-
Ujerumani yafungua tena ubalozi wake huko Tripoli, Libya
Sep 10, 2021 02:46Ujerumani imefungua tena ubalozi wake huko Libya baada ya kufungwa kwa miaka minane.
-
Mpango wa maridhiano ya kitaifa nchini Libya
Sep 08, 2021 02:40Mkuu wa Baraza la Uongozi nchini Libya Mohamed al-Menfi ametangaza kwamba mpango wa maridhiano ya kitaifa umeanza rasmi nchini humo na kwamba utekelezaji wa mpango huo ni hatua muhimu katika njia ya kukomesha machafuko katika nchi hiyo ya kaskazini mwa Afrika.
-
Majirani wa Libya wamaliza mkutano wao; wasisitiza kutopatiwa silaha mamluki
Sep 01, 2021 11:16Kikao cha mataifa jirani na Libya kilichokuwa kikifanyika nchini Algeria kimemalizika huku washiriki wa mkutano huo wakisisitizia ulazima wa kuzuia kupatiwa silaha mamluki na wakati huo huo kukabiliana na hatua za kuzusha mifarakano miongoni mwa Walibya.
-
Uwepo wa makundi ya kigaidi amilifu nchini Libya; tatizo kubwa na la kimsingi
Aug 31, 2021 08:18Uwepo wa makundi ya kigaidi amilifu nchini Libya bado lingali ni tatizo kuu na la kimsingi kwa nchi hiyo katika njia ya kurejesha amani na uthabiti.
-
Wahajiri 17 wafariki dunia katika ajali ya boti pwani ya Libya
Aug 24, 2021 07:47Shirika la Wahamiaji Duniani (IOM) limesema wahajiri 17 wamekufa maji baada ya boti waliokuwa wakisafiria kuzama katika pwani ya Libya.
-
Waziri Mkuu wa Libya amweleza Jenerali Haftar: Jeshi si milki ya mtu yeyote
Aug 11, 2021 12:11Waziri Mkuu wa serikali ya umoja wa kitaifa ya Libya amemweleza kamanda wa kundi linalojiita Jeshi la Taifa la Libya (LNA) kwamba, jeshi la nchi hiyo haliwezi kuwa milki ya mtu yeyote yule.
-
Libya na zuio kali la siku tatu la kutoka nje ili kupambana na maambukizi ya corona
Aug 09, 2021 02:22Libya imeanza kutekeleza zuio kali la watu kutoka nje kwa siku tatu ili kupambana na maambukizi ya virusi vya corona nchini humo.
-
Russia yaitaka Marekani iwaondoe wanajeshi wake Iraq, Libya, Syria na Afghanistan
Jul 28, 2021 07:47Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Russia ameitaka Marekani iwaondoe wanajeshi wake huko Iraq, Libya, Afghanistan na Syria.
-
Wahajiri 57 waaga dunia katika pwani ya Libya
Jul 27, 2021 07:34Shirika la Kimataifa la Uhamiaji limetangaza kuaga dunia wahajiri 57 katika pwani ya Libya baada ya kupinduka na kuzama boti waliyokuwa wakisafiria.
-
Wanaharakati wa nchi 5 za kaskazini mwa Afrika: Kuna udharura wa kukabiliana na mwenendo wa kuanzisha uhusiano na Israel
Jul 26, 2021 02:39Wanaharakati kutoka nchi tano za kaskazini mwa Afrika ambazo ni Algeria, Tunisia, Morocco, Libya na Mauritania wamesisitiza udharura wa kukabiliana na hatua ya baadhi ya nchi ya kuanzisha uhusiano rasmi wa na utawala ghasibu wa Israel.