Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Lebanon

  • Iran yakaribisha mkutano wa makundi ya Wapalestina huko Beirut

    Iran yakaribisha mkutano wa makundi ya Wapalestina huko Beirut

    Sep 05, 2020 06:45

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amesema kikao cha pamoja cha makundi ya Wapalestina kilichofanyika katika mji mkuu wa Lebanon, Beirut ni ishara kwamba viongozi wa Palestina wapo macho na wamesimama kidete mkabala wa utawala wa Kizayuni wa Israel pamoja na washirika wake.

  • Kikao cha kiistratijia cha Beirut, sauti moja ya Wapalestina

    Kikao cha kiistratijia cha Beirut, sauti moja ya Wapalestina

    Sep 05, 2020 01:53

    Makundi ya Palestina yameitisha kikao cha pamoja mjini Beirut, Lebanon na kulaani njama mbalimbali zinazofanywa dhidi ya Palestina na wamesisitiza kuwa kitu kimoja na kuendelea na muqawama katika kukabiliana na njama za Kiarabu/Kimagharibi na Kizayuni.

  • Malengo ya safari ya Ismail Haniya nchini Lebanon baada ya kupita miaka 27

    Malengo ya safari ya Ismail Haniya nchini Lebanon baada ya kupita miaka 27

    Sep 03, 2020 02:14

    Ismail Haniya, Mkuu wa Ofisi ya Kisiasa ya Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina HAMAS, baada ya miaka 27 juzi Septemba Mosi aliwasili Beirut mji mkuu wa Lebanon.

  • UN yatahadharisha kuhusu athari za uharibifu wa mazingira za mlipuko wa Beirut

    UN yatahadharisha kuhusu athari za uharibifu wa mazingira za mlipuko wa Beirut

    Sep 02, 2020 23:39

    Umoja wa Mataifa umetahadharisha kuhusu athari mbaya za uhabiribifu wa mazingira za mlipuko uliotoke mwezi uliopita kwenye bandari ya Beirut nchini Lebanon.

  • Kufanya safari tena Rais wa Ufaransa nchini Lebanon

    Kufanya safari tena Rais wa Ufaransa nchini Lebanon

    Sep 01, 2020 06:10

    Baada ya kupita takriban mwezi mmoja tangu kutokea mlipuko mkubwa katika bandari ya Beirut, Rais Emmanuel Macron wa Ufaransa kwa mara ya pili ameelekea nchini Lebanon.

  • Sababu za kuchelewa kutangazwa Waziri Mkuu mpya wa Lebanon na changamoto zake

    Sababu za kuchelewa kutangazwa Waziri Mkuu mpya wa Lebanon na changamoto zake

    Aug 28, 2020 22:05

    Licha ya kupita siku 19 tangu kujiuzulu Waziri Mkuu wa Lebanon, Hassan Diab, bado hadi hivi sasa hakuna mtu mwingine yeyote aliyechaguliwa kushika nafasi hiyo nchini humo.

  • Nasrullah: Mapambano ya Hizbullah hayaishii ndani ya mipaka ya Lebanon

    Nasrullah: Mapambano ya Hizbullah hayaishii ndani ya mipaka ya Lebanon

    Aug 23, 2020 03:20

    Katibu Mkuu wa Harakati ya Hizbullah ya Lebanon amesema kutekeleza majukumu kwa ajili ya kuisaidia jamii yote ya wanadamu ni jambo la wajibu kwa mujibu wa thamani za Uislamu, na kwamba mipaka ya kijografia na kisiasa haipaswi kuwa kizingiti cha kutekeleza wajibu huo.

  • Uamuzi wa Mahakama ya Mauaji ya Hariri; kushindwa kukubwa kwa wapinzani wa Hizbullah

    Uamuzi wa Mahakama ya Mauaji ya Hariri; kushindwa kukubwa kwa wapinzani wa Hizbullah

    Aug 19, 2020 02:14

    Mahakama maalumu ya kimataifa iliyobuniwa kwa ajili ya kuchunguza na kutoa uamuzi kuhusu mauaji ya Rafik Hariri, Waziri Mkuu wa zamani wa Lebanon imetoa hukumu yake kuhusiana na suala hilo baada ya kupita miaka 11 ambapo imeziondolea lawama Syria na Hizbullah ya Lebanon kuhusu mauaji hayo.

  • Mahakama ya Kimataifa ya Hague: Hizbullah haikuhusika katika mauaji ya Hariri

    Mahakama ya Kimataifa ya Hague: Hizbullah haikuhusika katika mauaji ya Hariri

    Aug 18, 2020 21:56

    Mahakama ya Kimataifa ya Uhalifu (ICC) huko ya The Hague nchini Uholanzi imetoa hukumu ikisema kuwa harakati ya Hizbullah ya Lebanon haikuhusika katika mauaji ya waziri mkuu wa zamani wa Lebanon, Rafiq al Hariri.

  • Zarif: Wanaotumia vibaya mlipuko wa Beirut wanataka kuteteresha amani ya Lebanon

    Zarif: Wanaotumia vibaya mlipuko wa Beirut wanataka kuteteresha amani ya Lebanon

    Aug 14, 2020 09:12

    Waziri wa Mambo ya Nchi za Nje wa Iran leo amekutana na kufanya mazungumzo na Kaimu Waziri Mkuu wa Lebanon mjini Beirut na kusema kuwa, wanaotumia vibaya mlipuko mkubwa uliotokea katika bandari ya Beirut wana nia ya kuyumbisha amani ya Lebanon.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS