Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

mafuriko

  • Mafuriko yaua makumi ya watu Afghanistan, 150 hawajulikani waliko

    Mafuriko yaua makumi ya watu Afghanistan, 150 hawajulikani waliko

    Jul 30, 2021 12:35

    Makumi ya watu wamepoteza maisha huku wengine wengi wakitoweka kutokana na mafuriko makubwa yaliyoikumba Afghanistan.

  • Idadi ya watu waliofariki katika mafuriko yaliyotokea Ulaya imefika 153

    Idadi ya watu waliofariki katika mafuriko yaliyotokea Ulaya imefika 153

    Jul 17, 2021 07:49

    Watu 153 wamefariki dunia hadi sasa kutokana na mafuriko yaliyotokana na mvua kali zilizonyesha magharibi na kaskazini mwa Ulaya na kusababisha mito kufurika na kingo zake kupasuka.

  • Makumi wafariki dunia kutokana na mafuriko, maporomoko ya ardhi Indonesia

    Makumi wafariki dunia kutokana na mafuriko, maporomoko ya ardhi Indonesia

    Apr 04, 2021 12:50

    Makumi ya watu wamepoteza maisha na wengine wengi hawajulikani walipo baada ya kutokea mafuriko na maporomoko ya ardhi nchini Indonesia.

  • UN: Mafuriko yameua watu 35 nchini Somalia, milioni 1.6 wameathiriwa

    UN: Mafuriko yameua watu 35 nchini Somalia, milioni 1.6 wameathiriwa

    Oct 29, 2020 07:06

    Umoja wa Mataifa umetangaza habari ya kupoteza maisha watu 35 nchini Somalia kutokana na mafuriko yaliyosababishwa na mvua kubwa zilizonyesha nchini humo.

  • Majanga ya kimaumbile yaongezeka maradufu duniani kote

    Majanga ya kimaumbile yaongezeka maradufu duniani kote

    Oct 13, 2020 12:09

    Ripoti mpya ya Umoja wa Mataifa imebaini kuwa majanga ya kimaumbile yameongezeka maradufu katika kipindi cha miaka 20 iliyopita huku mabadiliko ya tabianchi yakitajwa kuwa sababu kuu ya hali hiyo.

  • Watu milioni moja waathiriwa na mafuriko nchini Ethiopia

    Watu milioni moja waathiriwa na mafuriko nchini Ethiopia

    Oct 01, 2020 07:50

    Umoja wa Mataifa umeripoti kuwa watu milioni moja wameathiriwa na mafuriko yaliyosababishwa na mvua kubwa zinazonyesha nchini Ethiopia, ambapo laki tatu miongoni mwao wamelazimika kuyahama makazi yao.

  • Hasara za mafuriko zaongezeka nchini Sudan

    Hasara za mafuriko zaongezeka nchini Sudan

    Sep 19, 2020 07:32

    Idara ya Ulinzi wa Raia nchini Sudan imetangaza habari ya kuongezeka hasara za roho za watu na mali kutokana na mafuriko yaliyoikumba nchi hiyo. Kwa mujibu wa idara hiyo, zaidi ya watu laki saba na 70 elfu wamepata hasara kutokana na mafutiko hayo.

  • Mafuriko yaua watu zaidi ya 70 nchini Nigeria

    Mafuriko yaua watu zaidi ya 70 nchini Nigeria

    Sep 18, 2020 08:06

    Kwa akali watu 77 wameaga dunia kufuatia mafuriko yaliyosababishwa na mvua kubwa zinazonyesha nchini Nigeria.

  • Mvua na mafuriko yaua na kujeruhi makumi nchini Burkina Faso

    Mvua na mafuriko yaua na kujeruhi makumi nchini Burkina Faso

    Sep 10, 2020 15:51

    Serikali ya Burkina Faso imetangaza kuwa nchi hiyo inakabiliwa na janga la kimaumbile baada ya watu 13 kupoteza maisha kutokana na mafuriko, huku wengine 19 wakijeruhiwa.

  • Sudan yaomba msaada wa kimataifa kwa waathiriwa wa mafuriko

    Sudan yaomba msaada wa kimataifa kwa waathiriwa wa mafuriko

    Sep 08, 2020 16:22

    Waziri wa Afya wa Sudan ametahadharisha kuhusu uwezekano wa kujitokea maradhi ya kuambukiza katika siku kadhaa zijazo kutokana na maafa yaliyosababisha na mafuriko makubwa yanayoendelea nchini humo.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS