Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Libya

  • UN yasisitiza kupatiwa ufumbuzi mgogoro wa Libya mwaka huu

    UN yasisitiza kupatiwa ufumbuzi mgogoro wa Libya mwaka huu

    Jan 08, 2017 13:09

    Mjumbe Maalumu wa Umoja wa Mataifa katika masuala ya Libya amesema kuwa, mwaka huu wa 2017 unapaswa kuwa mwaka wa kuupatia ufumbuzi mgogoro wa Libya na kurejesha amani nchini humo.

  • Mgogoro wa kisiasa na kuongezeka ukosefu wa usalama nchini Libya

    Mgogoro wa kisiasa na kuongezeka ukosefu wa usalama nchini Libya

    Jan 06, 2017 13:39

    Wakati Fayez al Sarraj, Waziri Mkuu wa serikali ya umoja wa kitaifa ya Libya akifuta maamuzi yote ya Baraza la Uongozi la nchi hiyo, Martin Kobler, mwakilishi maalumu wa Umoja wa Mataifa katika masuala ya Libya ameelezea wasiwasi wake kufuatia kushtadi mapigano, kusini mwa nchi hiyo ya kaskazini mwa Afrika.

  • Khalifa Haftar apinga kufanya mazungumzo na serikali ya umoja wa kitaifa Libya

    Khalifa Haftar apinga kufanya mazungumzo na serikali ya umoja wa kitaifa Libya

    Jan 04, 2017 16:19

    Kamanda wa majeshi ya Libya mashariki mwa nchi hiyo amekanusha madai ya kufanyika mazungumzo ya aina yoyote kati yake na serikali huko magharibi mwa nchi hiyo katika siku zijazo.

  • Kujiuzulu Makamu wa Rais wa serikali ya maafikiano ya kitaifa Libya; kuendelea mgogoro wa kisiasa wa nchi hiyo

    Kujiuzulu Makamu wa Rais wa serikali ya maafikiano ya kitaifa Libya; kuendelea mgogoro wa kisiasa wa nchi hiyo

    Jan 04, 2017 07:58

    Makamu wa Rais wa serikali ya maafikiano ya kitaifa ya Libya amejiuzulu hatua ambayo inaonesha kuendelea mgogoro wa kisiasa wa nchi hiyo ya kaskazini mwa Afrika.

  • Kujiuzulu Makamu wa Rais wa serikali ya umoja wa kitaifa ya Libya

    Kujiuzulu Makamu wa Rais wa serikali ya umoja wa kitaifa ya Libya

    Jan 03, 2017 06:26

    Makamu wa Rais wa serikali ya umoja wa kitaifa ya Libya amejizulu wadhifa wake.

  • Askari 260 za Jenerali Haftar wameuawa Libya

    Askari 260 za Jenerali Haftar wameuawa Libya

    Jan 02, 2017 05:51

    Jeshi la wapiganaji wanaopinga Serikali ya Umoja wa Kitaifa ya Libya limetangaza kuwa, zaidi ya askari wake 260 wameuawa katika mapigano ya mji wa Benghazi huko mashariki mwa nchi hiyo.

  • Miili ya wahajiri 11 yapatikana ufuoni mjini Tripoli, Libya

    Miili ya wahajiri 11 yapatikana ufuoni mjini Tripoli, Libya

    Dec 28, 2016 14:17

    Shirika la Hilali Nyekundu la Libya limesema miili 11 ya wahajiri waliokufa maji wakijaribu kuelekea barani Ulaya imepatikana katika fuo za mji mkuu wa Libya, Tripoli.

  • Jeshi la Libya lasimamisha oparesheni katika eneo la Qanfuda

    Jeshi la Libya lasimamisha oparesheni katika eneo la Qanfuda

    Dec 23, 2016 03:57

    Msemaji wa vikosi vya ulinzi vya Libya amesema kuwa vikosi hivyo vimesimamisha operesheni ya kijeshi katika eneo la Qanfuda magharibi mwa mji wa Benghazi wa kaskazini mashariki mwa nchi hiyo ili kuwalinda raia.

  • Jeshi la Marekani lahitimisha rasmi operesheni zake Sirte, Libya

    Jeshi la Marekani lahitimisha rasmi operesheni zake Sirte, Libya

    Dec 21, 2016 14:45

    Jeshi la Marekani limetamatisha rasmi operesheni zake katika mji wa pwani wa Sirte nchini Libya, ambao hivi karibuni ulikombolewa kikamilifu toka mikononi mwa magaidi wa Daesh.

  • Umoja wa Mataifa watoa wito wa maridhiano ya kitaifa Libya

    Umoja wa Mataifa watoa wito wa maridhiano ya kitaifa Libya

    Dec 19, 2016 04:25

    Umoja wa Mataifa sanjari na kuvipongeza vikosi vitiifu vya Serikali ya Umoja wa Kitaifa nchini Libya kwa kuudhibiti kikamilifu mji wa pwani wa Sirte na kuukomboa kutoka mikononi mwa kundi la kigaidi la Daesh, umewataka wananchi wote wa nchi hiyo kushirikiana katika mchakato wa maridhiano ya kitaifa.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS