-
Mafuriko yameua watu tisa katika eneo la Firuzkuh, Tehran
Jul 29, 2022 05:41Mkuu wa Mkoa wa Tehran amesema watu tisa ameuawa kufuatia mafuriko usiku wa kuamkia Ijumaa katika wilaya ya Firuzkuh iliyo katika milima ya mashariki mwa Tehran na kuongeza kuwa watu wengine 16 hawajulikani waliko na wengine 13 wamejeruhiwa.
-
Mvua na mafuriko yaua watu zaidi ya 300 nchini Pakistan
Jul 26, 2022 02:44Watu wasiopungua 310 wamefariki dunia nchini Pakistan kutokana na mafuriko na matukio yanayohusiana na mvua kali zinazoendelea kunyesha nchini humo.
-
Watu wasiopungua 150 waaga dunia kutokana na mafuriko nchini Pakistan
Jul 12, 2022 02:56Watu wasiopungua 150 wamefariki dunia nchini Pakistan kutokana na mafuriko na matukio yanayohusiana na mvua kali zilizonyesha hivi karibuni.
-
Walioaga dunia kwa mafuriko Afrika Kusini waongezeka, wafikia 253
Apr 13, 2022 21:56Idadi ya watu waliofariki dunia katika jimbo la KwaZulu-Natal nchini Afrika Kusini kutokana na mafuriko yaliyosababisha uharibifu mkubwa, imefikia zaidi ya 250.
-
Mafuriko na maporomoko ya ardhi yaua watu 58 nchini Ufilipino.
Apr 13, 2022 03:15Watu karibu 60 wameaga dunia kutokana na kimbunga kilichosababisha mafuriko na maporomoko ya ardhi nchini Ufilipino.
-
Waliofariki dunia kwa mafuriko nchini Brazil waongezeka hadi 117
Feb 18, 2022 08:10Zaidi ya watu 117 wamefariki dunia baada ya siku kadhaa za mafuriko makubwa na maporomoko ya ardhi yaliyoharibu barabara na nyumba nchini Brazil.
-
UN yasema malaki wameathiriwa na mafuriko nchini Sudan Kusini
Sep 01, 2021 03:30Ofisi ya Umoja wa Mataifa ya Kuratibu Misaada ya Kibinadamu (OCHA) imesema watu zaidi ya 380,000 wameathiriwa na mafuriko yaliyosababishwa na mvua kubwa zilizonyesha nchini Sudan Kusini.
-
Mafuriko yaua makumi ya watu Afghanistan, 150 hawajulikani waliko
Jul 30, 2021 08:05Makumi ya watu wamepoteza maisha huku wengine wengi wakitoweka kutokana na mafuriko makubwa yaliyoikumba Afghanistan.
-
Idadi ya watu waliofariki katika mafuriko yaliyotokea Ulaya imefika 153
Jul 17, 2021 03:19Watu 153 wamefariki dunia hadi sasa kutokana na mafuriko yaliyotokana na mvua kali zilizonyesha magharibi na kaskazini mwa Ulaya na kusababisha mito kufurika na kingo zake kupasuka.
-
Makumi wafariki dunia kutokana na mafuriko, maporomoko ya ardhi Indonesia
Apr 04, 2021 08:20Makumi ya watu wamepoteza maisha na wengine wengi hawajulikani walipo baada ya kutokea mafuriko na maporomoko ya ardhi nchini Indonesia.