Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Libya

  • Hali mbaya ya wakimbizi wa Libya; kushindwa asasi za ndani na za kimataifa

    Hali mbaya ya wakimbizi wa Libya; kushindwa asasi za ndani na za kimataifa

    Mar 05, 2018 12:49

    Umoja wa Mataifa umetahadharisha kuhusiana na hali mbaya ya kibinadamu inayowakabili wakimbizi wa Libya katika nchi hiyo ya kaskazini mwa Afrika.

  • Mazungumzo ya mjumbe wa Umoja wa Mataifa na Khalifa Haftar nchini Libya

    Mazungumzo ya mjumbe wa Umoja wa Mataifa na Khalifa Haftar nchini Libya

    Mar 04, 2018 11:40

    Mjumbe Maalumu wa Umoja wa Mataifa nchini Libya, Ghassan Salamé amekutana na kufanya mazungumzo na Jenerali Khalifa Haftar kuhusiana na masuala ya kijeshi na kisiasa ndani ya taifa hilo la kaskazini mwa Afrika.

  • Maelfu ya wahajiri walioko Libya kurejea kwao Gambia

    Maelfu ya wahajiri walioko Libya kurejea kwao Gambia

    Mar 01, 2018 15:31

    Shirika la Kimataifa la Uhamiaji limetangaza kuwa shirika hilo lina mpango wa kuwarejesha kwao Gambia maelfu ya wahajiri waliokwama nchini Libya.

  • UN yatahadharisha kuhusu hali ya wakimbizi Libya

    UN yatahadharisha kuhusu hali ya wakimbizi Libya

    Feb 28, 2018 16:26

    Mratibu wa Masuala ya Kibinadamu wa Umoja wa Mataifa ametahadharisha kuhusu hali ya kusikitisha ya wakimbizi walioko Libya.

  • Kuna zaidi ya wahamiaji laki saba haramu huko Libya

    Kuna zaidi ya wahamiaji laki saba haramu huko Libya

    Feb 26, 2018 02:44

    Shirika la Kimataifa ya Wahajiri limesema kuwa, hivi sasa kuna zaidi ya wahamiaji haramu laki saba kutoka nchi 40 tofauti nchini Libya.

  • Sisitizo la Fayez al-Sarraj kuhusu nafasi ya kura ya maoni katika kuhitimisha mgogoro wa kisiasa nchini Libya

    Sisitizo la Fayez al-Sarraj kuhusu nafasi ya kura ya maoni katika kuhitimisha mgogoro wa kisiasa nchini Libya

    Feb 19, 2018 07:10

    Waziri Mkuu wa serikali ya maridhiano ya kitaifa ya Libya amesisitiza kuwa: kufanyika kura ya maoni ya rasimu ya katiba kutakuwa na taathira kubwa katika kuhitimisha mkwamo wa kisiasa ulioitanza nchi hiyo.

  • Wakimbizi 33 wengine wapoteza maisha nchini Libya

    Wakimbizi 33 wengine wapoteza maisha nchini Libya

    Feb 14, 2018 16:50

    Duru za kuaminika nchini Libya zimetangaza habari ya kuuawa wakimbizi zaidi ya 30 katika ajali ya barabarani nchini humo.

  • Hujuma ya kigaidi msikitini Benghazi, Libya, watu kadhaa wauawa au kujeruhiwa

    Hujuma ya kigaidi msikitini Benghazi, Libya, watu kadhaa wauawa au kujeruhiwa

    Feb 09, 2018 15:18

    Watu kadhaa wanaripotiwa kupoteza maisha au kujeruhiwa katika mji wa Benghazi nchini Libya kufuatia hujuma ya kigadi wakati wa Sala ya Ijumaa hii leo.

  • UN: Wafanya magendo ya binadamu Libya wanashirikiana na maafisa usalama

    UN: Wafanya magendo ya binadamu Libya wanashirikiana na maafisa usalama

    Feb 08, 2018 13:50

    Ripoti ya siri ya Umoja wa Mataifa iliyokabidhiwa Baraza la Usalama la umoja huo imefichua kuwa, wanaofanya magendo ya binadamu nchini Libya wana mafungamano na taasisi rasmi za usalama za nchi hiyo ya kaskazini mwa Afrika.

  • Kamanda wa Libya anayesakwa na ICC ajisalimisha

    Kamanda wa Libya anayesakwa na ICC ajisalimisha

    Feb 07, 2018 14:53

    Mahmoud Mustafa Busayf Al-Werfalli, kamanda wa ngazi ya juu huko Libya anayesakwa na Mahakama ya Kimataifa ya Jinai ICC kwa tuhuma za kuhusika na jinai za kivita amejisalimisha kwa wapiganaji watiifu kwa Jenerali Khalifa Haftar mjini Benghazi.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS