-
UN: Magendo ya binadamu inaongezeka Libya
Feb 06, 2018 07:44Wataalamu wa Umoja wa Mataifa wametahadharisha kuhusu ongezeko la magendo ya binadamu nchini Libya.
-
Zaidi ya wahajiri haramu 90 watoweka katika pwani ya Libya wakielekea Ulaya
Feb 02, 2018 14:41Shirika la Kimataifa la Wahajiri (IOM) limetangaza kuwa, makumi ya wahajiri haramu wametoweka katika maji ya pwani ya Libya baada ya boti yao kuzama baharini.
-
Serikali ya umoja wa kitaifa ya Libya yasisitiza kufuatiliwa kisheria wahusika wa mauaji ya hadharani
Jan 28, 2018 15:06Baraza la uongozi la serikali ya umoja wa kitaifa ya Libya imesema kuwa inawajibika kuwafuatilia kisheria wale wote waliohusika na mauaji ya hadharani nchini humo.
-
UN yashtushwa na kutapakaa maiti mashariki mwa Libya
Jan 28, 2018 08:11Umoja wa Mataifa umeeleza wasi wasi wake kutokana na kutapakaa maiti za watu waliouawa katika mazingira ya kutatanisha mashariki mwa Libya.
-
Libya inahitaji msaada wa kibinadamu wa dola milioni 313
Jan 26, 2018 03:41Mratibu wa masuala ya kibinadamu wa Umoja wa Mataifa nchini Libya, amezindua mkakati wa kushughulikia maafa ya kibinadamu mwaka huu wa 2018 nchini Libya.
-
Unicef yakosoa kutoheshimu sheria pande zinazozozana Libya
Jan 25, 2018 14:28Mjumbe Maalumu wa Mfuko wa Kuhudumia Watoto wa Umoja wa Mataifa (Unicef) nchini Libya amezitaka pande zinazozozana nchini humo kuheshimu sheria za kimataifa.
-
Libya yaituhumu Uturuki kuhusika na miripuko ya mabomu iliyotokea Benghazi
Jan 25, 2018 03:49Msemaji wa jeshi la taifa la Libya ameituhumu Uturuki kuwa imehusika na miripuko ya mabomu iliyotokea mjini Benghazi mashariki mwa Libya.
-
Iran: Ushirikiano wa dunia unahitajika kwa ajili ya kukabiliana na ugaidi
Jan 24, 2018 14:35Msemaji wa Wizara ya Mashauri ya Kigeni ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amelaani milipuko ya kigaidi iliyotokea huko Benghazi Libya ambapo mbali na kuwapa mkono wa pole wale waliopoteza ndugu zao katika tukio hilo la kigaidi amesenma kuwa, ili kuukabiliana na ugaidi usio na mipaka kuna haja ya kuweko ushirikiano wa dunia katika hilo.
-
Miripuko ya mabomu yaua watu 33 na kujeruhi 50 mjini Benghazi nchini Libya
Jan 24, 2018 07:56Watu wasiopungua 33 wameuawa na wengine wapatao 50 wamejeruhiwa baada ya magari mawili yaliyotegwa mabomu kuripuka katika mji wa Benghazi ulioko mashariki mwa Libya.
-
AU kuchunguza mateso ya wahajiri wa Kisudan Libya
Jan 23, 2018 15:05Mwenyekiti wa Kamati ya Masuala ya Kijamii ya Umoja wa Afrika amesema kuwa, umoja huo utaanzisha uchunguzi kuhusu mateso waliyofanyiwa wahajiri wa Kisudani nchini Libya.