Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

mafuriko

  • UN: Mafuriko yameua watu 35 nchini Somalia, milioni 1.6 wameathiriwa

    UN: Mafuriko yameua watu 35 nchini Somalia, milioni 1.6 wameathiriwa

    Oct 29, 2020 03:36

    Umoja wa Mataifa umetangaza habari ya kupoteza maisha watu 35 nchini Somalia kutokana na mafuriko yaliyosababishwa na mvua kubwa zilizonyesha nchini humo.

  • Majanga ya kimaumbile yaongezeka maradufu duniani kote

    Majanga ya kimaumbile yaongezeka maradufu duniani kote

    Oct 13, 2020 08:39

    Ripoti mpya ya Umoja wa Mataifa imebaini kuwa majanga ya kimaumbile yameongezeka maradufu katika kipindi cha miaka 20 iliyopita huku mabadiliko ya tabianchi yakitajwa kuwa sababu kuu ya hali hiyo.

  • Watu milioni moja waathiriwa na mafuriko nchini Ethiopia

    Watu milioni moja waathiriwa na mafuriko nchini Ethiopia

    Oct 01, 2020 04:20

    Umoja wa Mataifa umeripoti kuwa watu milioni moja wameathiriwa na mafuriko yaliyosababishwa na mvua kubwa zinazonyesha nchini Ethiopia, ambapo laki tatu miongoni mwao wamelazimika kuyahama makazi yao.

  • Hasara za mafuriko zaongezeka nchini Sudan

    Hasara za mafuriko zaongezeka nchini Sudan

    Sep 19, 2020 03:02

    Idara ya Ulinzi wa Raia nchini Sudan imetangaza habari ya kuongezeka hasara za roho za watu na mali kutokana na mafuriko yaliyoikumba nchi hiyo. Kwa mujibu wa idara hiyo, zaidi ya watu laki saba na 70 elfu wamepata hasara kutokana na mafutiko hayo.

  • Mafuriko yaua watu zaidi ya 70 nchini Nigeria

    Mafuriko yaua watu zaidi ya 70 nchini Nigeria

    Sep 18, 2020 03:36

    Kwa akali watu 77 wameaga dunia kufuatia mafuriko yaliyosababishwa na mvua kubwa zinazonyesha nchini Nigeria.

  • Mvua na mafuriko yaua na kujeruhi makumi nchini Burkina Faso

    Mvua na mafuriko yaua na kujeruhi makumi nchini Burkina Faso

    Sep 10, 2020 11:21

    Serikali ya Burkina Faso imetangaza kuwa nchi hiyo inakabiliwa na janga la kimaumbile baada ya watu 13 kupoteza maisha kutokana na mafuriko, huku wengine 19 wakijeruhiwa.

  • Sudan yaomba msaada wa kimataifa kwa waathiriwa wa mafuriko

    Sudan yaomba msaada wa kimataifa kwa waathiriwa wa mafuriko

    Sep 08, 2020 11:52

    Waziri wa Afya wa Sudan ametahadharisha kuhusu uwezekano wa kujitokea maradhi ya kuambukiza katika siku kadhaa zijazo kutokana na maafa yaliyosababisha na mafuriko makubwa yanayoendelea nchini humo.

  • Mvua na mafuriko yaua watu 45 nchini Niger

    Mvua na mafuriko yaua watu 45 nchini Niger

    Aug 29, 2020 19:25

    Kwa akali watu 45 wameaga dunia kufuatia mafuriko yaliyosababishwa na mvua kubwa zinazonyesha nchini Niger.

  • Mafuriko yaua makumi ya watu na wengine wapoteza makazi Abuja, Nigeria

    Mafuriko yaua makumi ya watu na wengine wapoteza makazi Abuja, Nigeria

    Aug 02, 2020 06:29

    Mafuriko makubwa yaliyotokea katika kitongoji kimoja cha mji mkuu wa Nigeria, Abuja na mji mwingine wa nchi hiyo, yamesababisha vifo vya watu wasiopungua 30.

  • Mafuriko yaua 189 India na Nepal, milioni 4 waachwa bila makazi

    Mafuriko yaua 189 India na Nepal, milioni 4 waachwa bila makazi

    Jul 19, 2020 06:22

    Watu wasiopungua 189 wamepoteza maisha kutokana na mafuriko yaliyosababishwa na mvua kubwa zinazoendelea kunyesha nchini India na katika nchi jirani ya Nepal.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS