-
Hali mbaya ya wakimbizi wa Libya; kushindwa asasi za ndani na za kimataifa
Mar 05, 2018 12:49Umoja wa Mataifa umetahadharisha kuhusiana na hali mbaya ya kibinadamu inayowakabili wakimbizi wa Libya katika nchi hiyo ya kaskazini mwa Afrika.
-
Mazungumzo ya mjumbe wa Umoja wa Mataifa na Khalifa Haftar nchini Libya
Mar 04, 2018 11:40Mjumbe Maalumu wa Umoja wa Mataifa nchini Libya, Ghassan Salamé amekutana na kufanya mazungumzo na Jenerali Khalifa Haftar kuhusiana na masuala ya kijeshi na kisiasa ndani ya taifa hilo la kaskazini mwa Afrika.
-
Maelfu ya wahajiri walioko Libya kurejea kwao Gambia
Mar 01, 2018 15:31Shirika la Kimataifa la Uhamiaji limetangaza kuwa shirika hilo lina mpango wa kuwarejesha kwao Gambia maelfu ya wahajiri waliokwama nchini Libya.
-
UN yatahadharisha kuhusu hali ya wakimbizi Libya
Feb 28, 2018 16:26Mratibu wa Masuala ya Kibinadamu wa Umoja wa Mataifa ametahadharisha kuhusu hali ya kusikitisha ya wakimbizi walioko Libya.
-
Kuna zaidi ya wahamiaji laki saba haramu huko Libya
Feb 26, 2018 02:44Shirika la Kimataifa ya Wahajiri limesema kuwa, hivi sasa kuna zaidi ya wahamiaji haramu laki saba kutoka nchi 40 tofauti nchini Libya.
-
Sisitizo la Fayez al-Sarraj kuhusu nafasi ya kura ya maoni katika kuhitimisha mgogoro wa kisiasa nchini Libya
Feb 19, 2018 07:10Waziri Mkuu wa serikali ya maridhiano ya kitaifa ya Libya amesisitiza kuwa: kufanyika kura ya maoni ya rasimu ya katiba kutakuwa na taathira kubwa katika kuhitimisha mkwamo wa kisiasa ulioitanza nchi hiyo.
-
Wakimbizi 33 wengine wapoteza maisha nchini Libya
Feb 14, 2018 16:50Duru za kuaminika nchini Libya zimetangaza habari ya kuuawa wakimbizi zaidi ya 30 katika ajali ya barabarani nchini humo.
-
Hujuma ya kigaidi msikitini Benghazi, Libya, watu kadhaa wauawa au kujeruhiwa
Feb 09, 2018 15:18Watu kadhaa wanaripotiwa kupoteza maisha au kujeruhiwa katika mji wa Benghazi nchini Libya kufuatia hujuma ya kigadi wakati wa Sala ya Ijumaa hii leo.
-
UN: Wafanya magendo ya binadamu Libya wanashirikiana na maafisa usalama
Feb 08, 2018 13:50Ripoti ya siri ya Umoja wa Mataifa iliyokabidhiwa Baraza la Usalama la umoja huo imefichua kuwa, wanaofanya magendo ya binadamu nchini Libya wana mafungamano na taasisi rasmi za usalama za nchi hiyo ya kaskazini mwa Afrika.
-
Kamanda wa Libya anayesakwa na ICC ajisalimisha
Feb 07, 2018 14:53Mahmoud Mustafa Busayf Al-Werfalli, kamanda wa ngazi ya juu huko Libya anayesakwa na Mahakama ya Kimataifa ya Jinai ICC kwa tuhuma za kuhusika na jinai za kivita amejisalimisha kwa wapiganaji watiifu kwa Jenerali Khalifa Haftar mjini Benghazi.