-
Saudi Arabia na usitishaji vita nchini Yemen
Apr 10, 2020 10:40Saudi Arabia imetangaza kuanza usitishaji vita wa wiki mbili huko Yemen hata hivyo nchi hiyo ilikiuka usitishaji vita huo katika masaa ya awali tu ya kuanza kutekelezwa.
-
UN yapongeza usitishaji vita Yemen, yataka uheshimiwe
Apr 10, 2020 02:30Mwakilishi maalumu wa Umoja wa Mataifa katika masuala ya Yemen pamoja na Katibu Mkuu wa Baraza la Ushirikiano la Ghuba ya Uajemi wamepongeza uamuzi wa kusitisha vita na mapigano nchini Yemen.
-
Kuanza operesheni ya "Dhoruba ya Amani" ya vikosi vya Serikali ya Maafikiano ya Kitaifa ya Libya dhidi ya wapiganaji wa Haftar
Mar 27, 2020 02:34Licha ya mgogoro wa virusi vya Corona na takwa la jamii ya kimataifa la kusimamishwa vita katika mataifa yenye mapigano na machafuko, lakini vikosi vya Serikali ya Maafikiano ya Kitaifa ya Libya vimeanzisha operesheni mpya iliyopewa jina la "Dhoruba ya Amani" dhidi ya wapiganaji wa kundi linalojiita Jeshi la Taifa la Libya (LNA) linaloongozwa na jenerali muasi Khalifa Haftar.
-
Yemen yakaribisha uamuzi wa muungano wa kijeshi wa Saudia wa kuafiki kusitisha mapigano
Mar 26, 2020 07:59Mkuu wa Kamati Kuu ya Mapinduzi ya Yemen amekaribisha uamuzi uliotangazwa na muungano vamizi wa kijeshi unaoongozwa na Saudi Arabia wa kuafiki pendekezo la Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa la kusitisha vita na kupunguza mivutano nchini Yemen ili kusaidia mapambano dhidi ya maambukizi ya kirusi cha corona.
-
Kukaribisha Umoja wa Mataifa makubaliano ya usitishaji vita katika vita vya ndani nchini Libya
Mar 24, 2020 13:30Vita vya ndani nchini Livya viliibua wasiwasi mkubwa kufuatia mashambulio ya mara kwa mara ya Jeshi la Taifa la Libya linaloongozwa na jenerali Khalifa Haftar yaliyoanza Aprili mwaka jana kwa shabaha ya kuiangusha Serikali ya Mwafaka wa Kitaifa.
-
Saudia yaendelea kukiuka makubaliano ya Stockholm, UN yashikwa na kigugumizi
Mar 10, 2020 06:39Saudi Arabia inaendelea kukiuka makubaliano ya kusitisha vita katika eneo la al Hudaydah nchini Yemen huku Umoja wa Mataiifa, badala ya kulaani kitendo hicho, umelitaka jeshi na Yemen na wapiganaji wa harakati ya Ansarullah waache kusonga mbele katika mikoa ya al Jawf na Ma'rib.
-
Ijumaa tarehe 28 Februari 2020
Feb 28, 2020 01:18Leo ni Ijumaa tarehe 4 Rajab 1441 Hijria sawa na Februari 28 mwaka 2020.
-
Kutangaza utayari Khalifa Haftar wa kukubali usitishaji vita kwa masharti nchini Libya
Feb 23, 2020 07:03Katika hali ambayo, vita nchini Libya vinaendelea na Waziri Mkuu wa Serikali ya Mwafaka wa Kitaifa Fayez al-Sarraj amesitisha ushiriki wake katika mazungumzo ya Geneva akilalamikia kuendelea mashambulio ya vikosi vya Khalifa Haftar, jenerali huyo muasi ametangaza utayari wake wa kuheshimu usitishaji vita lakini kwa masharti.
-
Jumatatu, tarehe 27 Januari, 2020
Jan 27, 2020 04:19Leo ni Jumatatu tarehe Mosi Jamadithani 1441 Hijria sawa na 27 Janiari 2020.
-
Mgogoro wa Libya na jitihada za kuutafutia ufumbuzi
Jan 23, 2020 02:26Nchi ya Libya imo katika siku ngumu na mgogoro mkubwa, na vita na mapigano makali yameendelea kushuhudiwa nchini humo licha juhudi kubwa za kimataifa zinazofanyika kwa ajili ya kupata ufumbuzi wa mgogoro huo.