Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Libya

  • Libya kuwaadhibu wanaohusika na biashara ya utumwa

    Libya kuwaadhibu wanaohusika na biashara ya utumwa

    Dec 15, 2017 07:22

    Serikali ya Libya imesema itawaadhibu wale wote watakaopatikana na hatia ya kuhusika na biashara ya utumwa na udhalilishaji wa wahajiri wa Kiafrika

  • EU: Tumeandaa mpango maalumu wa kuwaondoa wahajiri 15 elfu nchini Libya

    EU: Tumeandaa mpango maalumu wa kuwaondoa wahajiri 15 elfu nchini Libya

    Dec 15, 2017 04:18

    Mkuu wa Siasa za Kigeni za Umoja wa Ulaya amesema kuwa umoja huo umeandaa mpango maalumu wa kuwaondoa wahajiri 15 wa Kiafrika kutoka katika ardhi ya Libya.

  • Ukosoaji wa Amnesty International kwa Umoja wa Ulaya kuhusiana na wahajiri wa Kiafrika

    Ukosoaji wa Amnesty International kwa Umoja wa Ulaya kuhusiana na wahajiri wa Kiafrika

    Dec 13, 2017 04:18

    Shirika la Msamaha Duniani la Amnesty International sambamba na kuyatuhumu madola ya Ulaya kwa kuwaunga mkono viongozi wa Libya wanaoshirikiana na magenge ya magendo ya binadamu limesema kuwa, madola hayo yanashirikiana katika ukiukaji wa haki za wahajiri nchini humo.

  • Amnesty yasema EU inashiriki katika kuteswa wahajiri Libya

    Amnesty yasema EU inashiriki katika kuteswa wahajiri Libya

    Dec 12, 2017 08:15

    Shirika la kutetea haki za binadamu la Amnesty International limezituhumu nchi wanachama wa Umoja wa Ulaya kuwa zinashiriki katika kuteswa, kukandamizwa na kudhalilishwa wahajiri wanaozuiliwa nchini Libya.

  • UN yaeleza wasiwasi kuhusu ukiukwaji wa haki za binadamu Libya

    UN yaeleza wasiwasi kuhusu ukiukwaji wa haki za binadamu Libya

    Dec 11, 2017 13:43

    Mjumbe Maalumu wa Umoja wa Mataifa nchini Libya ameeleza wasiwasi wake kuhusu ukiukwaji mkubwa wa haki za binadamu unaofanyika nchini humo.

  • Libya na Italia zakubaliana kuanzisha oparesheni za kukabiliana na magendo ya wahajiri

    Libya na Italia zakubaliana kuanzisha oparesheni za kukabiliana na magendo ya wahajiri

    Dec 11, 2017 03:29

    Serikali ya umoja wa kitaifa ya Libya inayoungwa mkono na Umoja wa Mataifa imekubaliana na Italia kuanzisha vyumba vya pamoja vya oparesheni ili kukabiliana na magendo ya wahajiri kama sehemu ya juhudi za kukomesha wimbi la wahajiri kuelekea Ulaya.

  • Wahamiaji 190 waokolewa katika fukwe za Libya

    Wahamiaji 190 waokolewa katika fukwe za Libya

    Dec 09, 2017 14:59

    Kikosi cha gadi ya ufukweni cha nchini Libya kimeliokoa kundi la wahamiaji wa Kiafrika ambao walikuwa katika juhudi za kukimbilia barani Ulaya kupitia bahari ya Mediterranean.

  • Umoja wa Afrika kuwarejesha wahajiri 20,000 kutoka Libya

    Umoja wa Afrika kuwarejesha wahajiri 20,000 kutoka Libya

    Dec 07, 2017 15:15

    Umoja wa Afrika umetangaza kuwa, umepanga kuwarejesha makwao wahajiri elfu ishirini kutoka Libya.

  • Rais wa Mauritania asema nchi za Magharibi ndio chanzo cha mgogoro Libya

    Rais wa Mauritania asema nchi za Magharibi ndio chanzo cha mgogoro Libya

    Dec 05, 2017 16:00

    Rais wa Mauritania amesema hujuma ya kijeshi ya nchi za Magharibi dhidi ya Libya ilikuwa ni kosa kubwa na hivyo nchi hizo zinapaswa kubeba dhima ya matatizo yaliyoko hivi sasa nchini humo.

  • AU yafanya kikao cha kuzungumzia hali ya wakimbizi nchini Libya

    AU yafanya kikao cha kuzungumzia hali ya wakimbizi nchini Libya

    Dec 04, 2017 15:10

    Umoja wa Afrika AU umeitisha kikao cha kuchunguza hatua za kivitendo za kuwakomboa wahamiaji wa Kiafrika katika jela za Libya na kuwarejesha katika nchi zao.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS