Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Libya

  • Libya yapinga kusimamishwa kazi Waziri wa Mambo ya Nje kabla ya uchaguzi

    Libya yapinga kusimamishwa kazi Waziri wa Mambo ya Nje kabla ya uchaguzi

    Nov 08, 2021 02:44

    Serikali ya Libya imepinga uamuzi wa Baraza la Rais la nchi hiyo wa kumsimamisha kazi Waziri wa Mambo ya Nje wa nchi hiyo ya kaskazini mwa Afrika, wiki chache kabla ya kufanyika uchaguzi mkuu.

  • UN: Watoto, wanawake 1,000 wanaozuiliwa Libya wapo hatarini

    UN: Watoto, wanawake 1,000 wanaozuiliwa Libya wapo hatarini

    Oct 13, 2021 12:58

    Mfuko wa Watoto wa Umoja wa Mataifa (Unicef) umetadharisha kuhusu hali mbaya inayowakabili watoto wadogo na wanawake wapatao elfu moja ambao ni miongoni mwa maelfu ya wahajiri wanaozuiliwa katika kambi za wakimbizi za kuogofya huko Tripoli, mji mkuu wa Libya.

  • Ufaransa yakiri makosa yake ya kushiriki katika mashambulio ya Libya

    Ufaransa yakiri makosa yake ya kushiriki katika mashambulio ya Libya

    Oct 11, 2021 02:28

    Akizungumza karibuni katika mji wa Montpellier na viongozi wa nchi za Kiafrika za eneo la Sahel, Rais Emmanuel Macron wa Ufaransa amekiri kwamba nchi yake ilifanya makosa kwa kushiriki katika mashambulio ya kijeshi yaliyofanyika dhidi ya Libya nwaka 2011.

  • Maiti 17 za wahajiri zapatikana ufukweni magharibi mwa Libya

    Maiti 17 za wahajiri zapatikana ufukweni magharibi mwa Libya

    Oct 06, 2021 13:01

    Shirika la Hilali Nyekundu la Libya limesema maiti 17 za wahajiri wanaoaminika kufa maji baada ya boti waliokuwa wakisafiria kuzama zimepatikana katika pwani ya magharibi ya nchi hiyo.

  • Bunge la Libya lapiga kura ya kutokuwa na imani na Baraza Kuu la Serikali ya nchi hiyo

    Bunge la Libya lapiga kura ya kutokuwa na imani na Baraza Kuu la Serikali ya nchi hiyo

    Sep 23, 2021 04:13

    Bunge la Libya limepiga kura ya kutokuwa na imani na Baraza Kuu la Serikali ya nchi hiyo. Hatua hiyo imecukuliwa huku pande zote zinazozozana nchini Libya zikiwa mbioni kutayarisha mazingira mwafaka ya kuitisha uchaguzi huru na wa haki nchini humo na kukomesha mgogoro unaoendelea kwa zaidi ya miaka 10 sasa katika nchi hiyo ya Kaskazini mwa Afrika.

  • Bunge la Libya limepiga kura ya kutokuwa na imani na serikali ya mpito ya nchi hiyo

    Bunge la Libya limepiga kura ya kutokuwa na imani na serikali ya mpito ya nchi hiyo

    Sep 22, 2021 03:22

    Abdallah Bilhaq Msemaji wa bunge la Libya lenya makao yake katika mji wa Tobruk mashariki mwa nchi hiyo jana adhuhuri alitangaza kuwa bunge hilo limepiga kura ya kutokuwa na imani na serikali ya mpito ya hiyo.

  • Wasiwasi wa Umoja wa Mataifa kuhusu kupotea maelfu ya wahajiri waliorejeshwa Libya

    Wasiwasi wa Umoja wa Mataifa kuhusu kupotea maelfu ya wahajiri waliorejeshwa Libya

    Sep 19, 2021 06:39

    Afisa mmoja wa Shirika la Wakimbizi la Umoja wa Mataifa amebainisha kutiwa wasiwasi na kupotea maelfu ya wahajiri ambao walikatizwa safari yao kuelekea Ulaya na kisha kurejeshwa Libya.

  • Algeria na Libya zakubaliana kufunguliwa tena ubalozi wa Algeria huko Tripoli

    Algeria na Libya zakubaliana kufunguliwa tena ubalozi wa Algeria huko Tripoli

    Sep 18, 2021 02:31

    Rais wa Algeria na Naibu Mkuu wa Baraza la Uongozi la Libya wamekubaliana kufungua tena ubalozi wa Algeria huko Tripoli mji mkuu wa Libya.

  • Shakhsiya watiifu kwa utawala wa Gaddafi kuwa na nafasi muhimu katika uchaguzi ujao Libya

    Shakhsiya watiifu kwa utawala wa Gaddafi kuwa na nafasi muhimu katika uchaguzi ujao Libya

    Sep 12, 2021 11:07

    Hatua ya kuachiwa huru wiki hii mwana wa kiume wa kiongozi wa zamani wa Libya, Kanali Muammar Gaddafi, ni ishara kwamba Libya inaelekea katika mageuzi makubwa.

  • Bunge la Libya lapitisha sheria ya uchaguzi wa rais uliopangwa kufanyika Desemba

    Bunge la Libya lapitisha sheria ya uchaguzi wa rais uliopangwa kufanyika Desemba

    Sep 10, 2021 12:33

    Duru za habari zimetangza kuwa bunge la Libya limepitisha sheria ya uchaguzi wa rais uliopangwa kufanyika mwezi Desemba mwaka huu.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS