Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Libya

  • Uchunguzi: Maelfu ya wanawake wanachama wa Daesh wako Libya

    Uchunguzi: Maelfu ya wanawake wanachama wa Daesh wako Libya

    Jan 23, 2018 15:01

    Kituo kimoja cha utafiti cha Marekani kimeripoti kuwa, maelfu ya wanawake wanachama wa kundi la kigaidi la Daesh wako nchini Libya na kwamba 300 kati yao ni raia wa Tunisia.

  • Kuendelea operesheni za kijeshi nchini Libya dhidi ya makundi yenye silaha

    Kuendelea operesheni za kijeshi nchini Libya dhidi ya makundi yenye silaha

    Jan 22, 2018 06:22

    Mashambulizi ya jeshi la Libya dhidi ya makundi yenye silaha katika maeneo ya kusini mwa nchi hiyo yanaendelea kwa nguvu kubwa chini ya mwavuli wa operesheni ya "Ghadhabu ya Jangwani"

  • Uwanja wa ndege Libya wafunguliwa tena baada ya kujiri mapigano

    Uwanja wa ndege Libya wafunguliwa tena baada ya kujiri mapigano

    Jan 21, 2018 03:10

    Uwanja wa ndege pekee uliokuwa ukifanya kazi huko Tripoli mji mkuu wa Libya ulifunguliwa tena jana Jumamosi baada ya kufungwa kwa siku tano kufuatia mapigano makali yaliyosababisha kuharibiwa ndege za abiria.

  • Khaled al-Khuwailidi: NATO imetenda jina za kivita dhidi ya raia nchini Libya

    Khaled al-Khuwailidi: NATO imetenda jina za kivita dhidi ya raia nchini Libya

    Jan 20, 2018 15:50

    Wakili mmoja mashuhuri nchini Libya amefichua kwamba, Muungano wa Kijeshi wa Nchi za Magharibi (NATO) umetenda jinai dhidi ya raia katika nchi hiyo ya kaskazini mwa Afrika.

  • Russia: Habari kwamba tunataka kufungua kambi za kijeshi Libya na Misri ni uongo

    Russia: Habari kwamba tunataka kufungua kambi za kijeshi Libya na Misri ni uongo

    Jan 13, 2018 14:02

    Mkuu wa Kamati ya Ulinzi na Usalama ya Baraza la Shirikisho la Russia amesema kuwa, serikali ya Moscow, haina nia yoyote ya kuanzisha kambi za kijeshi katika nchi za Misri na Libya.

  • Libya yawatia mbaroni wahajiri 81 kutoka Somalia, Ethiopia na Eritrea

    Libya yawatia mbaroni wahajiri 81 kutoka Somalia, Ethiopia na Eritrea

    Jan 12, 2018 13:45

    Vyombo vya usalama mashariki mwa Libya vimewakamata makumi ya wahajiri raia wa Somalia, Eritrea na Ethiopia, ambao walikwepa mtego wa magendo ya binadamu.

  • Umoja wa Mataifa wataka kufanyika uchaguzi Libya mwaka huu

    Umoja wa Mataifa wataka kufanyika uchaguzi Libya mwaka huu

    Jan 11, 2018 03:59

    Umoja wa Mataifa umesema uko tayari kuisaidia Libya katika maandalizi ya uchaguzi mkuu kufikia mwishoni mwa mwaka huu 2018.

  • Wahajiri 100 wahofiwa kufa maji katika Bahari ya Mediterranean

    Wahajiri 100 wahofiwa kufa maji katika Bahari ya Mediterranean

    Jan 10, 2018 15:56

    Jeshi la Majini la Libya limetangaza kuwa yumkini wahajiri 100 waliotoweka katika ajali ya boti katika Bahari ya Mediterranean wakiwa safarini kulekea Ulaya, wamekufa maji.

  • Kwa akali wahajiri 64 wa Kiafrika wafa maji katika pwani ya Libya

    Kwa akali wahajiri 64 wa Kiafrika wafa maji katika pwani ya Libya

    Jan 09, 2018 07:41

    Kwa akali wahajiri 64 wameripotiwa kufariki dunia baada ya kuzama maji katika bahari ya Mediterranean wakati wakielekea nchini Italia.

  • Operesheni ya kijeshi ya jeshi la Libya yamalizika katika mpaka wa Tunisia

    Operesheni ya kijeshi ya jeshi la Libya yamalizika katika mpaka wa Tunisia

    Jan 09, 2018 04:45

    Baraza la uongozi la serikali ya umoja wa kitaifa nchini Libya limetangaza habari ya kumalizika operesheni za kijeshi za nchi hiyo katika eneo la Abu Kammash karibu na kivuko cha Ras Jdir kwenye mpaka wa Libya na Tunisia.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS