-
Libya kuwaadhibu wanaohusika na biashara ya utumwa
Dec 15, 2017 07:22Serikali ya Libya imesema itawaadhibu wale wote watakaopatikana na hatia ya kuhusika na biashara ya utumwa na udhalilishaji wa wahajiri wa Kiafrika
-
EU: Tumeandaa mpango maalumu wa kuwaondoa wahajiri 15 elfu nchini Libya
Dec 15, 2017 04:18Mkuu wa Siasa za Kigeni za Umoja wa Ulaya amesema kuwa umoja huo umeandaa mpango maalumu wa kuwaondoa wahajiri 15 wa Kiafrika kutoka katika ardhi ya Libya.
-
Ukosoaji wa Amnesty International kwa Umoja wa Ulaya kuhusiana na wahajiri wa Kiafrika
Dec 13, 2017 04:18Shirika la Msamaha Duniani la Amnesty International sambamba na kuyatuhumu madola ya Ulaya kwa kuwaunga mkono viongozi wa Libya wanaoshirikiana na magenge ya magendo ya binadamu limesema kuwa, madola hayo yanashirikiana katika ukiukaji wa haki za wahajiri nchini humo.
-
Amnesty yasema EU inashiriki katika kuteswa wahajiri Libya
Dec 12, 2017 08:15Shirika la kutetea haki za binadamu la Amnesty International limezituhumu nchi wanachama wa Umoja wa Ulaya kuwa zinashiriki katika kuteswa, kukandamizwa na kudhalilishwa wahajiri wanaozuiliwa nchini Libya.
-
UN yaeleza wasiwasi kuhusu ukiukwaji wa haki za binadamu Libya
Dec 11, 2017 13:43Mjumbe Maalumu wa Umoja wa Mataifa nchini Libya ameeleza wasiwasi wake kuhusu ukiukwaji mkubwa wa haki za binadamu unaofanyika nchini humo.
-
Libya na Italia zakubaliana kuanzisha oparesheni za kukabiliana na magendo ya wahajiri
Dec 11, 2017 03:29Serikali ya umoja wa kitaifa ya Libya inayoungwa mkono na Umoja wa Mataifa imekubaliana na Italia kuanzisha vyumba vya pamoja vya oparesheni ili kukabiliana na magendo ya wahajiri kama sehemu ya juhudi za kukomesha wimbi la wahajiri kuelekea Ulaya.
-
Wahamiaji 190 waokolewa katika fukwe za Libya
Dec 09, 2017 14:59Kikosi cha gadi ya ufukweni cha nchini Libya kimeliokoa kundi la wahamiaji wa Kiafrika ambao walikuwa katika juhudi za kukimbilia barani Ulaya kupitia bahari ya Mediterranean.
-
Umoja wa Afrika kuwarejesha wahajiri 20,000 kutoka Libya
Dec 07, 2017 15:15Umoja wa Afrika umetangaza kuwa, umepanga kuwarejesha makwao wahajiri elfu ishirini kutoka Libya.
-
Rais wa Mauritania asema nchi za Magharibi ndio chanzo cha mgogoro Libya
Dec 05, 2017 16:00Rais wa Mauritania amesema hujuma ya kijeshi ya nchi za Magharibi dhidi ya Libya ilikuwa ni kosa kubwa na hivyo nchi hizo zinapaswa kubeba dhima ya matatizo yaliyoko hivi sasa nchini humo.
-
AU yafanya kikao cha kuzungumzia hali ya wakimbizi nchini Libya
Dec 04, 2017 15:10Umoja wa Afrika AU umeitisha kikao cha kuchunguza hatua za kivitendo za kuwakomboa wahamiaji wa Kiafrika katika jela za Libya na kuwarejesha katika nchi zao.