-
Maandamano ya watu wa Lebanon, makataa ya Hariri na ahadi za Jenerali Aoun
Oct 19, 2019 23:03Miji mbali mbali ya Lebanon, ukiwemo mji mkuu wa nchi hiyo, Beirut, kwa siku kadhaa sasa imeshuhudia maandamano ya wananchi wanaolalamikia sera za kiuchumi za serikali ya Waziri Mkuu Saad Hariri.
-
Rais wa Lebanon: Nitajitahidi kufanya kila niwezalo kupunguza maumivu ya wananchi
Oct 19, 2019 04:13Rais Michel Aoun wa Lebanon amesema, atajitahidi kufanya kila lililo kwenye uwezo wake ili kupunguza maumivu waliyonayo wananchi.
-
Maandamano ya kupinga serikali yaendelea nchini Lebanon
Oct 18, 2019 11:49Maandamano ya kupinga serikali ya wananchi wa Lebanon yameendelea leo kwa waandamanaji kukusanyika karibu na ofisi ya Waziri Mkuu na Bunge la nchi hiyo katika mji mkuu Beirut.
-
Waziri wa Mambo ya Nje wa Lebanon: Hizbullah si kundi la kigaidi
Sep 25, 2019 01:10Waziri wa Mambo ya Nje wa Lebanon amesema: Harakati ya Hizbulllah ya Lebanon si kundi la kigaidi.
-
Hizbullah yaitungua na kuiteketeza ndege nyingine isiyo na rubani ya Israel katika anga ya Lebanon
Sep 12, 2019 23:11Makombora ya ulinzi wa anga ya harakati ya muqawama wa Kiislamu ya Lebanon, Hizbullah yameitungua na kuiteketeza ndege isiyo na rubani ya ujasusi ya utawala wa Kizayuni wa Israel.
-
Nasrallah: Hizbullah itajibu vikali uchokozi wowote wa utawala wa Israel
Sep 03, 2019 00:05Katibu Mkuu wa Harakati ya Hizbullah ya Lebanon ameuonya utawala wa Kizayuni wa Israel kutokana na chokochoko zake dhidi ya Lebanon, na kusema: "Uchokozi wa Israel utapata jibu kali kutoka kwa harakati ya muqawama (Hizbullah)."
-
Waziri wa Ulinzi wa Lebanon: Tutajibu shambulizi lolote litakalofanywa na Israel
Sep 02, 2019 22:37Waziri wa Ulinzi wa Lebanon amesema kuwa, nchi hiyo itajibu shambulizi lolote litakalofanywa na utawala wa Kizayuni wa Israel dhidi ya ardhi ya Lebanon na kwamba nchi hiyo hii leo ni imara zaidi kuliko ilivyokuwa miaka ya nyuma.
-
Onyo kali la Sayyid Hassan Nasrallah kwa uvamizi wa hivi karibuni wa Israel dhidi ya mhimili wa muqawama
Aug 26, 2019 22:10Sayyid Hassan Nasrallah, Katibu Mkuu wa Harakati ya Hizbullah ya Lebanon amehutubu Jumapili usiku mjini Beirut kwa munasaba wa kukombolewa eneo la Juroud Arsal kutoka mikononi mwa magaidi, na katika hotuba yake ametoa radiamali kali kuhusu mashambulizi ya hivi karibuni dhidi ya mhimili wa muqawama na kusema jeshi la Israel lisubiri jibu wakati wowote ule kuanzia Jumatatu usiku.
-
Msemaji wa serikali ya Iran: Utawala wa Kizayuni wa Israel ukubali taathira mbaya za uchokozi wake
Aug 26, 2019 07:31Msemaji wa Serikali ya Iran amelaani mashambulizi yaliyofanywa na utawala wa Kizayuni wa Israel katika nchi za Lebanon, Iraq na Syria na kusema kuwa, utawala huo unapaswa ukubali taathira mbaya za uchokozi huo.
-
Mkuu wa Baraza Kuu la Mashia Lebanon: Israel inachezea moto
Aug 25, 2019 08:01Mkuu wa Baraza Kuu la Mashia nchini Lebanon amesema, kuendeleza utawala wa Kizayuni wa Israel uchokozi dhidi ya Lebanon na Syria ni kuchezea moto, ambao utapelekea kuteketezwa utawala huo.