-
Operesheni za kijeshi dhidi ya magaidi mjini Benghazi, Libya zafikia tamati
Jan 02, 2018 07:36Jeshi la Libya lililo mashariki mwa Libya limetangaza kwamba limehitimisha operesheni zake dhidi ya makundi ya kigaidi mjini Benghazi.
-
Libya yawarejesha nyumbani wahajiri haramu 142 wa Guinea
Dec 28, 2017 07:53Libya imewarejesha nchini kwao wahajiri haramu wapatao 142 raia wa Guinea, ikiwa ni katika jitihada za kupunguza msongamano wa wahamiaji haramu wanaozuiliwa katika vituo mbali mbali nchini humo.
-
Gadi ya Pwani nchini Italia yaokoa mamia ya wahajiri katika bahari ya Mediterranea
Dec 27, 2017 07:23Askari wa Gadi ya Pwani ya Italia wametangaza habari ya kuwaokoa wahajiri 250 katika bahari ya Mediterranea.
-
UNHCR: Kundi la kwanza la wahajiri waliokuwa Libya wahamishiwa Italia
Dec 23, 2017 07:44Shirika la Kuhudumia Wakimbizi la Umoja wa Mataifa UNHCR limetangaza kuwa, kundi la kwanza la wahajiri waliokuwa katika jela moja nchini Libya wamehamishiwa nchini Italia.
-
Alkhamisi tarehe 21 Disemba, 2017
Dec 21, 2017 02:45Leo ni Alkhamisi tarehe Pili Rabiuthani 1439 Hijria sawa na Disemba 21, 2017
-
Wasiwasi na mashauriano ya majirani wa Libya kuhusiana na kuendelea mgogoro wa nchi hiyo
Dec 20, 2017 02:35Juhudi za kieneo na kimataifa zenye lengo la kuutafutia ufumbuzi mgogoro wa kisiasa wa Libya zinaendelea kushuhudiwa huku hatari ya kuenea ugaidi na ukosefu wa usalama ikizitishia pakubwa nchi za eneo la kaskazini mwa Afrika.
-
Unicef na Shirika la Kimataifa la Wahajiri: Watoto wahajiri elfu 36 wanahitaji msaada huko Libya
Dec 19, 2017 07:49Mfuko wa Kuhudumia Watoto wa Umoja wa Mataifa (Unicef) na Shirika la Kimataifa la Wahajiri (IOM) jana yalieleza kuwa watoto wahajiri karibu elfu 36 wanahitaji msaada huko Libya na kwamba elfu 14 kati yao hawana wazazi.
-
Fayez al Sarraj aitolea wito Algeria kushiriki katika mazungumzo ya kitaifa ya Libya
Dec 18, 2017 14:30Waziri Mkuu wa serikali ya umoja wa kitaifa ya Libya ameitaka Algeria ishiriki pakubwa katika kusogeza mbele mazungumzo ya kusaka amani ya nchi yake.
-
Russia yakadhibisha kumuunga mkono kamanda wa jeshi la Libya
Dec 16, 2017 03:46Balozi wa Russia nchini Libya amekadhibisha madai kwamba nchi yake inamuunga mkono kamanda wa jeshi la taifa la Libya na kuyataja madai hayo kuwa ya uongo.
-
Wahajiri karibu 200 waokolewa katika pwani ya Libya
Dec 15, 2017 16:44Kikosi cha Jeshi la Majini la Libya kimeokoa wahajiri karibu 200 katika pwani ya magharibi mwa nchi hiyo katika Bahari ya Mediterania waliokuwa wakielekea Ulaya.