-
Mvua na mafuriko yaua watu 45 nchini Niger
Aug 29, 2020 23:55Kwa akali watu 45 wameaga dunia kufuatia mafuriko yaliyosababishwa na mvua kubwa zinazonyesha nchini Niger.
-
Mafuriko yaua makumi ya watu na wengine wapoteza makazi Abuja, Nigeria
Aug 02, 2020 10:59Mafuriko makubwa yaliyotokea katika kitongoji kimoja cha mji mkuu wa Nigeria, Abuja na mji mwingine wa nchi hiyo, yamesababisha vifo vya watu wasiopungua 30.
-
Mafuriko yaua 189 India na Nepal, milioni 4 waachwa bila makazi
Jul 19, 2020 10:52Watu wasiopungua 189 wamepoteza maisha kutokana na mafuriko yaliyosababishwa na mvua kubwa zinazoendelea kunyesha nchini India na katika nchi jirani ya Nepal.
-
Watu 140 wafariki dunia kwa mafuriko China
Jul 15, 2020 07:40Serikali ya China imetangaza kuwa watu takriban 140 wameaga dunia baada ya nchi hiyo kuathiriwa na mafuriko mabaya zaidi kuwahi kuikumba China katika kipindi cha zaidi ya miaka 30 nchini humo. Aidha watu milioni 38 wameathiriwa na mafuriko hayo na nyumba elfu 28 zimebomoka.
-
Mafuriko yaua watu 260 Kenya, Rwanda na Somalia
May 08, 2020 08:18Kwa akali watu 260 wamepoteza maisha kutokana na mafuriko na maporomoko ya udongo yaliyosababishwa na mvua kubwa zinazoendelea kunyesha katika nchi za Afrika Mashariki za Kenya, Rwanda na Somalia.
-
Mvua, mafuriko na maporomoko ya ardhi yasababisha maafa Kenya
Apr 21, 2020 08:07Kwa akali watu 12 wamepoteza maisha kutokana na mafuriko na maporomoko ya udongo yaliyosababishwa na mvua kubwa zinazoendelea kunyesha katika baadhi ya maeneo ya Kenya.
-
Mafuriko yaua watu 25 mashariki mwa Kongo DR
Apr 19, 2020 07:55Kwa akali watu 25 wamepoteza maisha kutokana na mafuriko huko mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo.
-
Familia zaidi ya 6000 zaathiriwa na mafuriko magharibi mwa Kenya
Dec 29, 2019 07:55Afisa wa serikali ya Kenya jana alisema kuwa familia zaidi ya 6000 katika mji wa Kisumu magharibi mwa nchi hiyo zimeathiriwa na mafuriko yaliyosababishwa na mvua kubwa iliyoanza mapema wiki jana katika mkesha wa Krismasi.
-
Watu wasiopungua 265 wapoteza maisha katika mafuriko Afrika Mashariki
Dec 07, 2019 04:04Mvua kubwa zilizonyesha na kusababisha mafuriko katika nchi za Afrika Mashariki katika kipindi cha miezi miwili iliyopita zimeuwa watu wasiopungua 265.
-
Mvua, radi na mafuriko yaua watu 10 nchini Tanzania
Nov 25, 2019 12:23Watu tisa wa familia mbili wamefariki dunia katika wilaya ya Sengerema, mkoani Mwanza nchini Tanzania, baada ya nyumba zao kusombwa na maji kutokana na mvua kubwa zinazoendelea kunyesha katika maeneo mbalimbali duniani.