-
Nasrallah: Wote wanawajibika kukabiliana na mpango wa 'Muamala wa Karne"
May 26, 2019 01:57Katibu Mkuu wa Harakati ya Hizbullah ya Lebanon amesema: "Wote wanawajibika kukabiliana na mpango wa Marekani wa "Muamala wa Karne" ambao lengo lake ni kusambaratisha kadhia ya Palestina.
-
Hizbullah: Israel itaangamia ikithubutu kuishambulia Lebanon
May 03, 2019 03:15Katibu Mkuu wa Harakati ya Muqawama ya Hizbullah ya Lebanon ameutahadharisha utawala wa Tel Aviv dhidi ya kuanzisha vita vipya dhidi ya Lebanon na kusisitiza kuwa, wanajeshi wa utawala haramu wa Israel watasambaratishwa na kuangamizwa iwapo vita hivyo vitaibuka.
-
Hizbullah: Lengo letu ni kuuangamiza utawala wa kizayuni wa Israel
Apr 20, 2019 03:37Naibu Katibu Mkuu wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Hizbullah ya Lebanon amesisitiza kuwa, njia ya harakati hiyo ni kufuata maktaba ya Uislamu na kuuangamiza utawala ghasibu wa Israel unaoikalia kwa mabavu Beituul-Muqaddas.
-
Hizbullah: Utawala haramu wa Israel ndio chimbuko kuu la ugaidi duniani
Apr 19, 2019 23:54Naibu Katibu Mkuu wa Harakati ya Kiislamu ya Hizbullah nchini lebanon, Sheikh Naim Qassem amesema kuwa, utawala haramu wa Kizayuni wa Israel ndio chanzo kikuu cha ugaidi na uharibifu katika eneo la Asia Magharibi na duniani kwa ujumla.
-
Umoja wa Mataifa: Hali ya kibinadamu nchini Yemen inasikitisha mno
Apr 16, 2019 10:13Umoja wa Mataifa umeelezea wasiwasi mkubwa ulionao kutokana na kutoridhisha kabisa hali ya kibinadamu nchini Yemen
-
Rais wa Lebanon: Tangazo la Trump kuhusu miinuko ya Golan na Quds ni kinyume na maazimo ya kimataifa
Apr 11, 2019 23:55Rais Michel Aoun wa Lebanon kwa mara nyingine tena amesisitiza kuwa, tangazo la Rais Donald Trump wa Marekani kuhusiana na umiliki wa utawala vamizi wa Israel kwa miinuko ya Golan ya Syria linakinzana na maazimio ya kimataifa.
-
Nasrullah: Hatua ya Trump ya kuitambua miinuko ya Golan kuwa mali ya Israel ni kuutusi Ulimwengu wa Kiislamu
Mar 27, 2019 03:36Katibu Mkuu wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Hizbullah ya Lebanon amesema kuwa, hatua ya Rais Donald Trump wa Marekani ya kuitambua rasmi miinuko ya Golan kuwa ni mali na miliki ya utawala haramu wa Israel ni kuzitusi na kuzivunjia heshima nchi za Ulimwengu wa Kiislamu na Kiarabu.
-
Dunia yaendelea kumpinga Trump kuhusu miinuko ya Golan ya Syria
Mar 26, 2019 10:03Viongozi mbalimbali wa dunia wameendelea kutoa radiamali kali ya kupinga tangazo la urasimishaji la Rais Donald Trump wa Marekani kwa miinuko ya Golan ya Syia kwamba ni milki ya utawala haramu wa Kizayuni Israel.
-
Hizbullah: Hatutorudi nyuma katika kuwalinda raia wa Lebanon kutokana na hujuma za Israel
Mar 25, 2019 03:29Naibu Mkuu wa Baraza la Utendaji la Harakati ya Kiislamu ya Hizbullah nchini Lebanon amesisitiza kwamba muqawama huo hautoachana na majukumu ya kuwalinda raia wa Lebanon kutokana na hujuma za utawala katili wa Israel.
-
Spika wa Bunge la Lebanon: Eneo lote la Quds ni mji mkuu wa Palestina
Mar 11, 2019 23:24Spika wa Bunge la Lebanon kwa mara nyingine tena amesisitiza msimamo wa nchi yake kuhusiana na kuiunga mkono Baytul -Muqaddas na Palestina na kusema kuwa, eneo lote la Quds Tukufu ni mji mkuu wa nchi ya Palestina.