Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Libya

  • Gadi ya Taifa yaundwa katika mji mkuu wa Libya,Tripoli

    Gadi ya Taifa yaundwa katika mji mkuu wa Libya,Tripoli

    Feb 10, 2017 15:35

    Kikosi cha jeshi kwa jina la "Gadi ya Taifa" chenye mfungamano na Serikali ya Wokovu ya Libya kimeasisiwa katika mji mkuu wa nchi hiyo, Tripoli.

  • Mahakama ya Tunisia yamuhukumu kifungo cha miaka 10 rais wa zamani wa nchi hiyo kwa ufisadi

    Mahakama ya Tunisia yamuhukumu kifungo cha miaka 10 rais wa zamani wa nchi hiyo kwa ufisadi

    Feb 10, 2017 04:30

    Mahakama nchini Tunisia imetoa hukumu ya kifungo cha miaka 10 jela bila kuwepo mahakamani, dhidi ya Zine El Abidine Ben Ali, rais wa zamani wa nchi hiyo aliyeondolewa madarakani na wananchi na hatimaye kutoroka nchi hiyo.

  • Kupinga Libya suala la  kupatiwa makazi wahajiri katika ardhi ya nchi hiyo

    Kupinga Libya suala la kupatiwa makazi wahajiri katika ardhi ya nchi hiyo

    Feb 07, 2017 13:07

    Katika hali ambayo, Libya ingali inakabiliwa na changamoto kubwa za kisiasa na kiuchumi, suala la wahajiri wanaoelekea Ulaya kupitia nchi hiyo nalo limegeuka na kuwa tatizo jingine kubwa kwa nchi hiyo ya kaskazini mwa Afrika.

  • Mgogoro wa Libya;  ajenda kuu ya mazungumzo ya kieneo na kimataifa

    Mgogoro wa Libya; ajenda kuu ya mazungumzo ya kieneo na kimataifa

    Feb 07, 2017 04:02

    Huku mgogoro wa kisiasa ukiendelea huko Libya, mashauriano ya kulipatia ufumbuzi tatizo la nchi hiyo yameendelea huko Malta kwa kuhudhuriwa na viongozi mbalimbali wakiwemo viongozi kutoka nchi jirani na vile vile Mjumbe wa Umoja wa Mataifa katika Masuala ya Libya.

  • Wahajiri wengine 120 wa Kiafrika waokolewa katika pwani ya Libya

    Wahajiri wengine 120 wa Kiafrika waokolewa katika pwani ya Libya

    Feb 05, 2017 14:17

    Kikosi cha ulinzi katika pwani ya Libya kimearifu kuwa wahajiri zaidi ya 120 wameokolewa majini karibu na bandari ya Tripoli kaskazini magharibi mwa nchi hiyo.

  • Mkutano kuhusu Libya nchini Marekani wafutwa kutokana na amri ya Trump

    Mkutano kuhusu Libya nchini Marekani wafutwa kutokana na amri ya Trump

    Feb 04, 2017 07:57

    Mkutano kuhusu Libya uliokuwa umepangwa kufanyika nchini Marekani tarehe 16 mwezi huu umefutwa kutokana amri ya rais Donald Trump ya kupiga marufuku raia wa nchi saba za Kiislamu ikiwemo Libya kuingia nchini humo.

  • Algeria yayataka madola ya kigeni yasiingilie masuala ya ndani ya Libya

    Algeria yayataka madola ya kigeni yasiingilie masuala ya ndani ya Libya

    Jan 28, 2017 07:38

    Algeria imetoa wito wa kutatuliwa mgogoro wa Libya kupitia njia ya mazungumzo kwa kuyashirikisha makundi na pande zote bila ya uingiliaji wa madola ya kigeni.

  • Sisitizo la Mogherini kuhusu msimamo wa Umoja wa Ulaya juu ya kadhia ya Libya

    Sisitizo la Mogherini kuhusu msimamo wa Umoja wa Ulaya juu ya kadhia ya Libya

    Jan 26, 2017 12:55

    Federica Mogherini, Mkuu wa Siasa za Nje za Umoja wa Ulaya amesema kuwa, umoja huo hauna nia ya kuipa Libya pendekezo lile lile uliloipa Uturuki kuhusiana na wakimbizi.

  • Wahajiri zaidi ya 100 wahofiwa kufa maji Bahari ya Mediterranea

    Wahajiri zaidi ya 100 wahofiwa kufa maji Bahari ya Mediterranea

    Jan 15, 2017 14:47

    Makumi ya wahajiri wanahofiwa kupoteza maisha baada ya boti waliyokuwa wakisafiria kwenda bara Ulaya kuzama katika Bahari ya Mediterranea.

  • Gaddafi: Baba yangu hakumteka nyara Imam Musa Sadr

    Gaddafi: Baba yangu hakumteka nyara Imam Musa Sadr

    Jan 15, 2017 07:18

    Hannibal Muammar Gaddafi, mwana wa kiume wa kiongozi wa zamani wa Libya Kanali Muammar Gaddafi amsema kuwa, Waziri Mkuu wa zamani wa nchi hiyo ndiye aliyemteka nyara Imam Musa Sadr

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS