaidi Syria

    Mar 02, 2016 03:21

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Russia ametaka kuchukuliwe hatua za kuzuia magendo ya silaha kutoka Uturuki kwenda Syria ambako zinatumiwa na makundi ya kigaidi.

  • Magaidi 450 wa Daesh waangamizwa Aleppo, Syria

    Magaidi 450 wa Daesh waangamizwa Aleppo, Syria

    Mar 01, 2016 23:19

    Mamia kadhaa ya magaidi wa kundi la kigaidi na kitakfiri la Daesh wameangamizwa katika operesheni ya mashambulio iliyofanywa na jeshi la Syria katika kiunga cha mji wa Aleppo.

  • 20 wameuawa katika hujuma ya kigaidi Al Shabab Mogadishi

    20 wameuawa katika hujuma ya kigaidi Al Shabab Mogadishi

    Feb 27, 2016 13:19

    Watu 20 wamebainika kuuawa katika hujuma ya kundi la kigaidi la Al Shabab mjini Mogadishi.

  • Daesh yaendeleza jinai zake, yachinja mabarobaro 17 Iraq

    Daesh yaendeleza jinai zake, yachinja mabarobaro 17 Iraq

    Feb 19, 2016 23:37

    Kundi la kigaidi na kitakfiri la Daesh limeua vijana 17 kwa kuwakata vichwa katika mkoa wa Kirkuk, kaskazini mwa Iraq.

  • Makumi wauawa Nigeria katika mashambulio ya Boko Haram

    Makumi wauawa Nigeria katika mashambulio ya Boko Haram

    Feb 14, 2016 03:38

    Watu 30 wameuawa katika mashambulio mapya yaliyofanywa na kundi la kigaidi na kitakfiri la Boko Haram katika vijiji viwili vya kaskazini mwa Nigeria.

  • Tahadhari ya Umoja wa Afrika kwa wanamgambo wa al-Shabab

    Tahadhari ya Umoja wa Afrika kwa wanamgambo wa al-Shabab

    Feb 12, 2016 04:36

    Mjumbe maalumu wa Umoja wa Afrika nchini Somalia ametahadharisha kuhusiana na harakati za kundi la kigaidi la al-Shabab.

Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS