Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Libya

  • Kutamba Khalifa Haftar huko Libya

    Kutamba Khalifa Haftar huko Libya

    Dec 18, 2016 08:14

    Katika hali ambayo jeshi la Libya linaloongozwa na Kamanda Khalifa Haftar linajiandaa kukabiliana na watu ambao limewataja kuwa ni makundi yenye misimamo mikali huko Tripoli mji mkuu wa nchi hiyo, kamanda wa oparesheni ya kuukomboa mji wa Sirte mashariki mwa Tripoli amemuarifisha mtawala wa kijeshi wa mji huo.

  • Mapigano ya kuwania maeneo ya mafuta yapamba moto Libya

    Mapigano ya kuwania maeneo ya mafuta yapamba moto Libya

    Dec 08, 2016 03:08

    Msemaji wa vikosi vya kulinda bandari za mafuta nchini Libya ametangaza habari ya kuongezeka mapigano karibu na taasisi muhimu za mafuta za nchi hiyo.

  • Jeshi la serikali Libya ladhibiti kikamilifu mji wa Sirte

    Jeshi la serikali Libya ladhibiti kikamilifu mji wa Sirte

    Dec 06, 2016 03:37

    Vikosi vya jeshi la Serikali ya Umoja wa Kitaifa ya Libya vinaudhibiti kikamilifu mji wa Sirte kaskazini mwa Libya.

  • Makumi ya raia waokolewa kutoka mikononi mwa magaidi nchini Libya

    Makumi ya raia waokolewa kutoka mikononi mwa magaidi nchini Libya

    Dec 04, 2016 07:27

    Habari kutoka nchini Libya zinasema kuwa, jeshi la serikali ya umoja wa kitaifa ya nchi hiyo limefanikiwa kuwaokoa makumi ya raia waliokuwa wametekwa nyara na genge la kigaidi na la wakufurishaji la Daesh mjini Sirte.

  • Watu wanane wauawa katika mapigano nchini Libya

    Watu wanane wauawa katika mapigano nchini Libya

    Dec 02, 2016 07:41

    Kwa akali watu wanane wameripotiwa kuuawa katika mapigano mapya yaliyotokea katika mji mkuu wa Libya, Tripoli.

  • Wasiwasi wa kuzidi kuongezeka mgogoro wa kibinadamu nchini Libya

    Wasiwasi wa kuzidi kuongezeka mgogoro wa kibinadamu nchini Libya

    Dec 02, 2016 06:26

    Kuzidi kuwa mkubwa mgogoro wa kisiasa nchini Libya kumemfanya mjumbe maalumu wa Umoja wa Mataifa aelezee masikitiko yake makubwa kuhusiana na hali mbaya ya kibinadamu na kiusalama ya nchi hiyo ya kaskazini mwa Afrika.

  • UN: Hali ya kibinadamu nchini Libya inatisha

    UN: Hali ya kibinadamu nchini Libya inatisha

    Dec 01, 2016 04:09

    Mjumbe maalumu wa Umoja wa Mataifa nchini Libya amesema, hali ya kibinadamu na kiusalama nchini humo ni ya kutia wasiwasi mkubwa.

  • Libya kustafidi na uzoefu wa kiusalama wa Russia katika kupambana na ugaidi

    Libya kustafidi na uzoefu wa kiusalama wa Russia katika kupambana na ugaidi

    Nov 30, 2016 02:49

    Kamanda Mkuu wa vikosi vya Libya mashariki mwa nchi hiyo ametaka kutumiwa uzoefu wa kiusalama wa Russia katika mapambano dhidi ya ugaidi.

  • Libya; njia kuu ya wahajiri wengi

    Libya; njia kuu ya wahajiri wengi

    Nov 23, 2016 15:17

    Shirika la Kimataifa la Wahajiri limetangaza kuwa Libya ni njia kuu inayotumiwa na wahajiri wengi licha ya nchi hiyo kukabiliwa na mgogoro wa ndani.

  • ICC yachunguza magendo ya wahajiri wa Kiafrika nchini Libya

    ICC yachunguza magendo ya wahajiri wa Kiafrika nchini Libya

    Nov 23, 2016 08:00

    Mahakama ya Kimataifa ya Jinai ICC imeanzisha uchunguzi juu ya biashara haramu ya kuwasafirisha wahajiri wa Kiafrika wanaopelekwa barani Ulaya kupitia usafiri hatari wa baharini.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS