Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

mafuriko

  • Mvua na mafuriko yaua watu zaidi ya 300 nchini Pakistan

    Mvua na mafuriko yaua watu zaidi ya 300 nchini Pakistan

    Jul 26, 2022 07:14

    Watu wasiopungua 310 wamefariki dunia nchini Pakistan kutokana na mafuriko na matukio yanayohusiana na mvua kali zinazoendelea kunyesha nchini humo.

  • Watu wasiopungua 150 waaga dunia kutokana na mafuriko nchini Pakistan

    Watu wasiopungua 150 waaga dunia kutokana na mafuriko nchini Pakistan

    Jul 12, 2022 07:26

    Watu wasiopungua 150 wamefariki dunia nchini Pakistan kutokana na mafuriko na matukio yanayohusiana na mvua kali zilizonyesha hivi karibuni.

  • Walioaga dunia kwa mafuriko Afrika Kusini waongezeka, wafikia 253

    Walioaga dunia kwa mafuriko Afrika Kusini waongezeka, wafikia 253

    Apr 14, 2022 02:26

    Idadi ya watu waliofariki dunia katika jimbo la KwaZulu-Natal nchini Afrika Kusini kutokana na mafuriko yaliyosababisha uharibifu mkubwa, imefikia zaidi ya 250.

  • Mafuriko na maporomoko ya ardhi yaua watu 58 nchini Ufilipino.

    Mafuriko na maporomoko ya ardhi yaua watu 58 nchini Ufilipino.

    Apr 13, 2022 07:45

    Watu karibu 60 wameaga dunia kutokana na kimbunga kilichosababisha mafuriko na maporomoko ya ardhi nchini Ufilipino.

  • Waliofariki dunia kwa mafuriko nchini Brazil waongezeka hadi 117

    Waliofariki dunia kwa mafuriko nchini Brazil waongezeka hadi 117

    Feb 18, 2022 11:40

    Zaidi ya watu 117 wamefariki dunia baada ya siku kadhaa za mafuriko makubwa na maporomoko ya ardhi yaliyoharibu barabara na nyumba nchini Brazil.

  • UN yasema malaki wameathiriwa na mafuriko nchini Sudan Kusini

    UN yasema malaki wameathiriwa na mafuriko nchini Sudan Kusini

    Sep 01, 2021 08:00

    Ofisi ya Umoja wa Mataifa ya Kuratibu Misaada ya Kibinadamu (OCHA) imesema watu zaidi ya 380,000 wameathiriwa na mafuriko yaliyosababishwa na mvua kubwa zilizonyesha nchini Sudan Kusini.

  • Mafuriko yaua makumi ya watu Afghanistan, 150 hawajulikani waliko

    Mafuriko yaua makumi ya watu Afghanistan, 150 hawajulikani waliko

    Jul 30, 2021 12:35

    Makumi ya watu wamepoteza maisha huku wengine wengi wakitoweka kutokana na mafuriko makubwa yaliyoikumba Afghanistan.

  • Idadi ya watu waliofariki katika mafuriko yaliyotokea Ulaya imefika 153

    Idadi ya watu waliofariki katika mafuriko yaliyotokea Ulaya imefika 153

    Jul 17, 2021 07:49

    Watu 153 wamefariki dunia hadi sasa kutokana na mafuriko yaliyotokana na mvua kali zilizonyesha magharibi na kaskazini mwa Ulaya na kusababisha mito kufurika na kingo zake kupasuka.

  • Makumi wafariki dunia kutokana na mafuriko, maporomoko ya ardhi Indonesia

    Makumi wafariki dunia kutokana na mafuriko, maporomoko ya ardhi Indonesia

    Apr 04, 2021 12:50

    Makumi ya watu wamepoteza maisha na wengine wengi hawajulikani walipo baada ya kutokea mafuriko na maporomoko ya ardhi nchini Indonesia.

  • UN: Mafuriko yameua watu 35 nchini Somalia, milioni 1.6 wameathiriwa

    UN: Mafuriko yameua watu 35 nchini Somalia, milioni 1.6 wameathiriwa

    Oct 29, 2020 07:06

    Umoja wa Mataifa umetangaza habari ya kupoteza maisha watu 35 nchini Somalia kutokana na mafuriko yaliyosababishwa na mvua kubwa zilizonyesha nchini humo.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS